<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<urlset xmlns="http://www.sitemaps.org/schemas/sitemap/0.9" xmlns:news="http://www.google.com/schemas/sitemap-news/0.9" xmlns:image="http://www.google.com/schemas/sitemap-image/1.1"><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482445/kiongozi-wa-jihad-islami-aangazia-mapenzi-ya-kiongozi-shahidi-kwa-palestina</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T20:51:27+03:30</news:publication_date><news:title>Kiongozi wa Jihad Islami aangazia mapenzi ya Kiongozi Shahidi kwa Palestina</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/fd6741f8ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDM0Mi5qcGd8ZnVpOjYzNDcyfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Kiongozi wa Jihad Islami aangazia mapenzi ya Kiongozi Shahidi kwa Palestina</image:title><image:caption>IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina, amesema kuwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, alikuwa na mapenzi ya dhati kwa Palestina.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482444/afisa-wa-hizbullah-kuuawa-shahidi-imam-khamenei-kumeimarisha-nguvu-ya-muqawama</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T20:47:10+03:30</news:publication_date><news:title>Afisa wa Hizbullah: Kuuawa shahidi Imam Khamenei kumeimarisha  nguvu ya Muqawama</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/0f617c17ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDM0MC5qcGd8ZnVpOjYzNDcxfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Afisa wa Hizbullah: Kuuawa shahidi Imam Khamenei kumeimarisha  nguvu ya Muqawama</image:title><image:caption>IQNA – Naibu Mkuu wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa kuuawa Shahidi Ayatullah Seyyed Ali Khamenei kumeongeza mara mbili nguvu ya makundi ya Muqawama wa Kiislamu na watu huru duniani kote.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482443/waziri-wa-malaysia-shahidi-khamenei-ni-kinara-wa-uamsho-wa-kiislamu-kwa-ummah</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T20:39:37+03:30</news:publication_date><news:title>Waziri wa Malaysia: Shahidi Khamenei ni Kinara wa Uamsho wa Kiislamu kwa Ummah</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/3902aa91ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDMzOC5qcGd8ZnVpOjYzNDcwfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Waziri wa Malaysia: Shahidi Khamenei ni Kinara wa Uamsho wa Kiislamu kwa Ummah</image:title><image:caption>IQNA – Kiongozi mwandamizi wa Malaysia ameonyesha imani kuwa itikadi alizozisimamia na kuzipigania Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, zitaendelea kuishi na kudumu hata baada ya kuondoka kwake, akisema kuwa Uislamu utaendelea kusonga mbele kupitia mwongozo na msukumo wa kiongozi huyo.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482442/video-ya-wimbo-wa-lazima-tuinuke-yatolewa-kwa-kiingereza</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T17:57:33+03:30</news:publication_date><news:title>Video ya wimbo wa ‘Lazima Tuinuke’ yatolewa kwa Kiingereza</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/7618f26dZTp3ZWJwfGY6NDM2MDE1OC5wbmd8ZnVpOjYzNDY4fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Video ya wimbo wa ‘Lazima Tuinuke’ yatolewa kwa Kiingereza</image:title><image:caption>IQNA – Video ya wimbo wa kishujaa wenye jina la “We Must Rise” (Lazima Tuinuke) imetolewa rasmi kwa lugha ya Kiingereza ambapo muimbaji ni Mahdi Dardashtian. Wimbo huu ni kazi iliyosikika kwa sauti za huzuni katika majilisi za maombolezo katika majimbo mbalimbali nchini Marekani wakati wa usiku wa mwezi mtukufu wa Muharram. &#13;
Kazi hii imedhihirisha mshikamano wa kina wa nyoyo za watu kutoka mataifa tofauti; watu waliojitokeza kuomboleza msiba wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuonyesha mshikamano wa dhati na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Hili ni dhihirisho tosha kuwa huzuni hii haijafungwa na mipaka ya kijiografia, bali inagusa nyoyo za watu huru ulimwenguni kote, ikionyesha kuwa mapenzi kwa shakhsia wa haki hayajui mipaka.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482441/tehran-yakumbwa-na-majonzi-katika-ibada-ya-kuaga-mwili-wa-imam-shahidi</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T17:47:34+03:30</news:publication_date><news:title>Tehran yakumbwa na majonzi katika Ibada ya kuaga mwili wa Imam Shahidi</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/b0aa3f54ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDE0Ni5qcGd8ZnVpOjYzNDY3fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Tehran yakumbwa na majonzi katika Ibada ya kuaga mwili wa Imam Shahidi</image:title><image:caption>IQNA – Ibada ya kuaga mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei (Mwenyezi Mungu awe radhi naye), imeendelea kwa siku ya pili leo tarehe 5 Julai 2026, katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini (RA) uliopo Tehran. Mji wa Tehran umezama katika majonzi mazito huku mamilioni ya waombolezaji wakimiminika katika eneo la Musalla ili kutoa heshima za mwisho kwa shakhsia huyu mahiri na mlinzi wa Ummah. Hali ya huzuni imetawala kote, huku nyoyo za Waislamu zikiwa zimejaa msiba mkubwa wa kuondokewa na kiongozi wao shujaa aliyesimamia haki dhidi ya dhulma za ulimwengu.