Kwa mujibu wa taarifa Sala hiyo itasaliwa Alhamisi Oktoba 28, 2021 saa kumi na mbili kasorobo Alfajiri.
Sala hiyo inatazamiwa kusaliwa katika misikiti 90 kote katika nchi hiyo.
Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani atasalisha sala hiyo katika Uwanja wa Sala wa Al Wajba.
Qatar imekuwa ikishuhudia uhwaba mkubwa wa mvua katika miaka ya hivi karibuni.