<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
<rss version="2.0">
   <channel>
      <title>iqna.ir</title>
      <link>https://iqna.ir</link>
      <description>Shirika la Habari la Qur'ani la Kimataifa
</description>
      <managingEditor>info@iqna.ir</managingEditor>
      <webMaster>info@iransamaneh.com</webMaster>
      <lastBuildDate>Tue, 11 Aug 2026 00:15:00 +0330</lastBuildDate>
      <generator>SepehrFeed V1.2</generator>
      <item>
         <title>Rais wa IUMS aangazia maisha ya Qur’ani ya mwanazuoni wa Algeria, Sheikh Mohamed Said Kaabash</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482611/rais-wa-iums-aangazia-maisha-ya-qurani-ya-mwanazuoni-wa-algeria-sheikh-mohamed-said-kaabash</link>
         <description>IQNA – Rais wa Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) ametoa rambirambi zake kwa watu wa Algeria na Ummah ya Kiislamu kufuatia kuaga dunia kwa mwanazuoni mkuu wa Qur’ani, Sheikh Mohamed Said Kaabash.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>10 Aug 2026 15:20:14 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Makumbusho ya Makka yanaonesha Mushaf wa karne ya 18</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482610/makumbusho-ya-makka-yanaonesha-mushaf-wa-karne-ya-18</link>
         <description>IQNA – Nakala ya Qur’ani ya karne ya 18 ni miongoni mwa vitu vinavyoonyeshwa katika Makumbusho ya Qur’ani Tukufu ndani ya Eneo la Utamaduni la Hira huko Makka, Saudia.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>10 Aug 2026 15:12:38 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Qari kijana nchini Misri ana ndoto ya  kuwa Abdul Basit mwingine</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482609/qari-kijana-nchini-misri-ana-ndoto-ya-kuwa-abdul-basit-mwingine</link>
         <description>IQNA – Yousef, kijana kutoka Bahira nchini Misri, amewavutia wengi kwa sauti yake ya usomaji Qur’ani Tukufu na ameendeleza kipawa chake kwa kusikiliza qiraa za maqari mashuhuri kupitia mtandao. Anaota ndoto siku moja kuwa miongoni mwa majina makubwa katika uwanja wa usomaji wa Qur’ani na kufuata nyayo za Sheikh Abdul Basit Abdul Samad.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>10 Aug 2026 15:07:37 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Ushindi wa Imani: Kijana Hafidh mwenye ulemavu wa macho kutoka Bangladesh katika Mashindano ya Qur’ani Makka</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482608/ushindi-wa-imani-kijana-hafidh-mwenye-ulemavu-wa-macho-kutoka-bangladesh-katika-mashindano-ya-qurani-makka</link>
         <description>IQNA – Katika kile kinachothibitisha kuwa nuru ya Qur’ani Tukufu haina mipaka, Mahmoud Hassan Ashrafi, kijana mwenye umri wa miaka 18 kutoka Bangladesh ambaye ana ulemavu wa macho na hivyo haoni, anashiriki katika hatua ya fainali ya Mashindano ya  46 ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu huko Makka, Saudia.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>10 Aug 2026 15:01:06 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Toleo la Tatu la Programu ya ‘Nyoyo Zilizoshikamana na Misikiti’ Sharjah</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482607/toleo-la-tatu-la-programu-ya-nyoyo-zilizoshikamana-na-misikiti-sharjah</link>
         <description>IQNA – Toleo la tatu la programu ya “Nyoyo Zilizoshikamana na Misikiti” (Hearts Attached to Mosques) limepangwa kuzinduliwa huko Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>10 Aug 2026 14:53:44 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Misikiti: Vituo vya Elimu ya Qur’an nchini Brazil</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482606/misikiti-vituo-vya-elimu-ya-quran-nchini-brazil</link>
         <description>IQNA – Kupokea vijana Waislamu na kuwapatia programu za kidini na Qur’ani huifanya misikiti nchini Brazil kuimarisha hali yao ya kiroho, huku pia ikilea kizazi kipya kilichounganishwa na Qur’an na Sunna ya Mtume SAW.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>09 Aug 2026 16:16:33 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Ashura imebadilika kutoka tukio la Kihistoria na Kuwa Dhihirisho la Kistaarabu: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482605/ashura-imebadilika-kutoka-tukio-la-kihistoria-na-kuwa-dhihirisho-la-kistaarabu-waziri-wa-mambo-ya-nje-wa-iran</link>
