<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<urlset xmlns="http://www.sitemaps.org/schemas/sitemap/0.9" xmlns:news="http://www.google.com/schemas/sitemap-news/0.9" xmlns:image="http://www.google.com/schemas/sitemap-image/1.1"><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482581/wito-wa-kuongezwa-kwa-programu-za-quran-katika-matembezi-ya-arbaeen</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-03T16:04:31+03:30</news:publication_date><news:title>Wito wa kuongezwa kwa programu za Qur'an katika matembezi ya Arbaeen</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/91469975ZTp3ZWJwfGY6NDM4Njc4MC5qcGd8ZnVpOjYzNjIxfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Wito wa kuongezwa kwa programu za Qur'an katika matembezi ya Arbaeen</image:title><image:caption>IQNA – Akisisitiza mwitikio mzuri wa programu za Qur'ani Tukufu miongoni mwa mazuwaru wakati wa matembezi ya Arbaeen, msomaji mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran ametoa wito wa kuongezwa kwa idadi ya programu hizo.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482580/ujumbe-wa-kosovo-washinda-mashindano-ya-kimataifa-ya-qurani-mjini-skopje</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-03T15:48:56+03:30</news:publication_date><news:title>Ujumbe wa Kosovo washinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani mjini Skopje</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/c1b26186ZTp3ZWJwfGY6NDM4Njc2OC5qcGd8ZnVpOjYzNjIwfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Ujumbe wa Kosovo washinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani mjini Skopje</image:title><image:caption>IQNA – Wasomaji na mahafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Kosovo wameibuka kuwa ujumbe uliofanya vyema zaidi katika Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Balkan yaliyofanyika mjini Skopje, mji mkuu wa Macedonia Kaskazini.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482579/mashindano-ya-kuhifadhi-quran-tukufu-mkoani-nineveh-iraq</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-03T15:43:12+03:30</news:publication_date><news:title>Mashindano ya Kuhifadhi Quran Tukufu mkoani Nineveh, Iraq</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/529d7f51ZTp3ZWJwfGY6NDM4Njc1OC5qcGd8ZnVpOjYzNjE5fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Mashindano ya Kuhifadhi Quran Tukufu mkoani Nineveh, Iraq</image:title><image:caption>IQNA-Mashindano makubwa ya kuhifadhi Quran Tukufu yameanza rasmi siku ya Jumamosi katika mkoa wa Nineveh nchini Iraq, yakishirikisha jumla ya mahafidhi elfu ishirini kutoka rika zote</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482578/zaidi-ya-wanahabari-700-wanaakisi-matembezi-ya-arbaeen-jijini-karbala</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-03T15:30:52+03:30</news:publication_date><news:title>Zaidi ya wanahabari 700 wanaakisi matembezi ya Arbaeen jijini Karbala</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/359358abZTp3ZWJwfGY6NDM4Njc1My5qcGd8ZnVpOjYzNjE4fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Zaidi ya wanahabari 700 wanaakisi matembezi ya Arbaeen jijini Karbala</image:title><image:caption>IQNA – Mbali na uwepo wa wanahabari 143 wa ndani na wanaharakati wa vyombo vya habari wanaohabarisha kuhusu matembezi ya Arbaeen, karibu wanahabari 600, wanaharakati wa vyombo vya habari, wapiga picha, na wafanyakazi wa kiufundi kutoka nchi mbalimbali wanashiriki katika kuangazia tukio hili adhimu.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482577/ukamilifu-na-ujumuishi-wa-qurani-tukufu</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-03T15:13:17+03:30</news:publication_date><news:title>Ukamilifu na Ujumuishi wa Qur’ani Tukufu</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/543296a6ZTp3ZWJwfGY6NDM4NjcyOS5wbmd8ZnVpOjYzNjE3fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Ukamilifu na Ujumuishi wa Qur’ani Tukufu</image:title><image:caption>IQNA-Qur’ani Tukufu, kitabu cha mwongozo na mwamko wa mwanadamu, katika aya zake inawasilisha ujumbe ulio wazi na wenye kutoa mwanga kwa nyakati zote na kwa wanadamu wote; jumbe hizi zinajumuisha kila kitu kuanzia utunzaji wa imani na maadili ya mtu binafsi, hadi kusimama imara katika dhiki, kuwa na matumaini kwa rehema za Mwenyezi Mungu, uwajibikaji katika jamii, kuepuka kughafilika, na kusonga mbele katika njia ya haki.