iqna

IQNA

bustani
Pepo Katika Qur'ani /3
IQNA – Qur’ani Tukufu, katika Surah Muhammad (SAW), inataja mito minne peponi ambayo ndani yake kuna maji safi, maziwa, Sharaban Tahur (mvinyo usiolewesha), na asali safi inayotiririka.
Habari ID: 3478298    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/03

Pepo Katika Qur'ani /2
IQNA – Wakati uzuri wa pepo hauelezeki au kudirikiwa kikamilifu na mwanadamu, Qur'ani Tukufu inailinganisha na mandhari ya ajabu katika dunia hii ambayo daima ni ya kijani kibichi na yenye shime na mito ya maji safi ambayo inapita chini ya bustani zake.
Habari ID: 3478285    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01

TEHRAN (IQNA)- Manispaa ya Mji wa Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuwa watu milioni moja wameitembelea Bustani ya Qurani tangu ifunguliwe mjini humo mwezi Machi mwaka huu.
Habari ID: 3472226    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/22

Jarida la Time
TEHRAN (IQNA) – Jarida la kimataifa la Time limetangaza orodha ya 'Maeneo 100 Bora ya Kutembelea Duniani 2019' na Bustani ya Qur'ani ya Dubai ni miongoni mwa maeneo hayo.
Habari ID: 3472099    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/25