<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
<rss version="2.0">
   <channel>
      <title>iqna.ir</title>
      <link>https://iqna.ir</link>
      <description>Shirika la Habari la Qur'ani la Kimataifa
</description>
      <managingEditor>info@iqna.ir</managingEditor>
      <webMaster>info@iransamaneh.com</webMaster>
      <lastBuildDate>Tue, 21 Jul 2026 22:55:00 +0330</lastBuildDate>
      <generator>SepehrFeed V1.2</generator>
      <item>
         <title>Arbaeen ni fursa ya kipekee ya kueneza utamaduni wa Qur’ani</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482521/arbaeen-ni-fursa-ya-kipekee-ya-kueneza-utamaduni-wa-qurani</link>
         <description>IQNA – Mkuu wa Makao Makuu ya Kati ya Arbaeen nchini Iran amesisitiza umuhimu wa matembezi ya kila mwaka ya Arbaeen kama fursa adhimu ya kueneza utamaduni wa Qur’ani.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>21 Jul 2026 16:03:09 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Muungano wa Walimu wa Marekani wataka Israel isitishe vita Lebanon na kuondolewa mzingiro kwenye bandari za Iran</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482520/muungano-wa-walimu-wa-marekani-wataka-israel-isitishe-vita-lebanon-na-kuondolewa-mzingiro-kwenye-bandari-za-iran</link>
         <description>IQNA – Muungano wa Walimu wa Marekani (American Federation of Teachers - AFT) umeitupia lawama utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kusababisha mgogoro wa walimu katika ardhi za Palestina, huku ukitoa wito wa kukomeshwa kwa uchokozi dhidi ya Lebanon na kuondolewa kwa mzingiro haramu uliowekwa kwenye bandari za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>21 Jul 2026 15:56:43 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Haram Tukufu ya Najaf yaandaa mafunzo maalumu ya urekebishaji wa hati za kale</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482519/haram-tukufu-ya-najaf-yaandaa-mafunzo-maalumu-ya-urekebishaji-wa-hati-za-kale</link>
         <description>IQNA – Kozi maalumu ya mafunzo kuhusu urekebishaji na uhifadhi wa hati za kale (manuscripts) imefanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, kwa ajili ya wanafunzi wa Kitivo cha Akiolojia na Turathi za Utamaduni cha Chuo Kikuu cha Kufa.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>21 Jul 2026 15:48:07 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mfalme wa Uingereza atembelea Msikiti Mkuu wa Kwanza unaohifadhi Mazingira (Eco-Mosque) Ulaya mjini Cambridge</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482518/mfalme-wa-uingereza-atembelea-msikiti-mkuu-wa-kwanza-unaohifadhi-mazingira-eco-mosque-ulaya-mjini-cambridge</link>
         <description>IQNA – Mfalme Charles III wa Uingereza ametembelea Msikiti Mkuu wa Cambridge (Cambridge Central Mosque), ambao ndio msikiti wa kwanza barani Ulaya uliojengwa kwa kuzingatia uhifadhi wa mazingira (eco-mosque).</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>21 Jul 2026 15:43:07 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mashindano ya 18 ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Bosnia na Herzegovina yamalizika</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482517/mashindano-ya-18-ya-kusoma-na-kuhifadhi-qurani-tukufu-nchini-bosnia-na-herzegovina-yamalizika</link>
         <description>IQNA – Mashindano ya 18 ya kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Bosnia na Herzegovina yalihitimishwa katika hafla iliyofanyika katika mji mkuu, Sarajevo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>21 Jul 2026 15:39:14 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mipaka ya Iran iko tayari kwa ajili ya wanaoelekea Ziyara ya Arbaeen</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482516/mipaka-ya-iran-iko-tayari-kwa-ajili-ya-wanaoelekea-ziyara-ya-arbaeen</link>
         <description>IQNA – Vituo vyote  ya mipakainayoelekea nchini Iraq sasa vinafanya kazi kikamilifu na viko tayari kurahisisha uingiaji na utokaji wa wafanyaziyara wa Arbaeen, amesema afisa mmoja wa Iran.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>20 Jul 2026 21:51:26 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Wanazuoni wa Bahrain waonyesha uungaji mkono kwa kauli ya Ayatullah Isa Qassim</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482515/wanazuoni-wa-bahrain-waonyesha-uungaji-mkono-kwa-kauli-ya-ayatullah-isa-qassim</link>
