iqna

IQNA

cairo
Utamaduni
IQNA - Waandaaji wa toleo la 55 la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo wanasema Misahafu au nakala za Qur’ani Tukufu ni vitabu vinavyouzwa kwa wingi zaidi katika hafla hiyo ya kitamaduni.
Habari ID: 3478306    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05

Turathi
IQNA - Waziri wa Wakfu nchini Misri amesema Msikiti wa Sayeda Zainab huko Cairo umefungwa kwa muda ili kuharakisha kazi ya ukarabati.
Habari ID: 3478305    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/04

Turathi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Al Hakim bi Amr Allah umefunguliwa tena katika mji mkuu wa Misri wa Cairo baada ya kufanyiwa ukarabati.
Habari ID: 3476648    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02

TEHRAN (IQNA) – Tarjuma za Qurani Tukufu kwa lugha za Kiswahili na Kiindonesia ni kati ya vitaby vipya ambavyo vimewasilishwa katika Maoneysho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo.
Habari ID: 3474093    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/12

Mkutano wa Idhaa za Qur'ani Duniani
TEHRAN (IQNA)-Mkurugenzi wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kiislamu ya Utangazaji (IBU) Mohamed Salem Walad Boake amesema idhaa za Qur'ani duniani zinaweza kuwa kati ya njia muafaka zaidi za kukabiliana na wimbi la misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3471377    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/01

TEHRAN (IQNA)-Nakala nne nadra za Qur'ani Tukufu ni kati ya turathi zenye thamani katika maktaba ya Msikiti wa Sayyida Zainab mjini Cairo, Misri.
Habari ID: 3471372    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/26

Kongamano la Kimataifa la Kupambana na Ugaidi na Uchupaji Mipaka lililokuwa likifanyika katika taasisi ya al Azhar nchini Misri limesisitiza katika taarifa yake ya mwisho kuwa, makundi ya kitakfiri na yenye misimamo mikali hayana uhusiano wowote na Uislamu.
Habari ID: 2615265    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/05