Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA kikao hicho pia kitahudhuriwa na Hujjatul Islam wal Muslimin Hamid Mohammadi Mkuu wa Kituo cha Kuratibu na Kuhimiza Shughuli za Qurani nchini Iran.
Mada kuu katika kikao hicho itahusu "Qurani na Vijana" ambapo washiriki watajadili namna kuwahusiha vijana na masuala ya Qurani Tukufu.
646491