<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
<rss version="2.0">
   <channel>
      <title>iqna.ir</title>
      <link>https://iqna.ir</link>
      <description>Shirika la Habari la Qur'ani la Kimataifa
</description>
      <managingEditor>info@iqna.ir</managingEditor>
      <webMaster>info@iransamaneh.com</webMaster>
      <lastBuildDate>Thu, 23 Jul 2026 05:35:00 +0330</lastBuildDate>
      <generator>SepehrFeed V1.2</generator>
      <item>
         <title>Qari wa Iran, Ustadh Abolqassemi asoma Qur’ani katika Ibada ya Khitma ya Kiongozi Shahidi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482511/qari-wa-iran-ustadh-abolqassemi-asoma-qurani-katika-ibada-ya-khitma-ya-kiongozi-shahidi</link>
         <description>IQNA – Katika Khitma ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, iliyofanyika katika Haramu Tukufu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, Qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Ahmad Abolqassemi, aliongoza usomaji wa aya za 64 hadi 71 za Surah An-Nisa pamoja na Surah Al-Fatiha.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Jul 2026 17:26:30 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Hafla ya Qur’ani Yafanyika Tehran Kumkumbuka Kiongozi Shahidi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482510/hafla-ya-qurani-yafanyika-tehran-kumkumbuka-kiongozi-shahidi</link>
         <description>IQNA – Hafla ya usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa ajili ya kumkumbuka Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, imefanyika katika Uwanja wa Vali Asr jijini Tehran mnamo tarehe 15 Julai, 2026.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Jul 2026 17:22:56 +0330</pubDate>
      </item>
   </channel>
</rss>