IQNA

Masomo ya Qur'ani yaanza tena katika Ukanda wa Ghaza

TEHRAN (IQNA)- Masomo ya Qur'ani yameanza tena katika misikiti ya Ukanda wa Ghaza siku ya Jumapili baada ya kufungwa kwa miezi miwili kutokana na janga la COVID-19 au corona.

 

Kishikizo: ghaza ، qurani tukufu