<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
<rss version="2.0">
   <channel>
      <title>iqna.ir</title>
      <link>https://iqna.ir</link>
      <description>Shirika la Habari la Qur'ani la Kimataifa
</description>
      <managingEditor>info@iqna.ir</managingEditor>
      <webMaster>info@iransamaneh.com</webMaster>
      <lastBuildDate>Mon, 17 Aug 2026 17:45:00 +0330</lastBuildDate>
      <generator>SepehrFeed V1.2</generator>
      <item>
         <title>Qari kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akisoma aya za Qur’an Tukufu  za Surah Al-Mulk</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482635/qari-kutoka-jamhuri-ya-kiislamu-ya-iran-akisoma-aya-za-quran-tukufu-za-surah-al-mulk</link>
         <description>IQNA – Msomaji mashuhuri wa Qur’an Tukufu kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ndugu Masoud Panjeh, ambaye ni Qari katika Haram Tukufu ya Imam Ali ibn Musa al-Ridha (AS) mjini Mashhad, hivi karibuni amesoma aya za 1–8 za Surah Al-Mulk.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>17 Aug 2026 17:36:24 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mwanazuoni wa Iran atoa wito wa Akili Mnemba (AI) kuwa chachu ya mageuzi katika taaluma za Qur’ani</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482634/mwanazuoni-wa-iran-atoa-wito-wa-akili-mnemba-ai-kuwa-chachu-ya-mageuzi-katika-taaluma-za-qurani</link>
         <description>IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran ametoa wito wa kuitumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) siyo kama nyenzo ya kusaidia pekee, bali kama chachu kuu ya kuleta mageuzi katika tafiti na harakati za Qur’ani.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>16 Aug 2026 17:01:31 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Makka wapata zawadi za fedha</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482633/washiriki-wa-mashindano-ya-kimataifa-ya-qurani-ya-makka-wapata-zawadi-za-fedha</link>
         <description>IQNA – Washindi na washiriki katika mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz, yaliyofikia tamati Makka mapema wiki hii, wametunukiwa zawadi za fedha mwishoni mwa hafla hiyo ya Qur’ani.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>16 Aug 2026 16:55:40 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Norway: Mazungumzo ya Kidini Kujadili Utambulisho, Ubaguzi na Chuki dhidi ya Waislamu</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482632/norway-mazungumzo-ya-kidini-kujadili-utambulisho-ubaguzi-na-chuki-dhidi-ya-waislamu</link>
         <description>IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway ulishiriki katika “Arendalsuka,” ambayo ni jukwaa la kila mwaka la mijadala ya umma nchini Norway. Katika jukwaa hilo, mtandao huo ulijadili masuala muhimu ikiwemo utambulisho wa kidini, uhuru wa kujieleza, ubaguzi, na tofauti iliyopo kati ya ukosoaji halali wa dini na chuki zinazolenga jamii nzima.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>16 Aug 2026 16:49:23 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Kambi ya Qur’ani yaandaliwa katika kisiwa cha Mahibadhoo, Maldives</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482631/kambi-ya-qurani-yaandaliwa-katika-kisiwa-cha-mahibadhoo-maldives</link>
         <description>IQNA – Kambi inayojumuisha mashindano matatu ya usomaji wa Qur’ani (Tilawa), warsha za ufundishaji, na hafla maalum ya watoto imepangwa kufanyika huko Mahibadhoo, mji wa kisiwani ulioko katikati mwa nchi ya Maldives.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>16 Aug 2026 16:33:23 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Waislamu nchini Uingereza wahimizwa kusali Swala ya Istisqa (Swala ya kuomba mvua)</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482630/waislamu-nchini-uingereza-wahimizwa-kusali-swala-ya-istisqa-swala-ya-kuomba-mvua</link>
         <description>IQNA – Katikati ya ukame usio wa kawaida na uhaba mkali wa maji unaotishia sekta ya kilimo na mazingira, wanazuoni wa Kiislamu nchini Uingereza wametoa wito kwa maimamu wa misikiti na waumini kufufua sunna tukufu ya “Istisqa” (Swala ya kuomba mvua).</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>16 Aug 2026 16:28:39 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Maandamano Marib, Yemen kulaani matusi ya Kizayuni-Mmarekani dhidi ya Qur’ani Tukufu</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482629/maandamano-marib-yemen-kulaani-matusi-ya-kizayuni-mmarekani-dhidi-ya-qurani-tukufu</link>
         <description>IQNA – Wananchi katika mkoa wa Marib nchini Yemen wamefanya maandamano na matukio ya kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani katika nchi za Magharibi.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>15 Aug 2026 21:05:48 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Ni saa zipi zenye utulivu zaidi katika Msikiti Mtukufu wa Makka?</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482628/ni-saa-zipi-zenye-utulivu-zaidi-katika-msikiti-mtukufu-wa-makka</link>
         <description>IQNA – Mahujaji wa Umra wanashauriwa kupanga ziara zao katika Msikiti Mtukufu wa Makka (Masjid al Haram) wakati wa vipindi vyenye msongamano mdogo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>15 Aug 2026 20:46:24 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ nchini Algeria: Miaka 24 ya Kujenga Kizazi cha Haki</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482627/shule-ya-qurani-ya-gaza-nchini-algeria-miaka-24-ya-kujenga-kizazi-cha-haki</link>
         <description>IQNA – Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ iliyoko katika mkoa wa Hama Bouziane, jimbo la Constantine nchini Algeria, imejitolea kwa miaka 24 kufundisha na kuwezesha kuhifadhi Qur’ani Tukufu. Taasisi hii imekuwa mwanga wa maarifa na malezi ya kiroho, ikitoa mafunzo kwa mamia ya wahifadhi wa kiume na wa kike.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>15 Aug 2026 20:33:35 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Wimbi la matusi na chuki dhidi ya mteule Muislamu wa Seneti saa chache baada ya ushindi wa awali</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482626/wimbi-la-matusi-na-chuki-dhidi-ya-mteule-muislamu-wa-seneti-saa-chache-baada-ya-ushindi-wa-awali</link>
         <description>IQNA – Saa chache tu baada ya ushindi wa Abdul El-Sayed katika uchaguzi wa awali wa Seneti wa chama cha Democratic huko Michigan, matusi na chuki mtandaoni dhidi yake viliongezeka kwa kasi kubwa, kulingana na utafiti mpya wa Kituo cha Utafiti wa Chuki Iliyopangwa (CSOH).</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>15 Aug 2026 12:52:44 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Siku ya Wazi ya Msikiti nchini Australia inalenga kukuza majadiliano na maelewano ya Kijamii</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482625/siku-ya-wazi-ya-msikiti-nchini-australia-inalenga-kukuza-majadiliano-na-maelewano-ya-kijamii</link>
         <description>IQNA – Msikiti wa Minto (Masjidur Rahman Al-Jami’ee) uliopo New South Wales, Australia, imeandaa hafla maalum ya “Siku ya Wazi” siku ya Jumamosi, Agosti 15. Msikiti huu utafungua milango yake kwa jamii pana kwa ajili ya siku maalum iliyolenga huduma ya vijana, majadiliano ya dini tofauti, na kuimarisha maelewano katika jamii.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>15 Aug 2026 12:43:56 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mwislamu wa Burundi aliyesilimu ashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482624/mwislamu-wa-burundi-aliyesilimu-ashiriki-mashindano-ya-kimataifa-ya-qurani-makkah</link>
         <description>IQNA – Ilimchukua mwaka mmoja tu tangu kuifahamu dini ya Uislamu hadi kufika katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid al-Haram), akishiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>14 Aug 2026 10:30:57 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Hamas yapongeza kauli ya Iran kuhusu umuhimu wa kusitisha vita katika eneo</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482623/hamas-yapongeza-kauli-ya-iran-kuhusu-umuhimu-wa-kusitisha-vita-katika-eneo</link>
