<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
<rss version="2.0">
   <channel>
      <title>iqna.ir</title>
      <link>https://iqna.ir</link>
      <description>Shirika la Habari la Qur'ani la Kimataifa
</description>
      <managingEditor>info@iqna.ir</managingEditor>
      <webMaster>info@iransamaneh.com</webMaster>
      <lastBuildDate>Tue, 30 Jun 2026 15:15:00 +0330</lastBuildDate>
      <generator>SepehrFeed V1.2</generator>
      <item>
         <title>Iraq yajitayarisha kwa Misafara ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi mijini Najaf na Karbala</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482419/iraq-yajitayarisha-kwa-misafara-ya-mazishi-ya-kiongozi-shahidi-mijini-najaf-na-karbala</link>
         <description>IQNA – Kufuatia kuanza kwa uratibu mpana kati ya taasisi za Iraq na Iran, Iraq inajitayarisha kuandaa misafara ya mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatullah Seyed Ali Khamenei katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>29 Jun 2026 18:02:22 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Vituo 3,000 vya Majira ya Kiangazi vya Kuhifadhi Qur’ani vyaanzishwa Jordan</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482418/vituo-3-000-vya-majira-ya-kiangazi-vya-kuhifadhi-qurani-vyaanzishwa-jordan</link>
         <description>IQNA – Wanafunzi wa shule nchini Jordan wanapata fursa ya kutumia vyema likizo zao za majira ya kiangazi kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu na kujifunza maadili ya Kiislamu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>29 Jun 2026 17:55:44 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Italia yazindua hati ya kitaifa ya mazungumzo ya kati ya dini mbali mbali</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482416/italia-yazindua-hati-ya-kitaifa-ya-mazungumzo-ya-kati-ya-dini-mbali-mbali</link>
         <description>IQNA – Wawakilishi wa dini na madhehebu mbalimbali nchini Italia wameandaa hati ya kwanza ya kitaifa kwa ajili ya kuimarisha mazungumzo ya kati ya dini.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>29 Jun 2026 17:47:24 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Usomaji wa Aya za Sura Al-Furqān na Qari wa Iran, Hamed Alizadeh</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482415/usomaji-wa-aya-za-sura-al-furqan-na-qari-wa-iran-hamed-alizadeh</link>
         <description>IQNA – Qari wa Iran, Hamed Alizadeh, hivi karibuni alisoma Aya za 71 hadi 77 za Sura Al-Furqān pamoja na Sura An-Nasr katika hafla ya Qur’ani iliyofanyika katika haram takatifu ya Imamu Ridha (AS) mjini Mashhad.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>29 Jun 2026 17:31:29 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Jeshi la Iran la IRGC lashambulia vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482414/jeshi-la-iran-la-irgc-lashambulia-vituo-vya-jeshi-la-marekani-kujibu-uchokozi</link>
         <description>IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeendesha oparesheni kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya vituo nane vya kijeshi vya Marekani katika kanda hii, likiitaja hatua hiyo kuwa “jibu madhubuti” dhidi ya uchokozi mpya wa Marekani kwenye ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>28 Jun 2026 10:48:21 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Usajili wa Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482413/usajili-wa-msafara-wa-qurani-wa-arbaeen-wa-iran</link>
         <description>IQNA – Muda wa usajili kwa wanaharakati na watumishi wa Qur’ani wanaotaka kushiriki katika Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran wa mwaka 2026 umeongezwa hadi Jumanne, tarehe 30 Juni.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>28 Jun 2026 10:44:30 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Rais wa Zamani wa Nigeria apongeza Tafsiri ya Qur’ani kwa lugha ya Nupe</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482412/rais-wa-zamani-wa-nigeria-apongeza-tafsiri-ya-qurani-kwa-lugha-ya-nupe</link>
         <description>IQNA – Rais wa zamani wa Nigeria, Ibrahim Badamasi Babangida, amepongeza kazi ya tarjuma na tafsiri ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Nupe, akiieleza kuwa ni mafanikio makubwa ya kihistoria.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>28 Jun 2026 10:35:41 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Hafla ya Kumuaga Kiongozi Shahidi yapangwa kufanyika Tehran</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482411/hafla-ya-kumuaga-kiongozi-shahidi-yapangwa-kufanyika-tehran</link>
         <description>IQNA – Msafara wa mazishi ya Kiongoz Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei utafanyika mjini Tehran siku ya Jumamosi na Jumapili.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>28 Jun 2026 10:28:02 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Nida ya “Ya Hussein” Yatanda katika Msafara wa Tuwairij Mjini Karbala</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482410/nida-ya-ya-hussein-yatanda-katika-msafara-wa-tuwairij-mjini-karbala</link>
