IQNA

Qiraa ya Sheikh Mahmoud Khalil Al Khusri akiwa amevaa vazi la Ihramu

21:30 - July 19, 2020
Habari ID: 3472980
TEHRAN (IQNA)- Marhum Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary alizaliwa Septemba 17 1918 na alikuwa miongoni mwa wasomaji mashuhuri wa Qur'ani nchini Misri.

Sheikh al-Hussary ambaye alifarikia 24 Novemba 1980 alikuwa akiandamana sana na marhum Sheikh Abdul Basit na Sheikh Mustafa Ismail.

Katika klipu hii anaonekana akisoma Qur'ani Tukufu akiwa na vazi la Ihramu.

Kishikizo: qarii qiraa misri al khusri
captcha