<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<urlset xmlns="http://www.sitemaps.org/schemas/sitemap/0.9" xmlns:news="http://www.google.com/schemas/sitemap-news/0.9" xmlns:image="http://www.google.com/schemas/sitemap-image/1.1"><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482592/hatimaye-jimbo-la-texas-marekani-laidhinisha-ujenzi-wa-msikiti</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-07T08:16:58+03:30</news:publication_date><news:title>Hatimaye jimbo la Texas, Marekani laidhinisha ujenzi wa msikiti</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/2203c247ZTp3ZWJwfGY6NDM4OTgxNC5qcGVnfGZ1aTo2MzYzM3xsOnN3fHY6MQ.webp</image:loc><image:title>Hatimaye jimbo la Texas, Marekani laidhinisha ujenzi wa msikiti</image:title><image:caption>IQNA – Baraza la Jiji la McKinney, jimboni Texas nchini Marekani, limeidhinisha kwa kauli moja mpango wa kujengwa kwa msikiti mpya uliopendekezwa na Jumuiya ya Kiislamu ya McKinney, licha ya wasiwasi uliotolewa na baadhi ya wakazi kuhusu athari zinazoweza kujitokeza kwa jamii inayozunguka eneo hilo. Uamuzi huo wa kura 7-0 ulifuatia kikao kirefu na wakati mwingine chenye mvutano, ambapo takriban wakazi 150 walizungumza, baadhi wakiunga mkono na wengine wakipinga mradi huo.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482591/mashauriano-na-iraq-kufanikisha-arbaeen-ya-mwaka-ujao-yameanza</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-07T08:13:27+03:30</news:publication_date><news:title>Mashauriano na Iraq kufanikisha  Arbaeen ya mwaka ujao yameanza</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/d2f6aabbZTp3ZWJwfGY6NDM4NzcwOS5qcGd8ZnVpOjYzNjMyfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Mashauriano na Iraq kufanikisha  Arbaeen ya mwaka ujao yameanza</image:title><image:caption>IQNA – Iran na Iraq zimeanza mapema mashauriano na maandalizi ya ziara ya Arbaeen ya mwaka ujao, mara tu baada ya kumalizika kwa matembezi ya mwaka huu, amesema Mojtaba Shahti Karimi, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kibalozi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na Mkuu wa Kamati ya Kisiasa na Kibalozi ya Makao Makuu ya Arbaeen.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482590/mazishi-ya-kimbari-mashahidi-112-wazikwa-katika-mkusanyiko-mkubwa-gaza</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-05T16:21:14+03:30</news:publication_date><news:title>Mazishi ya Kimbari: Mashahidi 112 wazikwa katika mkusanyiko mkubwa Gaza</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/607c8d78ZTp3ZWJwfGY6NDM4OTA4Ny5qcGd8ZnVpOjYzNjMxfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Mazishi ya Kimbari: Mashahidi 112 wazikwa katika mkusanyiko mkubwa Gaza</image:title><image:caption>IQNA – Katika tukio la kusikitisha na la kihistoria, miili ya mashahidi 112 imezikwa katika mazishi makubwa zaidi ya halaiki kuwahi kushuhudiwa katika Ukanda wa Gaza.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482589/mbunge-arbaeen-ni-kielelezo-cha-ujumbe-wa-kudumu-wa-ashura</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-05T16:13:03+03:30</news:publication_date><news:title>Mbunge: Arbaeen ni kielelezo cha ujumbe wa kudumu wa Ashura</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/f77cb9eaZTp3ZWJwfGY6NDM4OTA4NC5qcGd8ZnVpOjYzNjMwfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Mbunge: Arbaeen ni kielelezo cha ujumbe wa kudumu wa Ashura</image:title><image:caption>IQNA – Mbunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitiza kuwa Arbaeen inawakilisha mwendelezo wa harakati ya Ashura na uhuishaji wa kiapo cha uaminifu kwa malengo matukufu ya Imam Hussein (AS).</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482587/haram-tukufu-ya-imam-hussein-as-katika-siku-ya-arbaeen</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-05T15:48:15+03:30</news:publication_date><news:title>Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika Siku ya Arbaeen</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/d8d3727fZTp3ZWJwfGY6NDM4OTA3Ny5qcGd8ZnVpOjYzNjI3fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika Siku ya Arbaeen</image:title><image:caption>IQNA – Matembezi ya Arbaeen yalifanyika mjini Karbala, ikiwemo katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS), kwa mahudhurio yenye hamasa kubwa ya wapenzi na wafuasi wa Bwana wa Mashahidi, Imam Hussein (AS) siku ya Jumanne.</image:caption></image:image></url></urlset>
