Hivi karibuni, mchezaji huyo alijiunga na mamilioni ya Waislamu duniani na kufika katika mji mtakatifu wa Makka kwa ajili ya Ibada ya Umrah katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Kati ya timu za soka ambazo Serginho aliwahi kuchezea eneo kama fowadi Mni Fenerbache ya Uturuki, Ali Ittihad na Al Hilal za Saudi Arabia na Al Sadd ya Qatar.