iqna

IQNA

Corona
Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Mamlaka ya Saudia ilitangaza Jumatatu kuondolewa kwa amri ya barakoa katika maeneo ya ndani huku Waislamu kutoka kote ulimwenguni wakiwasili kuanza nchhini humo kuanza ibada ya Hija.
Habari ID: 3475377    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/14

TEHRAN (IQNA)-Kwa kupunguzwa kwa vikwazo vilivyowekwa kutokana na kuzuka kwa ugonjwa wa corona, nchi mbalimbali za Kiarabu zitashuhudia kurudi kwa mijimuiko ya ibada maalum za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475089    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/31

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 29 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran imepenga kufanyika katika Ukumbi wa Sala (Musalla) wa Imam Khomeini (RA).
Habari ID: 3475036    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

TEHRAN (IQNA) – Waumini katika Msikiti Mkuu wa Makkah Jumapili walisali Sala ya Alfajiri bila kuzingatia kanuni ya corona ya kutokaribiana ikiwa ni mara ya kwanza kufanya hivyo baada ya muda mrefu.
Habari ID: 3475017    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/07

TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Waislamu Fiji limetangaza kuwa misikiti itafunguliwa tena nchini humo kuanzia Oktoba nne lakini watakaoruhusiwa ni wale tu waliopata chanjo kamili ya COVID-19 au corona.
Habari ID: 3474371    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/02

IQNA (TEHRAN)- Mafundisho ya Qur'ani Tukufu ndio chanzo cha Waislamu wengi nchini Uingereza kujitolea katika kampeni ya kukabiliana na janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3474184    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/12

Kamanda Mkuu wa IRGC
TEHRAN (IQNA)- Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema mafanikio ya Iran katika uga wa sayansi yametokana na kutegemea mantiki ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474046    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/27

TEHRAN (IQNA)- Misikiti imefunguliwa tena Lebanon baada ya kufungwa kwa muda mrefu kutokana na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3474003    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/13

TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia inatafakari kuwazuia Mahujaji kutoka nje ya ufalme huo kwa mwaka wa pili mfululizo kufuatia ongezeko la aina mpya ya virusi vya corona.
Habari ID: 3473881    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/06

TEHRAN (IQNA)- Msomi na mhubiri wa Kiislamu kutoka Ghana amefanikiwa kuwashajiisha Waislamu wengi nchini Uingereza na kwingineko kukubali chanjo ya COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473861    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/29

TEHRAN (IQNA)- Huku India ikiendelea kusakamwa na ongozeko kubwa sana la maambukizi ya COVID-19, hospitali na vituo vya afya nchini humo ambazo hazina nafasi tena sasa zinapokea msaada wa Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473858    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/28

TEHRAN (IQNA)-Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu yatafanyika kwa njia ya intaneti kuanzia Mei 1 hadi 10.
Habari ID: 3473801    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/11

TEHRAN (IQNA)- Misri imesema itaruhusu Sala ya Tarawih katika baadhi ya misikiti tu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473775    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/31

TEHRAN (IQNA) -Jumuiya ya Kiislamu Bangladesh imesema Waislamu wanaweza kudungwa chanjo ya COVID-19 au corona katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hakubatilishi Saumu.
Habari ID: 3473740    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/16

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Hija na Umrah nchini Saudi Arabia amefutwa kazi leo ijumaa miezi kadhaa kabla ya ibada ya hija kufanyika.
Habari ID: 3473729    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/12

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar kimetangaza kuwa kudungwa chanjo ya Corona au COVID-19 haitabatilisha Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473713    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/07

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa afya nchini Saudi Arabia wametangaza kuwa kila Mwislamu ambaye anapanga kutekeleza Ibada ya Hija ni sharti athibitishwe kuwa amepata chanjo dhidi ya COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473695    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/02

TEHRAN (IQNA)- Kufuatia mashinikizo, serikali ya Sri Lanka imebatilisha uamuzi wake wa kuteketeza moto miili ya Waislamu waliopoteza maisha kutokana na Corona au COVID-19.
Habari ID: 3473685    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/26

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa wito kwa Sri Lanka kuheshimu haki za Waislamu kuzikwa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3473679    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/24

TEHRAN (IQNA)- Misikiti saba imefungwa kwa muda katika mji mkuu wa Saudia, Riyadh baada ya waumini saba kuambukizwa Corona au COVID-9.
Habari ID: 3473669    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/21