Bw. Mostafa Ranjbar Shirazi Mkuu Idara ya Mwambata wa Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania amemwambia mwandishi wa IQNA kuwa dhifa hiyo ya futari itafanyika wiki hii mjini Dar-es-Salaam kwa lengo la kutangaza harakati za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuimarisha uhusiano wa kiutamaduni.
Ameongeza kuwa Ijumaa iliyopita Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Dar-es-Salaam uliandaa dhifa ya futari iliyohuduriwa na shakhsia 180 wa kiutamaduni na kidini nchini Tanzania.
646097