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482576/huduma-kwa-mazuwar-wa-arbaeen-katika-kivuko-cha-mpaka-cha-shalamcheh</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-03T14:34:36+03:30</news:publication_date><news:title>Huduma kwa Mazuwar wa Arbaeen katika Kivuko cha Mpaka cha Shalamcheh</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/6452c39bZTp3ZWJwfGY6NDM4NjcxNS5qcGd8ZnVpOjYzNjE2fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Huduma kwa Mazuwar wa Arbaeen katika Kivuko cha Mpaka cha Shalamcheh</image:title><image:caption>IQNA – Matembezi ya Arbaeen, mkusanyiko mkubwa zaidi wa kidini duniani, huwaleta mamilioni ya wapenzi na wafuasi wa Ahl-ul-Bayt (AS) kutoka mataifa mbalimbali katika mji mtukufu wa Karbala kila mwaka.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482575/matembezi-ya-arbaeen-yaendeshwa-kwa-usalama-na-utaratibu-wa-juu</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-02T16:21:36+03:30</news:publication_date><news:title>Matembezi  ya Arbaeen yaendeshwa kwa usalama na utaratibu wa Juu</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/c9a7d88aZTp3ZWJwfGY6NDM4NTg4MS5qcGd8ZnVpOjYzNjE1fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Matembezi  ya Arbaeen yaendeshwa kwa usalama na utaratibu wa Juu</image:title><image:caption>IQNA – Balozi wa Iran nchini Iraq amesema kuwa Mashaya au matembezi ya Arbaeen ya mwaka huu yanaendeshwa kwa utukufu mkubwa zaidi, kwa utaratibu mzuri na ikiwa na changamoto chache ikilinganishwa na miaka iliyopita.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482574/mawkib-ya-kiutamaduni-yavutia-mazuwar-wa-arbaeen</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-02T16:16:36+03:30</news:publication_date><news:title>Mawkib ya kiutamaduni yavutia mazuwar wa Arbaeen</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/c1e1bb8eZTp3ZWJwfGY6NDM4NTg3OC5qcGd8ZnVpOjYzNjE0fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Mawkib ya kiutamaduni yavutia mazuwar wa Arbaeen</image:title><image:caption>IQNA – Mawkib ya kiutamaduni, yaani kituo cha huduma, iliyoanzishwa na Astan, taasisi inayosimamia Haram tukufu ya Hadhrat Abbas (AS), kwenye njia ya kutoka Najaf hadi Karbala, imepokelewa kwa furaha na mazuwar wa Arbaeen.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482573/programu-za-qurani-kwa-wanawake-zafanyika-katika-haram-tukufu-ya-imam-ali-as-wakati-wa-arbaeen</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-02T16:04:05+03:30</news:publication_date><news:title>Programu za Qur’ani kwa wanawake zafanyika katika Haram tukufu ya Imam Ali (AS) wakati wa Arbaeen</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/8feb9c4cZTp3ZWJwfGY6NDM4NTg3MS5qcGd8ZnVpOjYzNjEzfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Programu za Qur’ani kwa wanawake zafanyika katika Haram tukufu ya Imam Ali (AS) wakati wa Arbaeen</image:title><image:caption>IQNA – Astan, yaani taasisi inayosimamia Haram tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, inaendesha programu za Qur’ani kwa ajili ya mazuwari wanawake katika msimu wa Arbaeen.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482572/uzoefu-na-juhudi-za-kitaaluma-ni-msingi-wa-kushiriki-mashindano-ya-kale-zaidi-ya-kimataifa-ya-qurani</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-02T15:40:24+03:30</news:publication_date><news:title>Uzoefu na juhudi za kitaaluma ni msingi wa kushiriki Mashindano ya Kale Zaidi ya Kimataifa ya Qur’ani</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/3649db0fZTp3ZWJwfGY6NDM4NTg2Ni5wbmd8ZnVpOjYzNjEyfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Uzoefu na juhudi za kitaaluma ni msingi wa kushiriki Mashindano ya Kale Zaidi ya Kimataifa ya Qur’ani</image:title><image:caption>IQNA – Qari au Msomaji wa Qur’ani kutoka Iran, ambaye atashiriki katika toleo la mwaka huu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia, amesema anaendelea kufanya juhudi kubwa ili kujiandaa kikamilifu kwa ajili ya tukio hilo la Qur’ani.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482571/mashindano-ya-qurani-ya-sultan-qaboos-ya-oman-hatua-ya-awali-yaanza-kwa-kishindo</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-02T15:32:28+03:30</news:publication_date><news:title>Mashindano ya Qur’ani ya Sultan Qaboos ya Oman: Hatua ya awali yaanza kwa kishindo</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/7a23ca98ZTp3ZWJwfGY6NDM4NTg2My5wbmd8ZnVpOjYzNjExfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Mashindano ya Qur’ani ya Sultan Qaboos ya Oman: Hatua ya awali yaanza kwa kishindo</image:title><image:caption>IQNA-Mashindano ya 34 ya Qur’ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman yameanza rasmi huku yakishuhudia idadi ya washiriki 2,214 wakijitokeza katika hatua ya awali.