TEHRAN (IQNA)- Mji Mtakatifu wa Quds (Jerusalem) umeshuhudia tukio nadra ya mvua ya theluji Alhamisi.
Theluji hiyo ilisambaa katika eneo lote la Msikiti wa Al Aqsa na Qubbat aṣ-Ṣakhra na kuwavuatia waumini ambao wengine wameonekana kusujudu kama njia ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kutokana na neema hiyo.