IQNA

Usiku wa Pili wa Mashindano ya 37 Kimataifa ya Qur’ani ya Iran

TEHRAN (IQNA)- Fainali za Mashindano ya 37 Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ziliendelea Jumapili ambapo majaji wakiwa Tehran na maeneo mengine duniani waliwasikiliza washiriki wakisoma Qur'ani kwa njia ya intaneti. Mashindano hayo yamefanyika kwa njia ya intaneti kutokana na janga la corona.