         <description>IQNA – Mamilioni ya waombolezaji mjini Karbala wameshiriki adhuhuri ya Ijumaa ya Ashura katika msafara mkubwa na wa kihistoria wa Rakdhat Tuwairij.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>27 Jun 2026 15:45:09 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mtafiti wa Kishia akamatwa Bahrain baada ya kuandika kuhusu Ashura</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482408/mtafiti-wa-kishia-akamatwa-bahrain-baada-ya-kuandika-kuhusu-ashura</link>
         <description>IQNA – Ukiendelea na mnyororo wake wa kimfumo wa kuzuia uhuru wa maoni na kukandamiza wataalamu na watendaji wa kiraia, ufalme wa kiimla wa Bahrain umemkamata mtafifi mwelekeo wa Shia.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>27 Jun 2026 15:21:34 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Hafla ya Kisomo cha Qur’ani Tukufu ya Ashura yafanyika Karbala</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482407/hafla-ya-kisomo-cha-qurani-tukufu-ya-ashura-yafanyika-karbala</link>
         <description>IQNA – Hafla ya kisomo cha Qur’ani Tukufu imefanyika siku ya Ashura katika mji mtukufu wa Karbala.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>27 Jun 2026 15:15:42 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Siku ya Ashura mjini Witu, Kaunti ya Lamu, Kenya</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482406/siku-ya-ashura-mjini-witu-kaunti-ya-lamu-kenya</link>
         <description>IQNA-Waislamu wa mji wa Witu katika Kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya wameshiriki katika maombolezo ya siku ya Ashura, ambayo ni  kumbukumbu ya kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali (AS), watu wa nyumba yake na wafuasi wake watiifu katika uwanda wa Karbala, Iraq mwaka 61 Hijria Qamaria. Maadhimisho hayo yameandaliwa na Kituo cha Kiislamu cha Umul Banin mjini humo. Hizi hapa chini klipu za maombolezo hayo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>26 Jun 2026 20:31:37 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Idadi Kubwa ya Mazuwaru wafurika Haram Takatifu ya Karbala kwa maombolezo ya Ashura</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482405/idadi-kubwa-ya-mazuwaru-wafurika-haram-takatifu-ya-karbala-kwa-maombolezo-ya-ashura</link>
         <description>IQNA – Haram takatifu ya Imam Hussein (AS) katika mji wa Karbala nchini Iraq ilijaa mazuwaru usiku wa kuamkia Ashura, ambao uliangukia usiku wa Alhamisi katika nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>26 Jun 2026 18:52:28 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Bendera za Ashura zapeperushwa katika kote Ulaya</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482404/bendera-za-ashura-zapeperushwa-katika-kote-ulaya</link>
         <description>IQNA – Maelfu ya Waislamu wa Kishia na wapenzi wa Ahlul-Bayt (AS) katika miji mbalimbali ya Ulaya waliinua bendera za maombolezo ya Muharram na kupaza mwito wa “Labayka Ya Hussein”.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>26 Jun 2026 18:48:36 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Majlisi za Maombolezo ya Ashura zafanyika kwenye kaburi la Shahidi Nasrallah</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482403/majlisi-za-maombolezo-ya-ashura-zafanyika-kwenye-kaburi-la-shahidi-nasrallah</link>
         <description>IQNA – Hafla ya maombolezo ya Ashura iliandaliwa siku ya Ijumaa kwenye kaburi la shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, aliyekuwa Katibu Mkuu wa harakati ya mapambano ya Hizbullah ya Lebanon.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>26 Jun 2026 18:43:24 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Jumuiya ya Qur'ani ya Iran Yaandaa Khitma ya Qur’ani Katika Maadhimisho ya Ashura</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482402/jumuiya-ya-qurani-ya-iran-yaandaa-khitma-ya-qurani-katika-maadhimisho-ya-ashura</link>
         <description>IQNA – Kwa mnasaba wa kuwasili kwa siku za Tasua na Ashura, yaani tarehe ya tisa na ya kumi ya mwezi wa Muharram, Jumuiya ya Qur'ani nchini Iran iliendesha ibada ya jadi ya Khatma ya Qur’ani, yaani usomaji wa Qur’ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho wake.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>26 Jun 2026 18:36:03 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Malengo matukufu ya Imam Hussein (AS) yalivuka mipaka ya zama</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482401/malengo-matukufu-ya-imam-hussein-as-yalivuka-mipaka-ya-zama</link>
         <description>IQNA – Mwamko wa Imam Hussein (AS) haukuwa uasi wa kimageuzi uliotokea na kuishia katika kurasa za historia; bali ulikuwa ni mkondo wa kifikra wenye malengo matukufu na maadili ya kimalakuti yanayovuka mipaka ya zama.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>25 Jun 2026 12:50:52 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Sheikh Qassim:  Utawala wa Israel umegonga mwamba vitani Lebanon</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482400/sheikh-qassim-utawala-wa-israel-umegonga-mwamba-vitani-lebanon</link>
         <description>IQNA0-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, ameashiria "kugonga mwamba wa mradi wa Israel," na kusisitiza kwamba, utawala huu hautaweza kamwe kufikia malengo yake katika medani ya vita.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>25 Jun 2026 10:56:13 +0330</pubDate>
      </item>
   </channel>
</rss>