<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<urlset xmlns="http://www.sitemaps.org/schemas/sitemap/0.9" xmlns:news="http://www.google.com/schemas/sitemap-news/0.9" xmlns:image="http://www.google.com/schemas/sitemap-image/1.1"><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482606/misikiti-vituo-vya-elimu-ya-quran-nchini-brazil</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-09T16:16:33+03:30</news:publication_date><news:title>Misikiti: Vituo vya Elimu ya Qur’an nchini Brazil</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/9b82cf95ZTp3ZWJwfGY6NDM5MjM1NC5wbmd8ZnVpOjYzNjQ3fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Misikiti: Vituo vya Elimu ya Qur’an nchini Brazil</image:title><image:caption>IQNA – Kupokea vijana Waislamu na kuwapatia programu za kidini na Qur’ani huifanya misikiti nchini Brazil kuimarisha hali yao ya kiroho, huku pia ikilea kizazi kipya kilichounganishwa na Qur’an na Sunna ya Mtume SAW.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482605/ashura-imebadilika-kutoka-tukio-la-kihistoria-na-kuwa-dhihirisho-la-kistaarabu-waziri-wa-mambo-ya-nje-wa-iran</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-09T16:10:53+03:30</news:publication_date><news:title>Ashura imebadilika kutoka tukio la Kihistoria na Kuwa Dhihirisho la Kistaarabu: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/9925b375ZTp3ZWJwfGY6NDM5MjM0OC53ZWJwfGZ1aTo2MzY0NnxsOnN3fHY6MQ.webp</image:loc><image:title>Ashura imebadilika kutoka tukio la Kihistoria na Kuwa Dhihirisho la Kistaarabu: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran</image:title><image:caption>IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa harakati ya Imam Hussein (AS) si tukio la kihistoria na kidini tu, bali ni madrasa ya maisha na nyaraka ya msingi ya kusimama dhidi ya dhulma, upotovu na ufisadi.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482604/msikiti-ulioko-ufaransa-wafungwa-wakili-aonya-hatari-kwa-uhuru-wa-dini</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-09T16:02:08+03:30</news:publication_date><news:title>Msikiti ulioko Ufaransa wafungwa, wakili aonya hatari kwa uhuru wa dini</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/712a7709ZTp3ZWJwfGY6NDM5MjM0MS5wbmd8ZnVpOjYzNjQ1fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Msikiti ulioko Ufaransa wafungwa, wakili aonya hatari kwa uhuru wa dini</image:title><image:caption>IQNA – Wakili anayewakilisha msikiti mmoja nchini Ufaransa amekosoa vikali uamuzi wa kuufunga kwa miezi sita, akisema hatua hiyo ni pigo kwa uhuru wa dini na hata kwa dhana ya usekula inayodaiwa kulindwa nchini humo.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482602/vijana-wasomaji-quran-washindania-nafasi-za-juu-katika-mashindano-ya-46-ya-kimataifa-ya-quran-makka</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-09T15:53:01+03:30</news:publication_date><news:title>Vijana wasomaji Qur’an washindania nafasi za juu katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’an Makka</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/74b3eb55ZTp3ZWJwfGY6NDM5MjMzNy5wbmd8ZnVpOjYzNjQzfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Vijana wasomaji Qur’an washindania nafasi za juu katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’an Makka</image:title><image:caption>IQNA – Kumbi za mashindano jijini Makka zilisikika zikirindima kwa sauti za kuvutia za usomaji wa aya tukufu za Qur’an siku ya Jumamosi, huku washiriki 33 wa kwanza wakijitokeza mbele ya jopo la majaji.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482601/tanbihi-msifanye-khiyana</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-09T15:44:41+03:30</news:publication_date><news:title>Tanbihi | Msifanye Khiyana</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/ff97175aZTp3ZWJwfGY6NDM5MjMzMi5qcGd8ZnVpOjYzNjQyfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Tanbihi | Msifanye Khiyana</image:title><image:caption>IQNA-Qur’ani Tukufu, kitabu cha mwongozo na mwamko wa mwanadamu, katika aya zake inawasilisha ujumbe ulio wazi na wenye kutoa mwanga kwa nyakati zote na kwa wanadamu wote; jumbe hizi zinajumuisha kila kitu kuanzia utunzaji wa imani na maadili ya mtu binafsi, hadi kusimama imara katika dhiki, kuwa na matumaini kwa rehema za Mwenyezi Mungu, uwajibikaji katika jamii, kuepuka kughafilika, na kusonga mbele katika njia ya haki. Mfululizo huu wa “Ujumbe wa Wahyi,” kwa kuchagua aya zenye mada maalum, unajitahidi kujenga daraja dhahiri kati ya dhana kuu za wahyi na maisha ya sasa ya wasomaji, huku ukiweka kila aya mbele ya msomaji kama ujumbe wenye kuhamasisha, wenye kutoa nafasi ya kutafakari, na wenye manufaa ya kiutendaji.