         <description>IQNA – Wanazuoni wa Bahrain wametangaza uungaji mkono wao kamili na mshikamano wao na kauli ya Ayatullah Sheikh Isa Qassim kuhusu tishio la kuwepo linalowakabili Mashia wa nchi hiyo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>20 Jul 2026 21:41:47 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Wazayuni wavamizi wachoma Msikiti na nyumba za Wapalestina Ukingo wa Magharibi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482514/wazayuni-wavamizi-wachoma-msikiti-na-nyumba-za-wapalestina-ukingo-wa-magharibi</link>
         <description>IQNA – Magenge ya walowezi wa Kizayuni yamefanya mfululizo wa mashambulizi ya kikatili usiku wa Jumapili katika miji na vijiji mbalimbali katika wilaya za al-Khalil (Hebron) na Nablus katika eneo linalokaliw akwa mabavu na Israel la Ukingo wa Magharibi, ambapo wamechoma moto nyumba na msikiti, wamewashambulia wakazi, na kupora mifugo huku wakilindwa na wanajeshi wa utawala katili wa Israel.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>20 Jul 2026 11:43:34 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mtaalamu wa Qur’ani: Kiongozi Shahidi ni Kielelezo cha Maisha ya Qur’ani katika Zama hizi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482513/mtaalamu-wa-qurani-kiongozi-shahidi-ni-kielelezo-cha-maisha-ya-qurani-katika-zama-hizi</link>
         <description>IQNA – Mtaalamu na msomaji maarufu wa Qur’ani wa Iran amemuelezea Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kama kielelezo cha maisha ya Qur’ani katika zama zetu za kisasa.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>20 Jul 2026 11:35:38 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Wapalestina washerehekea ushindi wa Uhispania katika Kombe la Dunia, wasema ni pigo kwa Wazayuni</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482512/wapalestina-washerehekea-ushindi-wa-uhispania-katika-kombe-la-dunia-wasema-ni-pigo-kwa-wazayuni</link>
         <description>IQNA-Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Palestina, Hamas, ametoa pongezi za dhati kwa Uhispania kufuatia ushindi wake baada ya mechi ngumu katika fainali ya Kombe la Dunia la FIFA la mwaka 2026, akielezea mafanikio hayo kuwa ni chanzo cha furaha kwa watu wa Palestina na wafuasi wote wa haki, huku akibainisha kuwa ushindi huo ni pigo hasa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na wafadhili wake.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>20 Jul 2026 11:01:14 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Qari wa Iran, Ustadh Abolqassemi asoma Qur’ani katika Ibada ya Khitma ya Kiongozi Shahidi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482511/qari-wa-iran-ustadh-abolqassemi-asoma-qurani-katika-ibada-ya-khitma-ya-kiongozi-shahidi</link>
         <description>IQNA – Katika Khitma ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, iliyofanyika katika Haramu Tukufu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, Qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Ahmad Abolqassemi, aliongoza usomaji wa aya za 64 hadi 71 za Surah An-Nisa pamoja na Surah Al-Fatiha.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Jul 2026 17:26:30 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Hafla ya Qur’ani Yafanyika Tehran Kumkumbuka Kiongozi Shahidi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482510/hafla-ya-qurani-yafanyika-tehran-kumkumbuka-kiongozi-shahidi</link>
         <description>IQNA – Hafla ya usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa ajili ya kumkumbuka Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, imefanyika katika Uwanja wa Vali Asr jijini Tehran mnamo tarehe 15 Julai, 2026.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Jul 2026 17:22:56 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mamdani kutafakari kumkamata Netanyahu wakati wa mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482506/mamdani-kutafakari-kumkamata-netanyahu-wakati-wa-mkutano-wa-baraza-kuu-la-umoja-wa-mataifa</link>
