Tafsiri hiyo ya lugha ya Kiarabu imeandika na Abu Ishaq bin Ibrahim ambaye pia anakulikana kama al-Busti.
Nakala hiyo hivi sasa inakarabatiwa katika maabara na inaaminika kuwa iliandikwa mwaka 368 Hijria Qamaria sawa na 978 Miladia.
Katika tafsiri hiyo mwandishi anaandika aya au sehemu yake na kisha anataja Hadithi na baada ya hapo anafasiri aya.
Tafsiri hiyo ni muhimu kwani inaonyesha pia namna maandishi ya Kiarabu yalivyobadilika.
Katika Jumba la Makumbusho la Nyaraka za Kale la Alexandria nchini Misri, kuna idadi kubwa ya nyaraka miaka 1,000 iliyopita.