<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
<rss version="2.0">
   <channel>
      <title>iqna.ir</title>
      <link>https://iqna.ir</link>
      <description>Shirika la Habari la Qur'ani la Kimataifa
</description>
      <managingEditor>info@iqna.ir</managingEditor>
      <webMaster>info@iransamaneh.com</webMaster>
      <lastBuildDate>Tue, 30 Jun 2026 12:50:02 +0330</lastBuildDate>
      <generator>SepehrFeed V1.2</generator>
      <item>
         <title>Usomaji wa Aya za Sura Al-Furqān na Qari wa Iran, Hamed Alizadeh</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482415/usomaji-wa-aya-za-sura-al-furqan-na-qari-wa-iran-hamed-alizadeh</link>
         <description>IQNA – Qari wa Iran, Hamed Alizadeh, hivi karibuni alisoma Aya za 71 hadi 77 za Sura Al-Furqān pamoja na Sura An-Nasr katika hafla ya Qur’ani iliyofanyika katika haram takatifu ya Imamu Ridha (AS) mjini Mashhad.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>29 Jun 2026 17:31:29 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Siku ya Ashura mjini Witu, Kaunti ya Lamu, Kenya</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482406/siku-ya-ashura-mjini-witu-kaunti-ya-lamu-kenya</link>
         <description>IQNA-Waislamu wa mji wa Witu katika Kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya wameshiriki katika maombolezo ya siku ya Ashura, ambayo ni  kumbukumbu ya kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali (AS), watu wa nyumba yake na wafuasi wake watiifu katika uwanda wa Karbala, Iraq mwaka 61 Hijria Qamaria. Maadhimisho hayo yameandaliwa na Kituo cha Kiislamu cha Umul Banin mjini humo. Hizi hapa chini klipu za maombolezo hayo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>26 Jun 2026 20:31:37 +0330</pubDate>
      </item>
   </channel>
</rss>