<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<urlset xmlns="http://www.sitemaps.org/schemas/sitemap/0.9" xmlns:news="http://www.google.com/schemas/sitemap-news/0.9" xmlns:image="http://www.google.com/schemas/sitemap-image/1.1"><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482451/wanae-shahidi-ayatullah-khamenei-katika-swala-ya-mazishi-katika-musalla-wa-tehran</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-06T14:49:56+03:30</news:publication_date><news:title>Wanae Shahidi Ayatullah Khamenei katika Swala ya mazishi katika Musalla wa Tehran</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/7b5b0e5fZTp3ZWJwfGY6NDM2MDk0NC5wbmd8ZnVpOjYzNDc5fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Wanae Shahidi Ayatullah Khamenei katika Swala ya mazishi katika Musalla wa Tehran</image:title><image:caption>TEHRAN – Katika hali iliyojaa uzito wa kiroho na huzuni kubwa, watoto wa kiume wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, wamehudhuria swala ya mazishi ya baba yao iliyofanyika katika eneo la Sala (Musalla) la Imam Khomeini (RA) jijini Tehran, siku ya Jumapili, Julai 5, 2026. Ibada hiyo iliyojaa unyenyekevu ilitoa fursa kwa familia na waombolezaji waliokuwepo kuungana katika sala za mwisho kwa ajili ya kiongozi huyo ambaye ameacha alama isiyofutika katika uongozi wa Kiislamu na harakati za ukombozi duniani.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482450/maombolezo-ya-kiongozi-shahidi-ayatullah-khamenei-katika-usiku-wa-pili</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-06T14:40:42+03:30</news:publication_date><news:title>Maombolezo ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Khamenei katika usiku wa pili</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/a3adb074ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDkzNy5qcGVnfGZ1aTo2MzQ3OHxsOnN3fHY6MQ.webp</image:loc><image:title>Maombolezo ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Khamenei katika usiku wa pili</image:title><image:caption>TEHRAN – Kwa usiku wa pili mfululizo (Julay 6), umati mkubwa wa wananchi ulijitokeza katika Ukumbi wa Sala (Musalla) wa Imam Khomeini (RA) jijini Tehran, ili kushiriki katika shughuli za kuaga mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482449/maombolezo-ya-kiongozi-shahidi-ayatuah-khamenei-yafanyika-nchini-marekani</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-06T14:31:48+03:30</news:publication_date><news:title>Maombolezo ya Kiongozi Shahidi Ayatuah Khamenei yafanyika nchini Marekani</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/bff88e01ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDkzMy5qcGd8ZnVpOjYzNDc3fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Maombolezo ya Kiongozi Shahidi Ayatuah Khamenei yafanyika nchini Marekani</image:title><image:caption>IQNA-Wakati shughuli za mazishi na kuaga mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, zikiendelea nchini Iran, Waislamu na wafuasi wake nchini Marekani wameungana kufanya ibada za maombolezo kufuatia kuondoka kwa kiongozi huyo.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482448/najaf-yakamalisha-maandalizi-ya-msafara-wa-mazishi-ya-shahidi-ayatullah-khamenei</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-06T14:15:46+03:30</news:publication_date><news:title>Najaf yakamalisha maandalizi ya Msafara wa Mazishi ya Shahidi Ayatullah Khamenei</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/b4d55b0dZTp3ZWJwfGY6NDM2MDkxOC5qcGd8ZnVpOjYzNDc2fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Najaf yakamalisha maandalizi ya Msafara wa Mazishi ya Shahidi Ayatullah Khamenei</image:title><image:caption>IQNA- Mamlaka katika Jimbo la Najaf nchini Iraq zimekamilisha maandalizi ya usalama, vifaa, na huduma kwa ajili ya msafara wa mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482447/mufti-mkuu-wa-tunisia-asifu-urithi-wa-mashahidi-wa-ayatullah-khamenei-katika-kuleta-umoja-wa-kiislamu</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-06T12:04:16+03:30</news:publication_date><news:title>Mufti Mkuu wa Tunisia Asifu Urithi wa Mashahidi wa Ayatullah Khamenei katika Kuleta Umoja wa Kiislamu</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/8a00686cZTp3ZWJwfGY6NDM2MDczMS5qcGd8ZnVpOjYzNDc1fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Mufti Mkuu wa Tunisia Asifu Urithi wa Mashahidi wa Ayatullah Khamenei katika Kuleta Umoja wa Kiislamu</image:title><image:caption>IQNA – Mufti Mkuu wa Tunisia, Sheikh Hisham Ben Mahmoud, ametoa heshima zake kwa kiongozi shujaa wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, akielezea mwito wake wake  kuhimiza umoja , mshikamano, na uvumilivu miongoni mwa Waislamu kama mwendelezo wa ujumbe wa Mtume Muhammad (SAW).</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482446/mamilioni-jijini-tehran-washiriki-msafara-wa-mazishi-ya-kiongozi-muadhamu-aliyeuawa-shahidi</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-06T11:29:27+03:30</news:publication_date><news:title>Mamilioni jijini Tehran washiriki msafara wa mazishi ya Kiongozi Muadhamu aliyeuawa Shahidi</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/9c13bc40ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDY0MS5qcGd8ZnVpOjYzNDczfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Mamilioni jijini Tehran washiriki msafara wa mazishi ya Kiongozi Muadhamu aliyeuawa Shahidi</image:title><image:caption>IQNA-Umati wa waombolezaji umefurika barabarani katika mji mkuu wa Iran huku msafara wa mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, yakianza. Tukio hili linaelezwa na maafisa kama mkusanyiko mkubwa zaidi wa umma kuwahi kushuhudiwa katika historia ya kisasa ya taifa hilo.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482445/kiongozi-wa-jihad-islami-aangazia-mapenzi-ya-kiongozi-shahidi-kwa-palestina</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T20:51:27+03:30</news:publication_date><news:title>Kiongozi wa Jihad Islami aangazia mapenzi ya Kiongozi Shahidi kwa Palestina</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/fd6741f8ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDM0Mi5qcGd8ZnVpOjYzNDcyfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Kiongozi wa Jihad Islami aangazia mapenzi ya Kiongozi Shahidi kwa Palestina</image:title><image:caption>IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina, amesema kuwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, alikuwa na mapenzi ya dhati kwa Palestina.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482444/afisa-wa-hizbullah-kuuawa-shahidi-imam-khamenei-kumeimarisha-nguvu-ya-muqawama</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T20:47:10+03:30</news:publication_date><news:title>Afisa wa Hizbullah: Kuuawa shahidi Imam Khamenei kumeimarisha  nguvu ya Muqawama</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/0f617c17ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDM0MC5qcGd8ZnVpOjYzNDcxfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Afisa wa Hizbullah: Kuuawa shahidi Imam Khamenei kumeimarisha  nguvu ya Muqawama</image:title><image:caption>IQNA – Naibu Mkuu wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa kuuawa Shahidi Ayatullah Seyyed Ali Khamenei kumeongeza mara mbili nguvu ya makundi ya Muqawama wa Kiislamu na watu huru duniani kote.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482443/waziri-wa-malaysia-shahidi-khamenei-ni-kinara-wa-uamsho-wa-kiislamu-kwa-ummah</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T20:39:37+03:30</news:publication_date><news:title>Waziri wa Malaysia: Shahidi Khamenei ni Kinara wa Uamsho wa Kiislamu kwa Ummah</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/3902aa91ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDMzOC5qcGd8ZnVpOjYzNDcwfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Waziri wa Malaysia: Shahidi Khamenei ni Kinara wa Uamsho wa Kiislamu kwa Ummah</image:title><image:caption>IQNA – Kiongozi mwandamizi wa Malaysia ameonyesha imani kuwa itikadi alizozisimamia na kuzipigania Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, zitaendelea kuishi na kudumu hata baada ya kuondoka kwake, akisema kuwa Uislamu utaendelea kusonga mbele kupitia mwongozo na msukumo wa kiongozi huyo.