Jeshi la Nigeria limetumia buldoza kubomoa kikamilifu ukumbi wa Husseiniyyah Baqiyyatullah katika mji wa Zaria sehemu ambayo ni makao makuu ya Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
2015 Dec 21 , 23:13
Maafisa wa Nigeria wamesema kuwa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ambaye alitiwa nguvuni na jeshi huku familia na wafuasi wake wakichukuliwa hatua kali za jeshi na kusababisha umwagaji damu watashtakiwa.
2015 Dec 21 , 14:35
Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kisuni wa Iraq amefichua mkono wa Saudi Arabia katika mauaji yaliyofanywa na jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Zaria.
2015 Dec 20 , 16:18
Maandamano ya kulaani mauaji ya umati ya Waislamu nchini Nigeria yameendelea kushuhudiwa katika pembe mbali mbali za dunia.
2015 Dec 20 , 00:16
Profesa Mkristo katika Chuo Kikuu cha Kikristo huko Illinois Marekani aliyevaa hijabu kubainisha mshikamano wake na Wamarekani Waislamu wanaobaguliwa ametimuliwa chuoni hapo.
2015 Dec 19 , 11:29
Maandamano yamefanyika katiak maeneo mbali mbali duniani ikiwa ni pamoja na Iraq, Bahrain, Uingereza na Pakistan kulaani mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Nigeria.
2015 Dec 18 , 21:00
Mwana wa kiume wa Sheikh Ibrahim Zakzaky wa nchini Nigeria amesema familia bado haijazungumza na kiongozi huyo wa Waislamu wa madhehebu ya Shia tangu alipokamatwa na kwa mantiki hiyo hawana uthibitisho wowote kama yuko hai au la.
2015 Dec 18 , 19:58
Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu ICRO limetoa taarifa na kulaani hujuma ya hivi karibuni ya jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia ambapo zaidi ya waumini 1000 wameripotiwa kuuawa.
2015 Dec 17 , 21:43
Saudi Arabia na nchi kadhaa ambazo ni waungaji mkono wa wazi wa ugaidi zimeunda kile kinachodaiwa kuwa eti ni 'muungano dhidi ya ugaidi'.
2015 Dec 17 , 21:32
Donald Trump, mwanasiasa wa chama cha Republicans amesema baadhi ya waitifaki wa Marekani, ikiwemo Israel, wanaliunga mkono na kulipa misaada kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
2015 Dec 16 , 14:41
Wapalestina wengine wawili wameuawa shahidi katika hujuma za wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.
2015 Dec 16 , 14:32
Polisi nchini Nigeria wameendeleza ukatili wa jeshi la nchi hiyo kwa kuwaua Waislamu wanne wa madhehebu ya Shia huku magaidi wa Boko Haram wakiachwa huru kuendeleza mauaji yao.
2015 Dec 16 , 14:30
Mwanamke Marekani Muislamu mwenye asili ya Afrika ameapishwa kwa kutumia Qurani kuwa jaji, katika jimbo la Brooklyn.
2015 Dec 14 , 15:30