iqna

IQNA

saudia
Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Mahakama kuu ya Saudi Arabia imetoa wito kwa watu wa nchi hiyo kujaribu kufanya Istihlal (kuutafuta mwezi mwandamo) Jumapili jioni.
Habari ID: 3478480    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10

Turathi
IQNA - Mradi wa ensaiklopidia unatekelezwa ili kuweka kumbukumbu za historia ya Hija na Misikiti Miwili Mitukufu (Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume huko Madina) kutoka enzi ya kabla ya Uislamu hadi leo.
Habari ID: 3478292    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02

Hija na Umrah
IQNA - Msikiti Mkuu wa Makkah yaani Masjid al-Haram na Msikiti wa Mtume SAW, yaani Al Masjid An Nabawi huko Madina sasa ina idhini ya kuwa mwenyeji wa kufungisha ndoa au Nikah, kulingana na ripoti.
Habari ID: 3478266    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/28

Uislamu unaenea kwa kaasi
IQNA - Kulingana na serikali ya Saudi Arabia, zaidi ya watu 347,000 wamesilimu nchini humo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
Habari ID: 3478226    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/21

Umrah
IQNA - Idadi ya Waislamu walioshiriki katika Hija ndogo ya Umrah mwaka 2023 ilifikia zaidi ya milioni 13.5, rekodi ya juu kwa wageni wa kimataifa walioshiriki ibada ya Umrah, waziri wa Hija na Umrah wa Saudia alisema Jumanne.
Habari ID: 3478173    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/09

Uislamu na Teknolojia
IQNA-Jumuiya ya Kuhudumia Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Al-Burhan imezindua apu mpya iliyopewa jina la Salim inayowasaidia watoto walio na umri wa chini ya miaka 8 kujifunza Quran bila ya kuhitaji mwalimu.
Habari ID: 3478054    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/18

Wanamichezo Waislamu
RIYADH (IQNA) - Karim Mostafa Benzema, mwanasoka wa kulipwa wa Ufaransa ambaye anacheza kama mshambuliaji katika Klabu ya Al-Ittihad ya Ligi Kuu ya Saudia , alipokea zawadi ya nakala ya Qur'ani Tukufu kutoka kwa ripota wa Saudi.
Habari ID: 3477455    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18

Umrah 1445
MAKKA (IQNA) – Wizara ya Hijja na Umrah ya Saudia imeeleza machaguo mbalimbali wka Waislamu wanaotaka kusafiri hadi mji mtakatifu wa Makka kufanya ibada ya Hija ndogo ya Umrah. Wizara iliorodhesha machaguo kama kama vile visa ya kukaa kwa muda mfupi (transit), visa ya kutembelea familia, visa ya safari ya kibinafsi na visa wakati wa kuwasili.
Habari ID: 3477313    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/20

Siasa
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen imekosoa taarifa ya kikao cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu iliyotolewa jana Jumamosi na kusisitiza kuwa, hakuna matumaini ya kuifanyia mageuzi na marekebisho jumuiya hiyo.
Habari ID: 3477025    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Sao Paulo, jiji lenye watu wengi zaidi nchini Brazili, ni mwenyeji wa maonyesho ya Qur’ani Tukufu yatakayoandelea kwa wiki moja.
Habari ID: 3476937    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/30

TEHRAN (IQNA)- Ismail Hania na Khalid Mash'al, Mkuu wa sasa na wa zamani wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS Jumapili ya tarehe 16 Aprili waliwasili Riyadh mji mkuu wa Saudi Arabia wakiuongoza ujumbe wa ngazi za juu wa HAMAS.
Habari ID: 3476889    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/19

Ibada ya Umrah
TEHRAN (IQNA) – Usajili wa alama za vidole utakuwa wa lazima ili kutoa visa kwa wanaotaka kuingia Saudi Arabia kushiriki Hija ndogo ya Umrah.
Habari ID: 3476195    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/04

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Kyrgyzstan, Sadyr Japarov, amekutana na mwakilishi wa nchi hiyo aliyeibuka mshindi wa mashindano ya hivi karibuni ya kimataifa ya Qur'ani nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476184    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Hali ya Yemen
TEHRAN (IQNA) – Maadui wa Yemen wamo matatani kweli leo, amesema kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen na kuongeza kuwa wameshindwa katika jaribio lao la kuikalia kwa mabavu nchi hiyo.
Habari ID: 3475720    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Kaaba Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Maafisa kadhaa wa Saudia walihudhuria sherehe za kila mwaka za kuosha Kaaba Tukufu katika mji wa Makka Jumanne asubuhi.
Habari ID: 3475630    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16

Ibada ya Umrah
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Urais Mkuu wa Masuala ya Misikiti Miwili Mitukufu ya Makka na Madina imepokea kundi la kwanza la Waislamu waliongia Saudia kutekeleza ibada ya Hija ndogo ya Umrah Jumamosi.
Habari ID: 3475563    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

Njama za Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Chama cha wasomi wa Kiislamu Yemen kimesema watawala wa Saudi Arabia hawastahili kusimamia maeneo matakatifu zaidi ya Kiislamu ya Makka na Madina baada Yahudi Muisraeli kuachwa kuingia katika maeneo hayo.
Habari ID: 3475528    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/23

Njama za Wazayuni
TEHRAN (IQNA) –Saudi Arabia inasema imemkamata raia wake ya ambaye alimuwezesha mwandishi habari Yahudi Muisraeli kuingia katika mji mtakatifu wa Makka, jambo ambalo ni kinyume cha sheria kwani wasio Waislamu hawaruhusiwi kuingia katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3475522    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/22

Umrah
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia ilitangaza kurejesha utoaji wa visa za Umrah baada ya kusitishwa wakati wa msimu wa Hija.
Habari ID: 3475511    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/16

Njama za Wazayuni
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa Lebanon na katibu mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Muqawama au Mapambano ya Kiislamu amelaani vikali ufalme wa Saudia kwa kumteua mhubiri anayeunga mkono utawala haramu wa Israel kuongoza Sala wakati wa Siku ya Arafah wakati wa Hija.
Habari ID: 3475494    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12