iqna

IQNA

khawaja
Ukandamizaji Bahrain
TEHRAN (IQNA) - Makundi ya upinzani Bahrain yamelaani mashtaka mapya dhidi ya mtetezi maarufu wa haki za binadamu na mwanaharakati wa kisiasa Abdulhadi al-Khawaja.
Habari ID: 3476186    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Hali ya Bahrain
TEHRAN (IQNA) - Mwanaharakati wa kisiasa wa Bahrain na mtetezi wa haki za binadamu ambaye tayari anatumikia kifungo cha maisha jela ameripotiwa kulengwa na msururu wa mashtaka mapya ikiwa ni pamoja na kuutusi utawala haramu Israel unaozikoloni ardhi za Palestina.
Habari ID: 3476111    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18