iqna

IQNA

oic
Kadhi ya Palestina
IQNA-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani mashambulizi yanayoendelea kufanywa na jeshi katili la Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na upanuzi wa mashambulizi ya kiholela ya utawala huo kwenye mji wa Rafah, kusini mwa ukanda huo.
Habari ID: 3478355    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/15

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kufuatia mauaji ya hivi sasa yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza, hakutakuwa na nafasi kwa ulimwengu wa Kiislamu kutegemea mazungumzo ya makubaliano na utawala huo, mwanazuoni mmoja wa Kiislamu amesema.
Habari ID: 3477895    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/15

Diplomasia ya Kiislamu
RIYADH (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika kikao cha pamoja cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kwamba: kadhia ya Gaza ni makabiliano baina ya mhimili wa sharafu au heshima na mhimili wa uovu, na kila mtu anapaswa abainishe yuko upande gani.
Habari ID: 3477878    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/11

Diplomasia ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kikao cha wakuu wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kilichofanyika mjini Riyadh, Saudi Arabia kimetilia mkazo ulazima wa kuondolewa mzingiro dhidi ya Gaza na kuingia misafara ya misaada ya kibinadamu katika eneo hilo.
Habari ID: 3477877    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/11

Wanawake Waislamu
MECCA (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeandaa mkutano wa kimataifa wa siku tatu huko Jeddah unaoitwa "Wanawake katika Uislamu: Hadhi na Uwezeshaji" unaoanza Jumatatu.
Habari ID: 3477848    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/06

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeisitiza umuhimu wa kuhifadhi hadhi ya kihistoria na kisheria ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo huko al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3477482    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BAGHDAD (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imetangaza kuwa, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) inapanga kufanya kikao cha dharura ili kujadili vitendo vya mara kwa mara vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya.
Habari ID: 3477328    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/23

Chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imehimizwa kubuni mikakati ya kukabiliana na chuki inayoongezeka dhidi ya Uislamu duniani kote.
Habari ID: 3477253    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/08

Chuki dhidi ya Uislamu
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetangaza mkutano wa dharura kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika mji mkuu wa Stockholm wa Uswidi.
Habari ID: 3477220    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/01

Mgogoro wa Sudan
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeitisha kikao cha dharura nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kuzungumzia mgogoro wa Sudan.
Habari ID: 3476957    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04

Mgogoro Sudan
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) umepangwa kufanyika wiki hii kujadili mgogoro unaotokoota nchini Sudan
Habari ID: 3476948    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Ulimwengu wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vikali mashambulizi ya Wazayuni katika eneo la Babul Rahma katika Msikiti Mtakatifu wa al Aqsa.
Habari ID: 3476910    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/24

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amefanya mazungumzo ya simu na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na kutoa wito wa kuitishwa kikao cha dharura cha jumuiya hiyo ili kukabiliana na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3476835    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/08

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitisha mkutano wa dharura kujadili hali ilivyo katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, baada ya askari wa utawala haramu wa Israel kuvamia Msikiti wa al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) na kuwalenga waumini wa Kipalestina kwa guruneti.
Habari ID: 3476827    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/07

Umoja wa Nchi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wamepongeza makubaliano ya hivi karibuni kati ya Iran na Saudi Arabia ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia.
Habari ID: 3476718    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17

Zilzala Uturuki na Syria
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) amefanya ziara rasmi nchini Uturuki kufuatia matetemeko makubwa ya ardhi yaliyoikumba nchi hiyo zaidi ya wiki mbili zilizopita.
Habari ID: 3476606    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/22

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ametahadharisha juu ya kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia )kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476500    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01

Jinai za Isarel
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa Wazi wa Kamati ya Utendaji ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Jumanne ulifanyika kuchunguza kuendelea hujuma za Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem), kwa ombi la Dola ya Palestina na Ufalme wa Jordan.
Habari ID: 3476381    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/10

TEHRAN (IQNA) - Warsha ilifanyika hivi karibuni huko Jeddah, Saudia kuhusu uwekaji wa huduma za kidigitali katika mashirika ya ustawishaji uwekezaji katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC).
Habari ID: 3476321    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/28

Bidhaa Halal
TEHRAN (IQNA) – Maonesho ya 9 ya ‘Halal’ ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ambayo yamefanyika mjini Istanbul, Uturuki, kwa kushirikisha makampuni kutoka sehemu mbalimbali za dunia, yakiwemo makampuni 13 ya Iran ambayo yana msingi wa elimu au knowledge-based.
Habari ID: 3476159    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/27