<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<urlset xmlns="http://www.sitemaps.org/schemas/sitemap/0.9" xmlns:news="http://www.google.com/schemas/sitemap-news/0.9" xmlns:image="http://www.google.com/schemas/sitemap-image/1.1"><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482595/jordan-yatoa-onyo-kali-kuhusu-hatua-haramu-za-israel-dhidi-ya-msikiti-wa-al-aqsa</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-07T09:46:43+03:30</news:publication_date><news:title>Jordan yatoa onyo kali kuhusu hatua haramu za Israel dhidi ya Msikiti wa  Al-Aqsa</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/6a6e5c27ZTp3ZWJwfGY6NDM4OTg4Mi5wbmd8ZnVpOjYzNjM2fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Jordan yatoa onyo kali kuhusu hatua haramu za Israel dhidi ya Msikiti wa  Al-Aqsa</image:title><image:caption>IQNA – Jordan imetoa onyo kali kwa washirika wake wa kimataifa kwamba utawala haramu wa Israel unaweza kuwa karibu kuchukua udhibiti kamili wa msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa AL Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482594/msichana-wa-iraq-aihifadhi-qurani-tukufu-katika-siku-43-pekee</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-07T09:39:03+03:30</news:publication_date><news:title>Msichana wa Iraq aihifadhi Qur’ani Tukufu katika Siku 43 Pekee</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/c76f9ac4ZTp3ZWJwfGY6NDM4OTg3OC5qcGd8ZnVpOjYzNjM1fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Msichana wa Iraq aihifadhi Qur’ani Tukufu katika Siku 43 Pekee</image:title><image:caption>IQNA – Msichana mmoja wa shule ya upili nchini Iraq amefikia hatua ya kipekee na ya kusifiwa kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu nzima katika kipindi cha siku 43 pekee. Zainab, mwanafunzi katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Khadija nchini Iraq, alipewa heshima kubwa kwa mafanikio yake haya adhimu.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482593/vyombo-vya-habari-vya-israel-vyatoa-tahadhari-kuhusu-ugombea-wa-abdul-el-sayed-seneti-marekani</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-07T09:31:58+03:30</news:publication_date><news:title>Vyombo vya habari vya Israel vyatoa tahadhari kuhusu ugombea wa Abdul El-Sayed Seneti Marekani</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/733056ddZTp3ZWJwfGY6NDM4OTg2Ny5wbmd8ZnVpOjYzNjM0fGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Vyombo vya habari vya Israel vyatoa tahadhari kuhusu ugombea wa Abdul El-Sayed Seneti Marekani</image:title><image:caption>IQNA – Vyombo vya habari vya Israel vimeonyesha wasiwasi kufuatia ushindi wa daktari Mmisri-Mmarekani, Abdul El-Sayed, katika kura za mchujo za Chama cha Democratic kwa kiti cha Seneti ya Marekani katika jimbo la Michigan, vikilitaja tukio hilo kuwa pigo muhimu kwa makundi yanayounga mkono Israel nchini Marekani.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482592/hatimaye-jimbo-la-texas-marekani-laidhinisha-ujenzi-wa-msikiti</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-07T08:16:58+03:30</news:publication_date><news:title>Hatimaye jimbo la Texas, Marekani laidhinisha ujenzi wa msikiti</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/2203c247ZTp3ZWJwfGY6NDM4OTgxNC5qcGVnfGZ1aTo2MzYzM3xsOnN3fHY6MQ.webp</image:loc><image:title>Hatimaye jimbo la Texas, Marekani laidhinisha ujenzi wa msikiti</image:title><image:caption>IQNA – Baraza la Jiji la McKinney, jimboni Texas nchini Marekani, limeidhinisha kwa kauli moja mpango wa kujengwa kwa msikiti mpya uliopendekezwa na Jumuiya ya Kiislamu ya McKinney, licha ya wasiwasi uliotolewa na baadhi ya wakazi kuhusu athari zinazoweza kujitokeza kwa jamii inayozunguka eneo hilo. Uamuzi huo wa kura 7-0 ulifuatia kikao kirefu na wakati mwingine chenye mvutano, ambapo takriban wakazi 150 walizungumza, baadhi wakiunga mkono na wengine wakipinga mradi huo.</image:caption></image:image></url><url><loc>https://iqna.ir/sw/news/3482591/mashauriano-na-iraq-kufanikisha-arbaeen-ya-mwaka-ujao-yameanza</loc><news:news><news:publication_date>2026-08-07T08:13:27+03:30</news:publication_date><news:title>Mashauriano na Iraq kufanikisha  Arbaeen ya mwaka ujao yameanza</news:title><news:publication><news:name>iqna.ir</news:name><news:language>sw</news:language></news:publication></news:news><image:image><image:loc>https://iqna.ir/media/d2f6aabbZTp3ZWJwfGY6NDM4NzcwOS5qcGd8ZnVpOjYzNjMyfGw6c3d8djox.webp</image:loc><image:title>Mashauriano na Iraq kufanikisha  Arbaeen ya mwaka ujao yameanza</image:title><image:caption>IQNA – Iran na Iraq zimeanza mapema mashauriano na maandalizi ya ziara ya Arbaeen ya mwaka ujao, mara tu baada ya kumalizika kwa matembezi ya mwaka huu, amesema Mojtaba Shahti Karimi, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kibalozi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na Mkuu wa Kamati ya Kisiasa na Kibalozi ya Makao Makuu ya Arbaeen.</image:caption></image:image></url></urlset>
