Kongamano hilo linahudhuriwa na Ayatullah Sayyid Ahmad Khatami mwanachama wa Baraza la Wataalamu la Iran na Hujjatul Islam Ali Mohammadi mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu na Mkuu wa Shirika la Awqaf na vilevile wataalamu na wanaharakati wa kike wa Qur’ani.
Wanawake 28 ambao wamekuwa na nafasi muhimu katika uga wa Qur’ani wataenziwa.
Kati ya watakaoenziwa ni majaji wa mashindano ya Qur’ani, waalimu wa Qur’ani, wahubiri wa Qur’ani, wanaotengeneza sanaa za Qur’ani, waandishi wa vitabu vinavyohusiana na maarifa ya Qur’ani n.k.
817916