IQNA

Wapakistan waandamana kulaani jarida la Ufaransa lililomvunjia hehsima Mtume SAW

TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelefu ya watu wameandamana kote Pakistan katika siku za hivi karibuni kulaani hatua ya jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo kuchapisha tena katoni zinazomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW