IQNA

Rais Pezeshkian Akihutubia UNGA: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ilikuwa usaliti kwa diplomasia

Rais Pezeshkian Akihutubia UNGA: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ilikuwa usaliti kwa diplomasia

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya anga ya “kikatili” yaliyofanywa na Marekani na Israel mwezi Juni katika ardhi ya Iran na kusema yalikuwa usaliti kwa diplomasia.
09:42 , 2025 Sep 25
Kiongozi Muadhamu: Hakuna manufaa katika mazungumzo ya Iran na Marekani

Kiongozi Muadhamu: Hakuna manufaa katika mazungumzo ya Iran na Marekani

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amepinga ombi la Washington la mazungumzo ya nyuklia na kusema kwamba hakuna taifa lolote huru na lenye heshima linaloweza kukubali mazungumzo chini ya mashinikizo.
17:31 , 2025 Sep 24
Polisi wachunguza hujuma dhidi ya Msikiti nchini Uswidi

Polisi wachunguza hujuma dhidi ya Msikiti nchini Uswidi

IQNA – Moto umeteketeza msikiti katika mji wa kusini wa Hultsfred, nchini Uswidi, usiku wa kuamkia Jumanne, na kuharibu kabisa jengo hilo.
17:27 , 2025 Sep 24
Ni lini uchapishaji wa Qur’ani ulianza nchini Ujerumani?

Ni lini uchapishaji wa Qur’ani ulianza nchini Ujerumani?

IQNA – Wanazuoni wa Kijerumani walikuwa na hamu ya kujifunza Uislamu na Qur’ani Tukufu, na tangu karne ya 17, Wajerumani walianza kuchapisha Qur’ani nchini mwao ili kurahisisha masomo na tafsiri yake.
17:23 , 2025 Sep 24
Mwanazuoni wa Pakistan Asema Umoja wa Kiislamu Ndio Mkakati Mkuu Dhidi ya Njama za Israel

Mwanazuoni wa Pakistan Asema Umoja wa Kiislamu Ndio Mkakati Mkuu Dhidi ya Njama za Israel

IQNA – Mwanazuoni mashuhuri kutoka Pakistan amesema kwamba njia muhimu zaidi ya kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel ni kupitia umoja wa Ulimwengu wa Waislamu.
17:17 , 2025 Sep 24
Shirika la Awqaf Latangaza Majina ya waliofuzu fainali za Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani ya Iran

Shirika la Awqaf Latangaza Majina ya waliofuzu fainali za Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani ya Iran

IQNA – Majina ya wale wanaostahiki kushiriki katika hatua ya fainali ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran yametangazwa.
17:11 , 2025 Sep 24
Kumkumbuka Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary: Qari mwenye Unyenyekevu na Huruma

Kumkumbuka Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary: Qari mwenye Unyenyekevu na Huruma

IQNA – Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary, mmoja wa maqari mashuhuri wa Misri, anakumbukwa kwa umahiri wake wa kusoma Qur’ani, huruma, na unyenyekevu.
17:03 , 2025 Sep 24
Baraza la Wahindu latuhumiwa kwa Chuki Dhidi ya Uislamu nchini Australia

Baraza la Wahindu latuhumiwa kwa Chuki Dhidi ya Uislamu nchini Australia

IQNA – Tume ya Haki za Binadamu ya Australia imeanzisha uchunguzi kufuatia malalamiko dhidi ya Baraza la Wahindu la Australia, likiwemo Rais wake Sai Paravastu na Mkuu wa Idara ya Habari Neelima Paravastu, wakidaiwa kujihusisha mara kwa mara na matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu kuanzia Mei 2024 hadi Julai 2025.
18:38 , 2025 Sep 23
Qibla ya Pamoja inapaswa kuwa chanzo cha

Qibla ya Pamoja inapaswa kuwa chanzo cha "Umoja wa Kweli,” asema mwanazuoni wa Malaysia

IQNA – Mwanazuoni na mwanaharakati kutoka Malaysia ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kuonesha mshikamano kwa vitendo badala ya maneno, akisisitiza kuwa Qibla ya pamoja inapaswa kuwa msingi wa mshikamano wa Ummah.
18:38 , 2025 Sep 23
Pakistan yaialika Iran kushiriki Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani

Pakistan yaialika Iran kushiriki Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani

IQNA – Waziri wa Mambo ya Kidini wa Pakistan ametoa mwaliko rasmi kwa wataalamu na wasomaji wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani yanayotarajiwa kufanyika nchini humo.
18:31 , 2025 Sep 23
Dada wanne Wapalestina wafaulu kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa ukamilifu

Dada wanne Wapalestina wafaulu kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa ukamilifu

IQNA – Dada wanne wa Kipalestina kutoka kijiji cha Deir al-Quds, kilichopo katika Mkoa wa Ramallah, Ukingo wa Magharibi, wamefanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote kwa moyo.
18:20 , 2025 Sep 23
Washindi wa Mashindano ya Afrika ya Kuhifadhi Qur’ani na Hadithi Watunukiwa Johannesburg

Washindi wa Mashindano ya Afrika ya Kuhifadhi Qur’ani na Hadithi Watunukiwa Johannesburg

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Mfalme Salman bin Abdulaziz ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume (SAW) barani Afrika imehitimishwa kwa hafla rasmi iliyofanyika mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
18:08 , 2025 Sep 23
Msomi atoa wito wa kuundwa kwa Umoja wa Kiislamu kupinga ubeberu wa Magharibi

Msomi atoa wito wa kuundwa kwa Umoja wa Kiislamu kupinga ubeberu wa Magharibi

IQNA – Mwanasiasa na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Iran ametoa wito kwa nchi zenye Waislamu wengi kuunda umoja wa kisiasa na kiuchumi ili kuimarisha msimamo wao wa pamoja dhidi ya miungano ya mataifa ya Magharibi kama vile NATO na Umoja wa Ulaya.
16:52 , 2025 Sep 22
Qur’ani ni Mwongozo wa Kibinafsi na Chanzo cha Utulivu wa Kina

Qur’ani ni Mwongozo wa Kibinafsi na Chanzo cha Utulivu wa Kina

IQNA – Kwa mwaname mmoja kutoka Iran ambaye ameweka juhudi kwa muda wa miongo miwili kuhifadhi Qur’ani Tukufu, kitabu hiki kitakatifu si tu maandiko ya kidini, bali ni mwongozo wa kibinafsi na chemchemi ya utulivu wa kina.
16:19 , 2025 Sep 22
Isfahan kuandaa hatua ya mwisho ya mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran

Isfahan kuandaa hatua ya mwisho ya mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kitaifa ya Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Iran imepangwa kufanyika katika mji wa kati wa Isfahan.
15:39 , 2025 Sep 22
1