iqna

IQNA

supkem
TEHRAN (IQNA)- Katika miezi ya hivi karibuni kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la kutoweka na kuuawa Waislamu nchini Kenya na sasa viongozi wa Kiislamu nchini humo wanataka serikali itoe majibu.
Habari ID: 3474569    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/17

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Kenya wamelaani vikali uamuzi wa Mahakama ya Kilele kuidhinisha marufuku ya vazi la Hijabu katika shule nchini humo huku baadhi ya viongozi wakiwataka wasichana Waislamu wapuuze uamuzi huo.
Habari ID: 3471823    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/28

TEHRAN (IQNA)- Idadi ya Wakenya wanaoelekea Hija mwaka huu imeongezeka kwa waumini 800 ikilinganishwa na mwaka uliopita.
Habari ID: 3471615    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/01

TEHRAN (IQNA)-Baraza Kuu la Waislamu Kenya , Supkem, limetoa wito kwa serikali kuchukua hatua za kuzuia kusumbuliwa wasichana Waislamu wanaovaa Hijabu wakiwa shuleni.
Habari ID: 3471334    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/31