Huda Alban amenukuliwa na shirika la habari la Sabanews akisema kuwa, uvamizi wa Wazayuni huko Gaza unakiuka maazimio yote ya Umoja wa Mataifa na mikataba mbalimbali ya haki za binaadamu hasa mkataba wa Geneva.
Waziri huyo wa Yemen amesema: Nchi za Kiarabu zinabeba majukumu mazito na zinapaswa kuwanusuru Waarabu wa Palestina na Iraq ambao ardhi zao zinakaliwa kwa mabavu na Marekani na Israel. 334094