         <description>IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa harakati ya Imam Hussein (AS) si tukio la kihistoria na kidini tu, bali ni madrasa ya maisha na nyaraka ya msingi ya kusimama dhidi ya dhulma, upotovu na ufisadi.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>09 Aug 2026 16:10:53 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Msikiti ulioko Ufaransa wafungwa, wakili aonya hatari kwa uhuru wa dini</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482604/msikiti-ulioko-ufaransa-wafungwa-wakili-aonya-hatari-kwa-uhuru-wa-dini</link>
         <description>IQNA – Wakili anayewakilisha msikiti mmoja nchini Ufaransa amekosoa vikali uamuzi wa kuufunga kwa miezi sita, akisema hatua hiyo ni pigo kwa uhuru wa dini na hata kwa dhana ya usekula inayodaiwa kulindwa nchini humo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>09 Aug 2026 16:02:08 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Vijana wasomaji Qur’an washindania nafasi za juu katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’an Makka</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482602/vijana-wasomaji-quran-washindania-nafasi-za-juu-katika-mashindano-ya-46-ya-kimataifa-ya-quran-makka</link>
         <description>IQNA – Kumbi za mashindano jijini Makka zilisikika zikirindima kwa sauti za kuvutia za usomaji wa aya tukufu za Qur’an siku ya Jumamosi, huku washiriki 33 wa kwanza wakijitokeza mbele ya jopo la majaji.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>09 Aug 2026 15:53:01 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Tanbihi | Msifanye Khiyana</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482601/tanbihi-msifanye-khiyana</link>
         <description>IQNA-Qur’ani Tukufu, kitabu cha mwongozo na mwamko wa mwanadamu, katika aya zake inawasilisha ujumbe ulio wazi na wenye kutoa mwanga kwa nyakati zote na kwa wanadamu wote; jumbe hizi zinajumuisha kila kitu kuanzia utunzaji wa imani na maadili ya mtu binafsi, hadi kusimama imara katika dhiki, kuwa na matumaini kwa rehema za Mwenyezi Mungu, uwajibikaji katika jamii, kuepuka kughafilika, na kusonga mbele katika njia ya haki. Mfululizo huu wa “Ujumbe wa Wahyi,” kwa kuchagua aya zenye mada maalum, unajitahidi kujenga daraja dhahiri kati ya dhana kuu za wahyi na maisha ya sasa ya wasomaji, huku ukiweka kila aya mbele ya msomaji kama ujumbe wenye kuhamasisha, wenye kutoa nafasi ya kutafakari, na wenye manufaa ya kiutendaji.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>09 Aug 2026 15:44:41 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Ripoti: Waislamu 25 wauawa katika uhalifu wa Chuki Dhidi ya Uislamu India katika miezi 3</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482600/ripoti-waislamu-25-wauawa-katika-uhalifu-wa-chuki-dhidi-ya-uislamu-india-katika-miezi-3</link>
         <description>IQNA – Waislamu ishirini na tano waliuawa nchini India kati ya Mei na Julai 2026, ambapo vifo 15 vilihusishwa na wahusika wa dola na vifo 10 na wahusika wasiokuwa wa dola kutoka makundi yenye msimamo mkali wa Kihindu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>08 Aug 2026 17:41:21 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Maelfu ya Mazuwar wanufaika na Vituo vya Qur’ani wakati wa Arbaeen nchini Iraq</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482599/maelfu-ya-mazuwar-wanufaika-na-vituo-vya-qurani-wakati-wa-arbaeen-nchini-iraq</link>
         <description>IQNA – Kituo cha Dar-ol-Quran cha Atabat au Mfawidhi wa haram takatifu ya Imam Hussein (AS) kimekamilisha mradi wa vituo vya Qur’ani kwa ajili ya matembezi ya Arbaeen.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>08 Aug 2026 17:36:03 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Kongamano la 10 la Kimataifa la Arbaeen lafanyika Karbala</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482598/kongamano-la-10-la-kimataifa-la-arbaeen-lafanyika-karbala</link>
         <description>IQNA – Toleo la 10 la Kongamano la Kimataifa la Kitaalamu kuhusu Ziyara ya Arbaeen limeandaliwa katika Haram takatifu ya Imam Hussein (AS) iliyoko mjini Karbala, Iraq, siku ya Ijumaa.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>08 Aug 2026 17:28:34 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Kauli ya afisa wa Yemen kufuatia Mkataba wa Ulinzi wa Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482597/kauli-ya-afisa-wa-yemen-kufuatia-mkataba-wa-ulinzi-wa-saudi-arabia-uturuki-na-pakistan</link>