         <description>IQNA – Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, amesema Jumamosi kuwa utawala wake unachunguza iwapo una mamlaka ya kisheria ya kumkamata Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, iwapo atatembelea jiji hilo kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa mwezi Septemba.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Jul 2026 17:18:31 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Waislamu nchini Australia waitaka serikali kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482509/waislamu-nchini-australia-waitaka-serikali-kukabiliana-na-chuki-dhidi-ya-uislamu</link>
         <description>IQNA – Watetezi wa haki za Waislamu nchini Australia wametoa wito wa kutengwa kwa bajeti mpya na ya kutosha kwa ajili ya programu za kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), kufuatia hatua ya Chama cha Labour kukubali sehemu tu ya mpango uliopendekezwa na balozi maalum wa kushughulikia tatizo hilo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Jul 2026 17:16:50 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Nakala ya Qur’ani yatunukiwa nyota wa Soka wa Misri</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482508/nakala-ya-qurani-yatunukiwa-nyota-wa-soka-wa-misri</link>
         <description>IQNA – Gavana wa Dakahlia, nchini Misri, amemtunuku nakala ya Qur’ani Tukufu Imam Ashour, mchezaji wa timu ya taifa ya Misri na klabu ya Al-Ahly, ikiwa ni ishara ya kutambua juhudi zake katika Kombe la Dunia la mwaka 2026.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Jul 2026 17:11:56 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Programu ya kuelimisha watoto kupitia Hadithi za Qur’ani katika TV ya Misri</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482507/programu-ya-kuelimisha-watoto-kupitia-hadithi-za-qurani-katika-tv-ya-misri</link>
         <description>IQNA – Programu ya ‘Noor’, inayorushwa kupitia Kituo cha Televisheni  cha Naas nchini Misri, iliwasilisha ujumbe wa elimu na malezi kwa mtindo rahisi kwa ajili ya watoto katika kipindi chake kipya siku ya Ijumaa.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Jul 2026 17:04:36 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mazishi ya Kiongozi Shahidi yadhihirisha udugu na mshikamano wa Wairani na Wairaqi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482505/mazishi-ya-kiongozi-shahidi-yadhihirisha-udugu-na-mshikamano-wa-wairani-na-wairaqi</link>
         <description>IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, amesema kuwa misafara ya mazishi ya Kiongozi Shahidi, iliyohudhuriwa na mamilioni ya watu, imedhihirisha kikamilifu upana wa huruma, udugu, na mshikamano uliopo kati ya mataifa mawili ya Iraq na Iran.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Jul 2026 16:50:47 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Kiongozi Shahidi Aliishi Katika Ulinzi wa Qur’ani: Msomaji wa Qur’ani kutoka Yemen</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482504/kiongozi-shahidi-aliishi-katika-ulinzi-wa-qurani-msomaji-wa-qurani-kutoka-yemen</link>
         <description>IQNA – Msomaji mahiri wa Qur’ani na jaji wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani kutoka Yemen amesema kuwa yeyote anayetafakari mafunzo ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, atatambua kuwa aliishi maisha yake yote ndani ya ulinzi na mwongozo wa Qur’ani Tukufu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>18 Jul 2026 17:12:50 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Usomaji wa kipekee wa Qur’ani katika Msimu wa Pili wa Shindano la “Dawlet El-Tilawa” nchini Misri</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482503/usomaji-wa-kipekee-wa-qurani-katika-msimu-wa-pili-wa-shindano-la-dawlet-el-tilawa-nchini-misri</link>
         <description>IQNA – Msururu wa usomaji wa Qur’ani wenye kuvutia ambao uliwapagawisha majaji na hadhira kwa pamoja umeshuhudiwa katika raundi za awali za msimu wa pili wa shindano la “Dawlet El-Tilawa” (Dola ya Usomaji) nchini Misri. Tukio hili linadhihirisha kipaji cha kipekee na juhudi za hali ya juu za washiriki kutoka sehemu mbalimbali za nchi hiyo katika kulihudumia Kitabu Kitukufu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>18 Jul 2026 16:55:20 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Ubao adimu wa Khati ya Qur’ani ya karne ya 19 waonyeshwa katika Makumbusho ya Bahari ya Shamu</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482502/ubao-adimu-wa-khati-ya-qurani-ya-karne-ya-19-waonyeshwa-katika-makumbusho-ya-bahari-ya-shamu</link>