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482442/video-ya-wimbo-wa-lazima-tuinuke-yatolewa-kwa-kiingereza</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T17:57:33+03:30</news:publication_date><news:title>Video ya wimbo wa ‘Lazima Tuinuke’ yatolewa kwa Kiingereza</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/7618f26dZTp3ZWJwfGY6NDM2MDE1OC5wbmd8ZnVpOjYzNDY4fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Video ya wimbo wa ‘Lazima Tuinuke’ yatolewa kwa Kiingereza</image:title><image:caption>IQNA – Video ya wimbo wa kishujaa wenye jina la “We Must Rise” (Lazima Tuinuke) imetolewa rasmi kwa lugha ya Kiingereza ambapo muimbaji ni Mahdi Dardashtian. Wimbo huu ni kazi iliyosikika kwa sauti za huzuni katika majilisi za maombolezo katika majimbo mbalimbali nchini Marekani wakati wa usiku wa mwezi mtukufu wa Muharram. &#13;
Kazi hii imedhihirisha mshikamano wa kina wa nyoyo za watu kutoka mataifa tofauti; watu waliojitokeza kuomboleza msiba wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuonyesha mshikamano wa dhati na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Hili ni dhihirisho tosha kuwa huzuni hii haijafungwa na mipaka ya kijiografia, bali inagusa nyoyo za watu huru ulimwenguni kote, ikionyesha kuwa mapenzi kwa shakhsia wa haki hayajui mipaka.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482441/tehran-yakumbwa-na-majonzi-katika-ibada-ya-kuaga-mwili-wa-imam-shahidi</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T17:47:34+03:30</news:publication_date><news:title>Tehran yakumbwa na majonzi katika Ibada ya kuaga mwili wa Imam Shahidi</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/b0aa3f54ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDE0Ni5qcGd8ZnVpOjYzNDY3fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Tehran yakumbwa na majonzi katika Ibada ya kuaga mwili wa Imam Shahidi</image:title><image:caption>IQNA – Ibada ya kuaga mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei (Mwenyezi Mungu awe radhi naye), imeendelea kwa siku ya pili leo tarehe 5 Julai 2026, katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini (RA) uliopo Tehran. Mji wa Tehran umezama katika majonzi mazito huku mamilioni ya waombolezaji wakimiminika katika eneo la Musalla ili kutoa heshima za mwisho kwa shakhsia huyu mahiri na mlinzi wa Ummah. Hali ya huzuni imetawala kote, huku nyoyo za Waislamu zikiwa zimejaa msiba mkubwa wa kuondokewa na kiongozi wao shujaa aliyesimamia haki dhidi ya dhulma za ulimwengu.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482440/ayatullah-subhani-awaongoza-mamilioni-kuswalia-mwili-wa-kiongozi-shahidi-imam-khamenei-mjini-tehran</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T17:34:11+03:30</news:publication_date><news:title>Ayatullah Subhani awaongoza mamilioni kuswalia mwili wa Kiongozi Shahidi Imam Khamenei mjini Tehran</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/99313828ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDEzNS53ZWJwfGZ1aTo2MzQ2NnxsOnN3fHY6MQ.webp</image:loc><image:title>Ayatullah Subhani awaongoza mamilioni kuswalia mwili wa Kiongozi Shahidi Imam Khamenei mjini Tehran</image:title><image:caption>IQNA-Mamilioni ya waombolezaji wameshiriki Swala ya maiti ya mwili mtakatifu wa Imam shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na kundi la wanafamilia wake watukufu iliyofanyika kwa uwepo mkubwa wa viongozi wa serikali, jeshi na umma kwa ujumla.</image:caption></image:image></url></urlset>
