TEHRAN (IQNA)- Jumamosi ya jana ilishuhudia siku ya sita tokea utawala wa Kizayuni wa Israel unazishe hujuma ya kinyama dhidi ya Wapalestina katika eneo la Ukanda wa Ghaza.
Hadi sasa Wapalestina 170, wakiwemo watoto 41, wameuawa shahidi katika hujuma hii mpya ya utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Ghaza huku wengine 1,000 wakijeruhiwa.