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482440/ayatullah-subhani-awaongoza-mamilioni-kuswalia-mwili-wa-kiongozi-shahidi-imam-khamenei-mjini-tehran</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-05T17:34:11+03:30</news:publication_date><news:title>Ayatullah Subhani awaongoza mamilioni kuswalia mwili wa Kiongozi Shahidi Imam Khamenei mjini Tehran</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/99313828ZTp3ZWJwfGY6NDM2MDEzNS53ZWJwfGZ1aTo2MzQ2NnxsOnN3fHY6MQ.webp</image:loc><image:title>Ayatullah Subhani awaongoza mamilioni kuswalia mwili wa Kiongozi Shahidi Imam Khamenei mjini Tehran</image:title><image:caption>IQNA-Mamilioni ya waombolezaji wameshiriki Swala ya maiti ya mwili mtakatifu wa Imam shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na kundi la wanafamilia wake watukufu iliyofanyika kwa uwepo mkubwa wa viongozi wa serikali, jeshi na umma kwa ujumla.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482439/bendera-na-nara-za-palestina-zatawala-kombe-la-dunia-la-2026-huku-mashabiki-wakionyesha-mshikamano</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-04T12:33:33+03:30</news:publication_date><news:title>Bendera na nara za Palestina zatawala Kombe la Dunia la 2026 huku mashabiki wakionyesha Mshikamano</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/5360a25bZTp3ZWJwfGY6NDM1ODYyMy5wbmd8ZnVpOjYzNDYzfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Bendera na nara za Palestina zatawala Kombe la Dunia la 2026 huku mashabiki wakionyesha Mshikamano</image:title><image:caption>IQNA – Mashindano ya Kombe la Dunia la 2026 yanafanyika kote Amerika Kaskazini, lakini “sauti” kuu ya michuano hiyo inayoimbwa bila shaka ni ile ya kuunga mkono Palestina.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482438/wasomi-wa-kiislamu-malaysia-mazishi-ya-ayatullah-khamenei-yatoa-ujumbe-mzito-nja-ya-mipaka-ya-iran</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-04T11:20:00+03:30</news:publication_date><news:title>Wasomi wa Kiislamu Malaysia: Mazishi ya Ayatullah Khamenei yatoa ujumbe mzito nja ya mipaka ya Iran</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/a6cf9d5fZTp3ZWJwfGY6NDM1ODQ0NS5qcGd8ZnVpOjYzNDYyfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Wasomi wa Kiislamu Malaysia: Mazishi ya Ayatullah Khamenei yatoa ujumbe mzito nja ya mipaka ya Iran</image:title><image:caption>IQNA – Rais wa Baraza la Ushauri la Mashirika ya Kiislamu ya Malaysia (MAPIM) amesema kuwa mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, yanatoa ujumbe mzito unaovuka mipaka ya Iran.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482437/viongozi-wa-nchi-mbali-mbali-duniani-wafika-tehran-kutoa-heshima-kwa-kiongozi-shahidi</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-04T10:41:23+03:30</news:publication_date><news:title>Viongozi wa nchi mbali mbali duniani wafika Tehran kutoa heshima kwa Kiongozi Shahidi</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/af648820ZTp3ZWJwfGY6NDM1ODY2NS5qcGd8ZnVpOjYzNDY1fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Viongozi wa nchi mbali mbali duniani wafika Tehran kutoa heshima kwa Kiongozi Shahidi</image:title><image:caption>IQNA-Viongozi waandamizi wa Iran, marais na wakuu wa nchi, pamoja na wageni mashuhuri na wajumbe wa ngazi za juu kutoka mataifa mbalimbali duniani, wamefika Tehran kutoa heshima zao kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482436/wanaharakati-wa-kimataifa-watoa-heshima-za-mwisho-kwa-kiongozi-shahidi-wa-mapinduzi-ya-kiislamu</loc><news:news><news:publication_date>2026-07-04T10:14:59+03:30</news:publication_date><news:title>Wanaharakati wa Kimataifa watoa heshima za mwisho kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/b3c5fd48ZTp3ZWJwfGY6NDM1ODQwNS5qcGd8ZnVpOjYzNDYwfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Wanaharakati wa Kimataifa watoa heshima za mwisho kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu</image:title><image:caption>IQNA – Tangu alfajiri ya jana, Julai 3, jijini Tehran, kumekuwa na mwendelezo wa shughuli za heshima za mwisho kwa mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, na mashahidi wengine waliojitoa mhanga kwa ajili ya Uislamu na taifa la Iran. Shughuli hii muhimu inafanyika katika Musalla wa Imam Khomeini (RA).</image:caption></image:image></url></urlset>
