IQNA

Mashindano ya Qur’ani ya Afrika Yafungwa katika Mji Mkuu wa Senegal

Mashindano ya Qur’ani ya Afrika Yafungwa katika Mji Mkuu wa Senegal

IQNA – Hafla ya kufunga 'Mashindano ya Pili ya Mlinzi wa Misikiti Miwili Mitukufu la Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume (SAW)' ilifanyika katika mji mkuu wa Senegal.
16:02 , 2026 Apr 28
Al-Zaidi ateuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Iraq

Al-Zaidi ateuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Iraq

IQNA-Rais wa Iraq, Nizar Amedi, ambaye amechaguliwa hivi karibuni, ametangaza rasmi kumteua Ali al Zaidi kuwa waziri mkuu mteule wa nchi hiyo na kumpa jukumu la kuunda serikali ijayo.
15:49 , 2026 Apr 28
Mashindano ya 7 ya Kitaifa la Kuhifadhi Qur’ani nchini Ghana

Mashindano ya 7 ya Kitaifa la Kuhifadhi Qur’ani nchini Ghana

IQNA – Mashindano ya Saba Ya Kitaifa la Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Ghana lilifanyika mwishoni mwa juma lililopita katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
15:46 , 2026 Apr 28
Qari wa Yemen atoa wito wa kusimamisha mialiko ya Al‑Afasi

Qari wa Yemen atoa wito wa kusimamisha mialiko ya Al‑Afasi

IQNA – Akikosoa kwa ukali misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid al‑Afasi, katika kuhalalisha mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, msomaji wa Qur’ani kutoka Yemen ametoa wito wa kususiwa kwa al‑Afasi.
15:29 , 2026 Apr 28
Mwanachuoni wa Kiirani amsifu Papa Leo kwa misimamo yake ya kupinga vita

Mwanachuoni wa Kiirani amsifu Papa Leo kwa misimamo yake ya kupinga vita

IQNA – Katika barua mpya aliyoandika kwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Leo wa Kumi na Nne, Mkuu wa Kitengo cha Masomo ya Kiislamu katika Akademia ya Sayansi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa shukrani kwa msimamo wake wa haki katika kukataa mienendo ya ukatili.
15:06 , 2026 Apr 28
Watu Milioni 10 watembelea Makumbusho ya Maisha ya Sira ya Mtume (SAW) Nchini Morocco

Watu Milioni 10 watembelea Makumbusho ya Maisha ya Sira ya Mtume (SAW) Nchini Morocco

IQNA – Hafla ya kifahari imefanyika katika mji mkuu wa Morocco kuadhimisha mgeni wa milioni 10 kutembelea Makumbusho na Maonesho ya Sira (Maisha) ya Mtume Muhammad (SAW) pamoja na Ustaarabu wa Kiislamu.
17:34 , 2026 Apr 27
Chama cha Leba Uingereza katika changamoto, wagombea huru Waislamu wajipanga

Chama cha Leba Uingereza katika changamoto, wagombea huru Waislamu wajipanga

IQNA – Kwa zaidi ya miaka 50, Chama cha Leba kimekuwa kikichukulia Newham, Uingereza kama ngome yake salama ya kisiasa.
17:28 , 2026 Apr 27
Kamanda wa Kikosi cha Quds asisistiza kuhusu uungaji mkono imara kwa Hizbullah

Kamanda wa Kikosi cha Quds asisistiza kuhusu uungaji mkono imara kwa Hizbullah

IQNA – Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amekanusha vikali propaganda za Israel zinazolenga kupunguza nguvu za harakati ya Hizbullah, huku akisisitiza uungaji mkono kamili wa mhimili wa muqawama kwa harakati hiyo.
17:16 , 2026 Apr 27
Wahifadhi 333 wa Qur’ani Waenziwa Istanbul

Wahifadhi 333 wa Qur’ani Waenziwa Istanbul

IQNA – Hafla maalumu imefanyika katika mji wa Istanbul, Uturuki, kwa ajili ya kuwatunuku zaidi ya wahifadhi 300 wa Qur’ani Tukufu.
17:05 , 2026 Apr 27
Kozi za Qur’ani Zaanza Tena Lebanon

Kozi za Qur’ani Zaanza Tena Lebanon

IQNA – Kozi za mafundisho ya Qur’ani zimeanza tena nchini Lebanon kufuatia juhudi za Kituo cha Kimataifa cha Uenezi wa Qur’ani kinachohusishwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imamu Hussein (AS) huko Iraq. Kituo hicho kimetangaza kuwa kozi hizo zimeanza upya kupitia matawi yake nchini Lebanon pamoja na kituo cha Dar al-Qur’ani cha Imamu Ali (AS), baada ya mafanikio ya programu za Qur’ani katika vijiji na miji kadhaa ya Lebanon.
17:03 , 2026 Apr 27
Qiraa ya Aya ya 18 ya Surah Al‑Fath kutoka kwa Ustadh Mohammad Kakavand

Qiraa ya Aya ya 18 ya Surah Al‑Fath kutoka kwa Ustadh Mohammad Kakavand

IQNA- Kampeni ya kiroho ijulikanalo kama “Kuelekea Ushindi kwa Uongozi wa Mwenyezi Mungu(Wilayah)” limeandaliwa na IQNA kwa mnasaba wa kuchaguliwa kwa Kiongozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, pamoja na kiapo cha utii kilichotolewa kwake.
14:40 , 2026 Apr 26
Wahafidhi Qur'ani kutoka mataifa 53 ya Afrika washiriki katika Mashindano ya Qur’ani na Sunnah

Wahafidhi Qur'ani kutoka mataifa 53 ya Afrika washiriki katika Mashindano ya Qur’ani na Sunnah

IQNA – Mji mkuu wa Senegal unaandaa raundi za awali za Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad (SAW).
14:33 , 2026 Apr 26
Mwanazuoni wa Qur’ani wa Iraq: Misimamo ya Qari wa Kuwait yapingana mafundisho ya Mwenyezi Mungu

Mwanazuoni wa Qur’ani wa Iraq: Misimamo ya Qari wa Kuwait yapingana mafundisho ya Mwenyezi Mungu

IQNA – Sheikh Osama Karbalayi, msomaji wa kimataifa wa Qur’ani kutoka Iraq, amesisitiza kuwa misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid Al‑Afasi, katika kuhalalisha uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, inapingana na kiini cha mafundisho ya Mwenyezi Mungu.
14:26 , 2026 Apr 26
Msafara wa kwanza wa Wairani wanaolekea Hija wawasili Saudia

Msafara wa kwanza wa Wairani wanaolekea Hija wawasili Saudia

IQNA – Msafara wa kwanza wa Wairani wanaoshiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu umewasili Saudi Arabia.
14:57 , 2026 Apr 25
Msomaji wa Ibtihal kutoka Misri kutunga kasida kutetea Iran na Muqawama

Msomaji wa Ibtihal kutoka Misri kutunga kasida kutetea Iran na Muqawama

IQNA – Msomaji mashuhuri wa Ibtihal kutoka Misri na jaji wa mashindano ya Qur’ani ametangaza kuwa atatayarisha kasida yenye maudhui ya Qur’ani ili kukabiliana na mashambulizi ya yaliyofanywa na qari mmoja kutoka Kuwait dhidi ya Iran na mhimili wa muqawama.
14:37 , 2026 Apr 25
1