         <description>IQNA – Ubao adimu wa Khati ya Qur’ani Tukufu wa karne ya 19 unaonyeshwa katika Makumbusho ya Bahari ya Shamu (Red Sea Museum) jijini Jeddah.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>18 Jul 2026 16:45:51 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Vikosi vya Hashd al-Shaabi vya Iraq vaanza utekelezaji wa mpango maalum wa huduma kwa ajili ya Arbaeen</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482501/vikosi-vya-hashd-al-shaabi-vya-iraq-vaanza-utekelezaji-wa-mpango-maalum-wa-huduma-kwa-ajili-ya-arbaeen</link>
         <description>IQNA – Vikosi vya Hashd al-Shaabi (Jeshi la Kujitolea la Wananchi) vya Iraq vimetangaza siku ya Ijumaa kuwa vimeanza kutekeleza mpango maalum wa kuhudumia mamilioni ya mazuwaru wanaoelekea kwenye matembezi ya Arbaeen.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>18 Jul 2026 16:33:01 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Wito wa kuchukua hatua kukabiliana na Chuki  Dhidi ya Uislamu nchini Australia</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482500/wito-wa-kuchukua-hatua-kukabiliana-na-chuki-dhidi-ya-uislamu-nchini-australia</link>
         <description>IQNA - Waislamu nchini Australia wanahitaji mabadiliko ya kudumu ili kukomesha ubaguzi, kulingana na mwandishi wa ripoti muhimu iliyobainisha kuwa hatua kubwa zaidi zinahitajika ili kung’oa mzizi wa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>18 Jul 2026 16:26:50 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Ukandamizaji Dhidi ya wanazuoni wa Kishia waongezeka nchini Bahrain</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482499/ukandamizaji-dhidi-ya-wanazuoni-wa-kishia-waongezeka-nchini-bahrain</link>
         <description>IQNA – Jumuia kuu ya upinzani nchini Bahrain, Jumuia ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, imetoa tamko likitaka uingiliaji wa haraka wa mashirika ya kimataifa ili kusitisha ukandamizaji uliopangwa dhidi ya wanazuoni Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>17 Jul 2026 08:22:00 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mwislamu ajeruhiwa kwa kisu huko Utah kwa sababu ya Imani yake</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482498/mwislamu-ajeruhiwa-kwa-kisu-huko-utah-kwa-sababu-ya-imani-yake</link>
         <description>IQNA – Mfanyakazi mmoja Mwislamu wa vibanda vya biashara amechomwa kisu zaidi ya mara 15 ndani ya kituo cha ununuzi (mall) huko Utah, Marekani, na mtu ambaye baadaye alikiri kwa polisi kuwa alikusudia kumuua “kwa sababu ya dini yake.”</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>17 Jul 2026 08:06:28 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Msahafu wa miaka elfu moja waangaziwa katika Maonyesho ya Makka</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482496/msahafu-wa-miaka-elfu-moja-waangaziwa-katika-maonyesho-ya-makka</link>
         <description>IQNA – Nakala nadra ya Qur’ani Tukufu, inayokadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 1,000, kwa sasa inawavutia wageni wengi katika Maonesho ya ‘Iqra’ yanayofanyika katika Msikiti Mtukufu (Al-Masjid al-Haram) huko Makka.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>17 Jul 2026 07:58:47 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mamlaka za Uingereza zamfungulia mashtaka aliyehusika na mpango wa kushambulia Misikiti ya London</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482495/mamlaka-za-uingereza-zamfungulia-mashtaka-aliyehusika-na-mpango-wa-kushambulia-misikiti-ya-london</link>
         <description>IQNA – Mamlaka za Uingereza zimemfungulia mashtaka kijana mmoja kufuatia uchunguzi wa njama zilizodaiwa kuwa zililenga kushambulia misikiti katika jiji la London.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>17 Jul 2026 07:52:17 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Iran yaonya italenga miundombinu yote ya eneo iwapo miundombinu yake itashambuliwa</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482494/iran-yaonya-italenga-miundombinu-yote-ya-eneo-iwapo-miundombinu-yake-itashambuliwa</link>
         <description>IQNA-Iran imeonya kwamba italenga kila miundombinu iliyosalia katika eneo hili iwapo miundombinu yake itashambuliwa.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>16 Jul 2026 14:47:24 +0330</pubDate>
      </item>
   </channel>
</rss>