iqna

IQNA

nigeria
Waislamu Nigeria
IQNA - Mhubiri mkuu wa Kiislamu katika Jimbo la Oyo, kusini magharibi mwa Nigeria, alisisitiza haja ya serikali kuunga mkono masomo ya Qur'ani Tukufu na Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3478019    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/11

Njama za Wamagharibi
ABUJA (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) ametahadharisha juu ya njama na majungu yanayopikwa na Marekani na Ufaransa ya kupanda mbegu za chuki, uhasama na mifarakano baina ya Nigeria na jirani yake Niger.
Habari ID: 3477465    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/20

Diplomasia ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa Kiislamu kutoka Nigeria wamewasili nchi jirani Niger pamoja ikiwa ni sehemu ya juhudi za kidiplomasia za kurejesha amani katika nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3477431    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/13

Matukio
KADUNA (IQNA)- Watu saba walipoteza wakati sehemu ya msikiti uliojaa mamia ya waumini ilipoporomoka katika mji wa kaskazini mwa Nigeria wa Zaria, katika jimbo la Kaduna, na wengine kadhaa kujeruhiwa, maafisa walisema.
Habari ID: 3477424    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/12

INM
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN) imekosoa kuendelea marufuku ya kusafiri iliyowekwa kwa kiongozi wake, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3476757    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/25

Hijabu
TEHRAN (IQNA)- Muungano wa Wanawake wa Kiislamu wa Nigeria umetoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo na ubaguzi dhidi ya utumiaji wa Hijabu na watumiaji wa Hijabu kitaifa na kimataifa.
Habari ID: 3476511    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04

Mashindano ya Qur'ani Nigeria
TEHRAN (IQNA) - Washindi wakuu wa mashindano ya kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Nigeria walitunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika Sokoto.
Habari ID: 3476450    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23

Waislamu nchini Nigeria
TEHRAN (IQNA) - Gavana wa Jimbo la Borno la Nigeria Ijumaa alitangaza ufunguzi wa mashindano ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur'ani yaliyoandaliwa na Kituo cha Mafunzo ya Kiislamu cha Chuo Kikuu cha Usman Dan Fodio.
Habari ID: 3476259    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/17

Waislamu Duniani
TEHRAN (IQNA) - Wananchi Waislamu wa Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja, kulalamikia ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika Jamhuri ya Azerbaijan.
Habari ID: 3476235    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/11

Hali ya Waislamu Nigeria
TEHRAN (IQNA) Watu wenye silaha wameshambulia msikiti mmoja kaskazini mwa Nigeria na kuwateka nyara watu 19 huku visa vya utekaji nyara vikiongezeka nchini humo.
Habari ID: 3476205    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/06

TEHRAN (IQNA) – Watu wenye silaha wameshambulia msikiti mmoja kusini mwa Nigeria siku ya Ijumaa wakijaribu kumteka nyara imamu bila kufanikiwa ambapo waliwafyatulia risasi na kwuajeruhi waumini kumi na mmoja.
Habari ID: 3476192    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/03

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 36 la mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani lilizinduliwa katika sherehe katika mji wa Jos katikati mwa Nigeria.
Habari ID: 3475814    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) -Waislamu ya madhehebu ya Shia Tanzania, visiwani Zanzibar, Nigeria na Niger wameshiriki katika marasimu, matembezi na vikao vya kuadhimisha Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3475801    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18

TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya wanafunzi 80 waliohifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu na wamehitimu kutoka shule ya Kiislamu huko Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.
Habari ID: 3475699    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

Jinai dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Askari wa Jeshi la Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Hussein AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.
Habari ID: 3475597    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09

Sekta ya Halal
TEHRAN (IQNA)- Warsha na maonyesho ya kimataifa kuhusu tasnia ya Halal itafanyika nchini Nigeria mwezi ujao.
Habari ID: 3475548    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/27

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Tume ya Kitaifa ya Hija ya Nigeria (NAHCON) imelazimika kukataa maombi ya kuongeza nafasi zaidi kwa ajili ya Mahujaji mwaka huu ikisisitiza kuwa nafasi zote zimejaa.
Habari ID: 3475424    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/25

Vazi la Hijabu ni haki
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Nigeria wamepongeza hukumu ya mahakama ya kilele ambayo imesema wanafunzi wa kike Waislamu wana haki ya kuvaa vazi la staha la Hijabu katika shule za serikali mjini Lagos.
Habari ID: 3475403    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/20

Ugaidi
TEHRAN (IQNA) Watu zaidi ya 50 wakiwemo wanawake na watoto, wameuawa baada ya genge lenye silaha kushambulia kanisa moja ya kikatoliki kaskazini magharibi mwa Nigeria wakati wa ibada ya Jumapili.
Habari ID: 3475341    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06

TEHRAN (IQNA) - Washindi wa shindano la 36 la kitaifa la kuhifadhi Qur'ani nchini Nigeria walitunukiwa zawadi katika hafla ya kufunga Jumamosi.
Habari ID: 3475081    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/27