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482570/nafasi-muhimu-ya-mawakib-za-qurani-katika-safari-ya-arbaeen</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-01T21:47:49+03:30</news:publication_date><news:title>Nafasi muhimu ya Mawakib za Qur’ani katika Safari ya Arbaeen</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/80049ce7ZTp3ZWJwfGY6NDM4NTEyNy53ZWJwfGZ1aTo2MzYwOXxsOnN3fHY6MQ.webp</image:loc><image:title>Nafasi muhimu ya Mawakib za Qur’ani katika Safari ya Arbaeen</image:title><image:caption>IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesisitiza umuhimu wa Mawakib za Qur’ani,vituo vya huduma vilivyojengwa kando ya njia ya Arbaeen, katika kukidhi mahitaji ya kiroho na kiutamaduni ya mazuwar</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482569/askofu-mkuu-wa-urusi-apongeza-ujumbe-wa-kiongozi-wa-mapinduzi-ya-kiislamu</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-01T21:34:25+03:30</news:publication_date><news:title>Askofu Mkuu wa Urusi apongeza ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/684fbdc5ZTp3ZWJwfGY6NDM4NTA1OC5qcGd8ZnVpOjYzNjA4fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Askofu Mkuu wa Urusi apongeza ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu</image:title><image:caption>IQNA – Balozi wa Iran nchini Urusi (Russia), Kazem Jalali, alimkabidhi Askofu Mkuu wa Russia ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, wakati wa mkutano wao.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482568/12-000-wajisajili-kushiriki-tuzo-ya-kimataifa-ya-qurani-ya-dubai</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-01T21:22:53+03:30</news:publication_date><news:title>12,000 wajisajili kushiriki Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/03fc3393ZTp3ZWJwfGY6NDM4NTA1NC5wbmd8ZnVpOjYzNjA3fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>12,000 wajisajili kushiriki Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai</image:title><image:caption>IQNA – Toleo la 29 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai limepokea zaidi ya mawasilisho 12,000 kutoka kwa washiriki wa kiume na wa kike wanaowakilisha nchi 120 duniani, ndani ya wiki mbili za kwanza tangu usajili ulipofunguliwa. Idadi hiyo ni zaidi ya mara mbili ya waombaji 5,618 kutoka nchi 105 walioshiriki katika toleo lililotangulia.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482567/msichana-wa-gaza-apata-utulivu-na-faraja-ya-kiroho-kwa-kuhifadhi-qurani-tukufu</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-01T21:15:52+03:30</news:publication_date><news:title>Msichana wa Gaza apata utulivu na faraja ya kiroho kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/5d31e122ZTp3ZWJwfGY6NDM4NTA0OS5qcGd8ZnVpOjYzNjA2fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Msichana wa Gaza apata utulivu na faraja ya kiroho kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu</image:title><image:caption>IQNA – Wanaharakati kwenye mitandao ya kijamii wamesambaza video yenye kugusa moyo ya msichana mwenye umri wa miaka 12 kutoka Gaza, ambaye kuhifadhi Qur’ani Tukufu kumekuwa kimbilio kwake.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482566/ufyatuaji-risasi-waripotiwa-nje-ya-kituo-cha-kiislamu-cha-york-mtu-mmoja-akamatwa-hakuna-aliyejeruhiwa</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-01T21:03:31+03:30</news:publication_date><news:title>Ufyatuaji risasi waripotiwa nje ya Kituo cha Kiislamu cha York; mtu mmoja akamatwa, hakuna aliyejeruhiwa</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/1a30c3eaZTp3ZWJwfGY6NDM4NTA0MC5wbmd8ZnVpOjYzNjA1fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Ufyatuaji risasi waripotiwa nje ya Kituo cha Kiislamu cha York; mtu mmoja akamatwa, hakuna aliyejeruhiwa</image:title><image:caption>IQNA – Jeshi la Polisi katika eneo la North Yorkshire, Uingereza, limemkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 44 kufuatia tukio la ufyatuaji risasi nje ya Msikiti na Kituo cha Kiislamu cha York.</image:caption></image:image></url></urlset>
