IQNA

Sehemu Yenye Amani ya Mwenyezi Mungu

Ndani yake zipo Ishara zilizo wazi - masimamio ya Ibrahim, na mwenye kuingia humo anakuwa katika amani. Na kwa ajili ya Mwenyezi Mungu imewajibikia watu wahiji kwenye Nyumba hiyo, kwa yule awezae njia ya kwendea. Na atakaye kanusha basi Mwenyezi Mungu si mhitaji kwa walimwengu. Suurat Al 'Imran Aya ya 97

Sehemu Yenye Amani ya Mwenyezi Mungu