iqna

IQNA

marekani
Kadhia ya Palestina
IQNA-Marekani, ambayo ni muungaji mkono mkuu wa utawala haramu wa Israel, imeendeleza sera yake ya kudhoofisha kupatikana haki za Wapalestina kwa kutumia vibaya haki yake ya kura ya turufu na kupinga azimio la kuipatia Palestina uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3478702    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19

Waislamu Marekani
IQNA - Mapatano yamefikiwa katika kesi inayohusu jela ya Mkoa wa Warren iliyoko Bowling Green, Kentucky, nchini Marekani kuhusu mwanamke Muislamu kunyimwa haki yake ya kidini ya kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3478701    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19

Jinai za Israel
IQNA - Barabara kuu ya 101 ya San Francisco kwenye daraja la Golden Gate ilifungwa na waandamanaji wanaounga mkono Palestina wakitaka kukomesha uungaji mkono wa Marekani kwa utawala katili wa Israel ambao unaendeleza vita vya mauaji ya kimbari Gaza.
Habari ID: 3478688    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/16

IQNA-Wanafunzi wa aislamu katika Chuo Kikuu cha Rutgers nchini Marekani wameelezea wasiwasi juu ya usalama wao baada ya kituo chao cha Kiisilamu kuharibiwa wakati wa siku kuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3478675    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/12

IQNA - Wanafunzi wengi katika Chuo Kikuu cha Washington (UW) huko Seattle nchini Marekani wameandamana kupinga ubaguzi na chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3478600    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Jumuiya ya Wanafunzi Waislamu wa Kisomali (SSA) ya Chuo Kikuu cha Washington Seattle (SSA) imelengwa kwa barua ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3478584    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/26

Waislamu Marekani
IQNA - Huko Houston, Marekani Waislamu wametangaza kususia hafla ya 25 ya kila mwaka ya Futari ambayo kulalmikia mwaliko kwa viongozi wa serikali.
Habari ID: 3478530    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Ramadhani Marekani
IQNA – Mwezi mtukufu wa Ramadhani ulipoanza, mkusanyiko mzuri wa waumini wa Kiislamu ulibadilisha Times Square ya New York kuwa eneo la umoja na ibada.
Habari ID: 3478489    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Watetezi wa Palestina
IQNA-Maandamano makubwa yamefanyika mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC, Marekani kulaani vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478443    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Uchaguzi wa Iran
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema: Maadui wa Iran ya Kiislamu wana hofu ya kushiriki kwa wingi kwa wananchi katika uchaguzi hapa nchini.
Habari ID: 3478428    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/28

Waislamu Marekani
IQNA - Kituo cha Jumuiya ya Waislamu cha Edison, jimboni New Jersey nchini Marekani kinataka kujenga msikiti kwenye eneo lake la Plainfield Avenue, ambalo tayari lina makao na mnara.
Habari ID: 3478343    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13

Waislamu Marekani
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Dawah cha Milwaukee nchini Marekani kimeandaa hafla ya Henna & Hijab siku ya Jumamosi, Februari 3, kuheshimu Hijabu inayovaliwa na wanawake wa Kiislamu.
Habari ID: 3478337    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/11

Ugaidi wa Marekani
IQNA-Utawala wa Marekani unaendelea kulaaniwa kufuatia hujuma yake ya kigaidi iliyopelekea kuuawa shahidi Abu Baqer al-Saadi, mmoja wa makamanda wa muqawama wa Kiislamu nchini Iraq.
Habari ID: 3478325    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/09

Siasa
IQNA-Serikali ya Iraq imelaani vikali mashambulizi ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Marekani dhidi ya maeneo kadhaa ya nchi hiyo na nchi jirani yake Syria na kusisitiza kuwa, hujuma hizo zimekiuka mamlaka ya kujitawala ya nchi hiyo.
Habari ID: 3478297    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/03

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mamia ya watu walikusanyika katika Kituo cha Kiislamu cha Maine siku ya Jumapili kuwaandikia barua wawakilishi wao, wakiwataka kuunga mkono takwa la kuutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitisha vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Gaza. Wapalestina wasiopungua 26,000 wameuawa shahidi tangua utawala wa Israel uanzishe vita dhidi ya Gaza Oktoba mwaka jana.
Habari ID: 3478273    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/29

Waislamu Marekani
IQNA - Mashirika kadhaa ya Kiislamu ya Marekani yameanya kikao cha kwanza cha mafunzo ya aina yake kwa Idara ya Upelelezi Marekani-FBI- na Idara ya Sheria ya Marekani kuhusu chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) huko San Francisco siku ya Jumanne.
Habari ID: 3478246    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/24

Waislamu Marekani
IQNA – Uteuzi wa Diwani Shahana Hanif, mwanamke Muislamu, kama mwenyekiti mwenza wa Kikosi Kazi cha kupambana na chuki cha Jiji la New York umepongezwa.
Habari ID: 3478245    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/24

Chuki dhidi ya Uislamu Marekani
IQNA - Mwanamke Mwislamu ambaye alikamatwa na Idara ya Polisi ya Kaunti ya Suffolk (SCPD) huko New York mnamo 2022 anaishtaki idara hiyo kwa kukiuka haki zake na kumsababishia madhara ya kisaikolojia baada ya maafisa kuvua hijabu yake kwa nguvu.
Habari ID: 3478218    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19

Mgogor
IQNA-Msemaji wa majeshi ya Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Sarii amesema kuwa, mashambulizi ya kiuadui ya Marekani na Uingereza hayatobadilisha msimamo wa Yemen wa kuliunga mkono taifa la Palestina ikiwemo Gaza na kwamba uadui huo uliofanyika mapema leo Ijumaa dhidi ya Yemen hautoachwa vivi hivi bila ya majibu na kuadhibiwa madola hayo ya kibeberu.
Habari ID: 3478186    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/12

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Shirikisho la Waislamu wa Florida Kusin nchini Marekani lilikuwa limepanga kufanya mkutano wake wa kila mwaka katika Hoteli ya Fort Lauderdale Marriott Coral Springs na Kituo cha Mikutano wikendi hii, lakini hoteli hiyo imekataa ukumbi wake utumike wiki moja kabla ya tukio.
Habari ID: 3478178    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/10