IQNA

Wapalestina Ghaza watangaza kufungamana na Walebanon

Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wametangaza kufungmana na wananchi wa Lebanon katika hasa jamaa za wale walipoteza maisha katika mlipuko wa Jumanne iliyopita mjini Beirut.
 

 

Kishikizo: lebanon ، wapalestina ، mlipuko ، ghaza