Picha: Hafla ya Kufunga Tamasha la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini Iran
IQNA – Hafla ya kufunga Tamasha la 39 la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran ilifanyika Jumapili, tarehe 9 Novemba 2025, katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Azad, tawi la Isfahan.