IQNA

Msikiti wenye mvuto wa Bibi Heybat mjini Baku

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Bibi Heybat uko katika mji mkuu wa Jamhuri ya Azerbaijan, Baku na una usanifu majengo wenye mvuto.

Katika msikiti huo kuna kaburi la Bibi Fatima Sughra, bintiye Imam Kadhim AS, Imamu wa Saba wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.

 

 

Kishikizo: Baku ، bibi heybat ، imam kadhim