IQNA

UNRWA: Wapalestina wa Gaza wakaribia kufa kutokana na kiu

UNRWA: Wapalestina wa Gaza wakaribia kufa kutokana na kiu

IQNA - Mgogoro mkubwa wa maji unatishia Wapalestina wa Gaza ambapo wanaweza kufariki kutokana na kiu cha maji  huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya eneo hilo.
20:18 , 2025 Jun 26
Ayatullah Khamenei alipongeza Taifa la Iran kwa ushindi dhidi ya Israel, Marekani

Ayatullah Khamenei alipongeza Taifa la Iran kwa ushindi dhidi ya Israel, Marekani

IQNA - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei amelipongeza taifa la Iran kwa ushindi dhidi ya utawala wa Israel na Marekani pamoja na umoja wa ajabu wa taifa la Iran.
20:06 , 2025 Jun 26
Wahifadhi Qur'ani kutoka Nchi 85 wajisajili katika Mashindano ya Qur’ani ya Dubai

Wahifadhi Qur'ani kutoka Nchi 85 wajisajili katika Mashindano ya Qur’ani ya Dubai

IQNA – Wahifadhi Qur’ani kutoka nchi 85 wamesajili majina yao ili kushiriki katika toleo la 28 la Tuzo la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Dubai.
23:53 , 2025 Jun 25
Pazia la Kaaba limebadilishwa kwa mnasaba wa kuanza mwaka wa Kiislamu 1447 Hijria

Pazia la Kaaba limebadilishwa kwa mnasaba wa kuanza mwaka wa Kiislamu 1447 Hijria

IQNA – Pazia la Kaaba Tukufu ambalo linajulikana kama Kiswa, linabadilishwa wiki hii kuashiria kuanza kwa mwaka wa Kiislamu wa 1447 AH.
23:41 , 2025 Jun 25
Wapalestina zaidi ya 56,077  wameuawa shahidi katika mauaji ya kimbari yanatekelezwa na Israel Gaza

Wapalestina zaidi ya 56,077 wameuawa shahidi katika mauaji ya kimbari yanatekelezwa na Israel Gaza

IQNA - Jeshi katili la Israel dhid limeua takriban Wapalestina 56,077 katika mauaji ya kimbari huko Gaza tangu Oktoba 7, 2023.
22:42 , 2025 Jun 25
Umoja wa Waislamu waimarika baada ya operesheni ya Iran dhidi ya Israel

Umoja wa Waislamu waimarika baada ya operesheni ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mshikamano wa Waislamu katika ulimwengu wa Kiislamu umefikia kiwango kisicho na kifani kufuatia Operesheni ya Ahadi ya Kweli III dhidi ya utawala wa Israel, mwanazuoni mmoja anasema.
05:38 , 2025 Jun 25
Wairani 606 wameawa shahidi katika Siku 12 za Uvamizi wa Israel

Wairani 606 wameawa shahidi katika Siku 12 za Uvamizi wa Israel

IQNA - Waziri wa Afya wa Iran Daktari Mohammad Reza Zafarghandi amesema idadi ya waliouawa katika hujuma ya utawala wa Israel dhidi ya Iran ni 606.
00:15 , 2025 Jun 25
Iran imeulazimu utawala wa Kizayuni kukubali kushindwa

Iran imeulazimu utawala wa Kizayuni kukubali kushindwa

IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran limetoa taarifa Jumanne na kuthibitisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umelazimika kukubali mapatano ya usitishaji vita.
23:58 , 2025 Jun 24
Kauli ya mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran baada ya hujuma ya Marekani

Kauli ya mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran baada ya hujuma ya Marekani

IQNA-Mohammad Eslami Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, hatuna imani tena na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na ukaguzi wake, kwa sababu zana zote hizo zimetumika katika kufanya ujasusi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
19:48 , 2025 Jun 22
Taarifa ya Iran kuhusu uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran

Taarifa ya Iran kuhusu uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran

IQNA-Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imetoa taarifa ikilaani hujuma na uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya taifa hili vinavyofanya shughuli zake kwa malengo ya amani.
19:40 , 2025 Jun 22
'Iran Mashallah!': Watu Saudi Arabia waisifu namna Iran inavyokabiliana na uchokozi wa Israel

'Iran Mashallah!': Watu Saudi Arabia waisifu namna Iran inavyokabiliana na uchokozi wa Israel

IQNA-Waziri wa zamani wa Utamaduni wa Iran ameeleza jinsi Mahujaji wa kigeni na watu wa Saudia wanavopongeza jibu halali la Iran kufuatia uhokozi na uvamizi wa utawala haramu wa Israel.
19:06 , 2025 Jun 21
Maandamano yafanyika Asia Magharibi kuunga mkono Iran

Maandamano yafanyika Asia Magharibi kuunga mkono Iran

IQNA-Maandamano yamefanyika katika nchi kadhaa za eneo siku ya Ijumaa kutangaza kufungamana na Iran wakati huu wa kukabiliana na hujuma ya kichokozi na kijinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
14:58 , 2025 Jun 21
Sheikh Mkuu wa Al Azhar alaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu uchokozi wa Israel dhidi ya Iran

Sheikh Mkuu wa Al Azhar alaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu uchokozi wa Israel dhidi ya Iran

IQNA-Imam wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amelanaani ikali mashambulizi yanayoendelea ya utawala haramu wa Israeldhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
14:51 , 2025 Jun 21
Mufti wa Libya: Vita vya Iran na Israel ni mapambano baina ya Uislamu na Ukafiri

Mufti wa Libya: Vita vya Iran na Israel ni mapambano baina ya Uislamu na Ukafiri

IQNA-Mufti wa Libya, Sheikh Sadiq al Ghariani amesema kuwa vita vinavyooendelea kati ya Iran na Israel ni vita baina ya Uislamu na ukafiri.
23:11 , 2025 Jun 20
Hizbullah:  Tunasimama pamoja na Iran kukabiliana na hujuma Marekani, Iran

Hizbullah: Tunasimama pamoja na Iran kukabiliana na hujuma Marekani, Iran

IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem amesisitiza uungaji mkono usioyumba wa harakati hiyo kwa Iran huku akilaani hujuma ya kichokozi na iliyo haramu inayotekelezwa na Marekani na utawala wa Israel dhidi ya Iran.
22:47 , 2025 Jun 20
1