         <description>IQNA – Mwenyekiti wa Baraza la Juu la Kisiasa la Yemen amerejelea mkataba wa ulinzi wa pamoja kati ya Pakistan, Uturuki, na Saudi Arabia, akisema kuwa makubaliano ya namna hiyo hayana athari yoyote kwa hali ya mambo nchini Yemen, kwani mlinganyo wa “mzingiro dhidi ya mzingiro” utaendelea kubaki pale pale hadi malengo yake yatakapofikiwa.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>08 Aug 2026 17:14:25 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mshukiwa wa kitendo cha kuchoma Msikiti mjini Philadelphia afunguliwa mashtaka</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482596/mshukiwa-wa-kitendo-cha-kuchoma-msikiti-mjini-philadelphia-afunguliwa-mashtaka</link>
         <description>IQNA – Moto ulikuwa haujazimika vyema katika Jumuiya ya Kiislamu ya Al-Aqsa, iliyoko kaskazini-mashariki mwa Philadelphia, Marekani mwezi uliopita, wakati wachunguzi wa shirikisho walipoungana kimyakimya na wazima moto wa eneo hilo katika eneo hilo la tukio lililoathiriwa na moto.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>08 Aug 2026 17:09:57 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Jordan yatoa onyo kali kuhusu hatua haramu za Israel dhidi ya Msikiti wa  Al-Aqsa</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482595/jordan-yatoa-onyo-kali-kuhusu-hatua-haramu-za-israel-dhidi-ya-msikiti-wa-al-aqsa</link>
         <description>IQNA – Jordan imetoa onyo kali kwa washirika wake wa kimataifa kwamba utawala haramu wa Israel unaweza kuwa karibu kuchukua udhibiti kamili wa msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa AL Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>07 Aug 2026 09:46:43 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Msichana wa Iraq aihifadhi Qur’ani Tukufu katika Siku 43 Pekee</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482594/msichana-wa-iraq-aihifadhi-qurani-tukufu-katika-siku-43-pekee</link>
         <description>IQNA – Msichana mmoja wa shule ya upili nchini Iraq amefikia hatua ya kipekee na ya kusifiwa kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu nzima katika kipindi cha siku 43 pekee. Zainab, mwanafunzi katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Khadija nchini Iraq, alipewa heshima kubwa kwa mafanikio yake haya adhimu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>07 Aug 2026 09:39:03 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Vyombo vya habari vya Israel vyatoa tahadhari kuhusu ugombea wa Abdul El-Sayed Seneti Marekani</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482593/vyombo-vya-habari-vya-israel-vyatoa-tahadhari-kuhusu-ugombea-wa-abdul-el-sayed-seneti-marekani</link>
         <description>IQNA – Vyombo vya habari vya Israel vimeonyesha wasiwasi kufuatia ushindi wa daktari Mmisri-Mmarekani, Abdul El-Sayed, katika kura za mchujo za Chama cha Democratic kwa kiti cha Seneti ya Marekani katika jimbo la Michigan, vikilitaja tukio hilo kuwa pigo muhimu kwa makundi yanayounga mkono Israel nchini Marekani.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>07 Aug 2026 09:31:58 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Hatimaye jimbo la Texas, Marekani laidhinisha ujenzi wa msikiti</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482592/hatimaye-jimbo-la-texas-marekani-laidhinisha-ujenzi-wa-msikiti</link>
         <description>IQNA – Baraza la Jiji la McKinney, jimboni Texas nchini Marekani, limeidhinisha kwa kauli moja mpango wa kujengwa kwa msikiti mpya uliopendekezwa na Jumuiya ya Kiislamu ya McKinney, licha ya wasiwasi uliotolewa na baadhi ya wakazi kuhusu athari zinazoweza kujitokeza kwa jamii inayozunguka eneo hilo. Uamuzi huo wa kura 7-0 ulifuatia kikao kirefu na wakati mwingine chenye mvutano, ambapo takriban wakazi 150 walizungumza, baadhi wakiunga mkono na wengine wakipinga mradi huo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>07 Aug 2026 08:16:58 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mashauriano na Iraq kufanikisha  Arbaeen ya mwaka ujao yameanza</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482591/mashauriano-na-iraq-kufanikisha-arbaeen-ya-mwaka-ujao-yameanza</link>
         <description>IQNA – Iran na Iraq zimeanza mapema mashauriano na maandalizi ya ziara ya Arbaeen ya mwaka ujao, mara tu baada ya kumalizika kwa matembezi ya mwaka huu, amesema Mojtaba Shahti Karimi, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kibalozi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na Mkuu wa Kamati ya Kisiasa na Kibalozi ya Makao Makuu ya Arbaeen.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>07 Aug 2026 08:13:27 +0330</pubDate>
      </item>
   </channel>
</rss>