Msikiti Mkuu wa Sabanci ni mkubwa zaidi Uturuki
Msikiti Mkuu wa Sabanci uko katika mji wa Adana na ni msikiti mkubwa zaidi Uturuki ulio katika eneo lenye ukubwa wa mita mraba 526,000 na eneo lenye paa lina ukubwa wa mita mraba 6,600. Msikiti huo ni kati ya vivutio vikubwa vya utalii katika mji wa Adana na ulijengwa mwaka 1998.