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482600/ripoti-waislamu-25-wauawa-katika-uhalifu-wa-chuki-dhidi-ya-uislamu-india-katika-miezi-3</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-08T17:41:21+03:30</news:publication_date><news:title>Ripoti: Waislamu 25 wauawa katika uhalifu wa Chuki Dhidi ya Uislamu India katika miezi 3</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/0c1b94daZTp3ZWJwfGY6NDM5MTIzMC5wbmd8ZnVpOjYzNjQxfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Ripoti: Waislamu 25 wauawa katika uhalifu wa Chuki Dhidi ya Uislamu India katika miezi 3</image:title><image:caption>IQNA – Waislamu ishirini na tano waliuawa nchini India kati ya Mei na Julai 2026, ambapo vifo 15 vilihusishwa na wahusika wa dola na vifo 10 na wahusika wasiokuwa wa dola kutoka makundi yenye msimamo mkali wa Kihindu.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482599/maelfu-ya-mazuwar-wanufaika-na-vituo-vya-qurani-wakati-wa-arbaeen-nchini-iraq</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-08T17:36:03+03:30</news:publication_date><news:title>Maelfu ya Mazuwar wanufaika na Vituo vya Qur’ani wakati wa Arbaeen nchini Iraq</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/8e2b00feZTp3ZWJwfGY6NDM5MTIyNC5qcGd8ZnVpOjYzNjQwfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Maelfu ya Mazuwar wanufaika na Vituo vya Qur’ani wakati wa Arbaeen nchini Iraq</image:title><image:caption>IQNA – Kituo cha Dar-ol-Quran cha Atabat au Mfawidhi wa haram takatifu ya Imam Hussein (AS) kimekamilisha mradi wa vituo vya Qur’ani kwa ajili ya matembezi ya Arbaeen.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482598/kongamano-la-10-la-kimataifa-la-arbaeen-lafanyika-karbala</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-08T17:28:34+03:30</news:publication_date><news:title>Kongamano la 10 la Kimataifa la Arbaeen lafanyika Karbala</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/0b774fe8ZTp3ZWJwfGY6NDM5MTIyMi53ZWJwfGZ1aTo2MzYzOXxsOnN3fHY6MQ.webp</image:loc><image:title>Kongamano la 10 la Kimataifa la Arbaeen lafanyika Karbala</image:title><image:caption>IQNA – Toleo la 10 la Kongamano la Kimataifa la Kitaalamu kuhusu Ziyara ya Arbaeen limeandaliwa katika Haram takatifu ya Imam Hussein (AS) iliyoko mjini Karbala, Iraq, siku ya Ijumaa.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482597/kauli-ya-afisa-wa-yemen-kufuatia-mkataba-wa-ulinzi-wa-saudi-arabia-uturuki-na-pakistan</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-08T17:14:25+03:30</news:publication_date><news:title>Kauli ya afisa wa Yemen kufuatia Mkataba wa Ulinzi wa Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/1a17c295ZTp3ZWJwfGY6NDM5MTE5Ny53ZWJwfGZ1aTo2MzYzOHxsOnN3fHY6MQ.webp</image:loc><image:title>Kauli ya afisa wa Yemen kufuatia Mkataba wa Ulinzi wa Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan</image:title><image:caption>IQNA – Mwenyekiti wa Baraza la Juu la Kisiasa la Yemen amerejelea mkataba wa ulinzi wa pamoja kati ya Pakistan, Uturuki, na Saudi Arabia, akisema kuwa makubaliano ya namna hiyo hayana athari yoyote kwa hali ya mambo nchini Yemen, kwani mlinganyo wa “mzingiro dhidi ya mzingiro” utaendelea kubaki pale pale hadi malengo yake yatakapofikiwa.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482596/mshukiwa-wa-kitendo-cha-kuchoma-msikiti-mjini-philadelphia-afunguliwa-mashtaka</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-08T17:09:57+03:30</news:publication_date><news:title>Mshukiwa wa kitendo cha kuchoma Msikiti mjini Philadelphia afunguliwa mashtaka</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/1684083aZTp3ZWJwfGY6NDM5MTE4MS5wbmd8ZnVpOjYzNjM3fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Mshukiwa wa kitendo cha kuchoma Msikiti mjini Philadelphia afunguliwa mashtaka</image:title><image:caption>IQNA – Moto ulikuwa haujazimika vyema katika Jumuiya ya Kiislamu ya Al-Aqsa, iliyoko kaskazini-mashariki mwa Philadelphia, Marekani mwezi uliopita, wakati wachunguzi wa shirikisho walipoungana kimyakimya na wazima moto wa eneo hilo katika eneo hilo la tukio lililoathiriwa na moto.</image:caption></image:image></url></urlset>
