Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA tawi la Dubai, sherehe za kufunga hafla hiyo zilifanyika kwa mnasaba wa siku za kukumbuka uzawa wa Bibi Fatima Zahra SA.
Hafla hiyo imeandaliwa na Taasisi ya Qur’an na Etrat na ilifanyika baada ya sala ya Isha na kuhudhuriwa na wanafunzi wa taasisi hiyo pamoja na wazazi wao.
Ayatullah Madani alitoa hotuba katika hafla hiyo na kuwatunuku zawadi wanafunzi waliofuzu.
Aidha wanafunzi wa taasisi hiyo walihudhuria semina iliyofanyika msikitini hapo.
1010461