IQNA – Magenge ya walowezi wa Kizayuni yamefanya mfululizo wa mashambulizi ya kikatili usiku wa Jumapili katika miji na vijiji mbalimbali katika wilaya za al-Khalil (Hebron) na Nablus katika eneo linalokaliw akwa mabavu na Israel la Ukingo wa Magharibi, ambapo wamechoma moto nyumba na msikiti, wamewashambulia wakazi, na kupora mifugo huku wakilindwa na wanajeshi wa utawala katili wa Israel.
11:43 , 2026 Jul 20