Waandamanji wameitaja hatua hiyo ya UAE kuwa ni usaliti kwa malengo matukufu ya Palestina. Aidha wametekeleteza moto za Mrithi wa Ufalme wa Abu Dhabi Mohammed bin Zayed Al Nahyan, Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.