         <description>IQNA – Harakati ya Muqawama wa Palestina ya Hamas imepongeza kauli ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Mohsen Rezaei, kuhusu umuhimu wa kusitishwa kwa vita katika ukanda wa Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>14 Aug 2026 10:20:29 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Kiongozi wa Yemen: Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu ni dhihirisho wazi la uadui dhidi ya Uislamu</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482622/kiongozi-wa-yemen-kuvunjiwa-heshima-qurani-tukufu-ni-dhihirisho-wazi-la-uadui-dhidi-ya-uislamu</link>
         <description>IQNA – Akilaani vitendo vya mara kwa mara vya kuidhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kama vitendo vya “Kizayuni na Kimarekani,” kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdul-Malik Badruddin al-Houthi, amesema vitendo hivyo vya kukufuru na kukiuka heshima ya Qur’ani ni sehemu ya uadui mpana zaidi dhidi ya Uislamu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>14 Aug 2026 10:15:58 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mafunzo ya ya Qur’ani kwa wasichana yaanza Karbala, Iraq</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482621/mafunzo-ya-ya-qurani-kwa-wasichana-yaanza-karbala-iraq</link>
         <description>IQNA – Mafunzo ya majira ya joto ya Qur’ani Tukufu kwa wasichana yameanza katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>14 Aug 2026 10:08:48 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mafundisho ya Imam Ridha (AS) Yaliweka Misingi ya Ustaarabu</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482620/mafundisho-ya-imam-ridha-as-yaliweka-misingi-ya-ustaarabu</link>
         <description>IQNA – Urithi wa Imam Ridha (A.S.) ni kielelezo kikamilifu cha kuonesha ukuu wa urithi wa Ahlu-Bayt (AS) wa Mtume Muhammad  (SAW), amesema msomi wa Iraq.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>13 Aug 2026 14:45:53 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Mtume Muhammad (SAW) daima alikuwa akijitahidi kuunganisha safu za watu</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482619/mtume-muhammad-saw-daima-alikuwa-akijitahidi-kuunganisha-safu-za-watu</link>
         <description>IQNA – Msomi mmoja kutoka chuo kikuu cha Lebanon amesema kuwa maadili ya Kiislamu kuelekea wasio Waislamu yamejengwa juu ya msingi kwamba wanadamu ni ama ndugu zako katika dini au wako sawa na wewe katika uumbaji.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>12 Aug 2026 16:43:20 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Hafla za maombolezo katika Haram ya Najaf kuelekea Usiku wa 28 Safar</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482618/hafla-za-maombolezo-katika-haram-ya-najaf-kuelekea-usiku-wa-28-safar</link>
         <description>IQNA-Haram takatifu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, imepokea zaidi ya vikundi 100 vya maombolezo na wajumbe mbalimbali katika usiku wa kuamkia tarehe 28 Safar.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>12 Aug 2026 16:31:32 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Visa 231 vya Chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani katika nusu ya kwanza ya Mwaka 2026</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482617/visa-231-vya-chuki-dhidi-ya-uislamu-nchini-ujerumani-katika-nusu-ya-kwanza-ya-mwaka-2026</link>
         <description>IQNA – Katikati ya hofu inayokua kuhusu wimbi la chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Ujerumani, mamlaka zimeandikisha visa 231 vya uhalifu dhidi ya Waislamu nchini humo katika nusu ya kwanza ya mwaka 2026.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>12 Aug 2026 16:23:13 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Msomaji Kijana wa Qur'ani aangaza katika Mashindano ya ‘Dawlet El Telawa’ ya Misri</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482616/msomaji-kijana-wa-qurani-aangaza-katika-mashindano-ya-dawlet-el-telawa-ya-misri</link>
         <description>IQNA – Siku ya pili ya mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Dawlet El Telawa nchini Misri ilishuhudia uwezo mkubwa na maonyesho ya kuvutia kutoka kwa washiriki kadhaa.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>12 Aug 2026 16:16:38 +0330</pubDate>
      </item>
   </channel>
</rss>