TEHRAN (IQNA)-Kongamano moja la kimataifa limefanyika Cairo, Misri kwa lengo la kujadili kadhia ya utoaji wa fatuwa katika ulimwengu wa Kiislamu.
2018 Oct 18 , 20:03
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya walemavu wa macho yamemalizika Jumapili mjini Tehran kwa kuteuliwa wawakilishi wa Iran katika Awamu ya Nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho.
2018 Nov 06 , 16:13
KUALA LUMPUR (IQNA)-Mashindano ya 59 ya Kimataifa ya Qur'ani yamemalizika Jumamosi katika sherehe iliyofanyika mjini Kuala Lumpur
2017 May 21 , 15:26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema ili kupambana na hatari ya ugaidi na muamala wa kindumakuwili wa madola makubwa, kuna haja kwa nchi za Kiislamu kuongeza ushirikiano wao katika fremu ya siasa za kutimia akili na za kimantiki.
2016 Apr 11 , 23:07
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kuimarisha harakati za Kiislamu ndiyo njia mwafaka ya kukabiliana na fitina za makundi ya wakufurishaji katika mataifa mbalimbali.
2016 Feb 23 , 22:12
Kikao cha 11 cha Umoja wa Mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kimefanyika katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
2016 Jan 26 , 00:09
Duru ya 29 ya mkutano wa Umoja wa Kiislamu imeanza leo hapa mjini Tehran kwa hotuba ya Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye amesisitiza kuhusu ulazima wa Waislamu kuungana.
2015 Dec 27 , 11:30
Waislamu nchini Uingereza wamepuza mpango wa serikali ya nchi hiyo wa kupambana na ugaidi na wametangaza kuususia.
2015 Dec 26 , 19:57
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanzisha Zawadi ya Kimataifa ya Mustafa (SAW) ambapo imewatunuku zawadi wanasayansi bora zaidi Waislamu duniani katika hafla iliyofanyika Tehran.
2015 Dec 26 , 19:54
Rais Hassan Rouhani wa Iran anatazamiwa kutoa hotuba katika ufunguzi wa mkutano wa 29 kimataifa wa Umoja wa Kiislamu Jumapili hapa mjini Tehran.
2015 Dec 26 , 19:51
Jeshi la Nigeria limeendelea na hujuma zake dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia baada ya kubomoa Huseiniyyah nyingine katika mji wa Zaria ulioko katika jimbo la Kaduna.
2015 Dec 25 , 06:18
Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali mauaji ya jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu katika mji wa Zaria na kusema hakuna kisingizo chochote kile kinachoweza kutetea ukatili huo.
2015 Dec 24 , 12:49