IQNA

Makala 500 za utafiti 500 zawasilishwa katika Kongamano la 6 la Kimataifa la Afya katika Arbaeen

Makala 500 za utafiti 500 zawasilishwa katika Kongamano la 6 la Kimataifa la Afya katika Arbaeen

TEHRAN – Mkuu wa kamati ya kisayansi ya Kongamano la 6 la Kimataifa la “Afya katika Arubaini” ametangaza kuwa jumla ya karatasi za utafiti 500 zimewasilishwa katika sekretarieti ya kongamano hilo.
23:31 , 2026 Jul 15
Chuo cha Qur’ani nchini Kosovo chazindua darsa za likizo ya kiangazi

Chuo cha Qur’ani nchini Kosovo chazindua darsa za likizo ya kiangazi

IQNA – Katika kuamsha ari ya mapenzi ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu wakati wa likizo ya kiangazi, Chuo cha Tahfidh cha “Little Memorizers” (Wahifadhi Wadogo) mjini Pristina, kinachofanya kazi chini ya usimamizi na usimamizi wa kiroho wa Msikiti Mkuu wa Kosovo, kimezindua rasmi programu yake maalum ya “Darsa za Kiangazi za Mwaka 2026.”
23:11 , 2026 Jul 15
Washindi wa Tuzo ya Kimataifa ya Ushairi ya ‘Imamu Shahidi’ Watunukiwa

Washindi wa Tuzo ya Kimataifa ya Ushairi ya ‘Imamu Shahidi’ Watunukiwa

IQNA – Washindi wa duru ya kwanza ya Tuzo ya Kimataifa ya Ushairi ya “Imamu Shahidi” walitangazwa na kutunukiwa katika hafla iliyofanyika mjini Tehran siku ya Jumanne.
22:35 , 2026 Jul 15
Shule ya Qur’an yazinduliwa katika mkoa wa Osh, Kyrgyzstan

Shule ya Qur’an yazinduliwa katika mkoa wa Osh, Kyrgyzstan

IQNA – Shule mpya ya Qur’an imezinduliwa katika eneo la Myrza-Ake, katika mji wa Uzgen, Mkoa wa Osh, nchini Jamhuri ya Kyrgyzstan.
22:09 , 2026 Jul 15
Iran yatangaza mipaka ya kutokea na kuingia kwa mazuwar wa kigeni wa Arbaeen

Iran yatangaza mipaka ya kutokea na kuingia kwa mazuwar wa kigeni wa Arbaeen

IQNA – Makao Makuu ya Ziyara ya Arbaeen nchini Iran, katika taarifa yake, yametangaza mipaka ya kutokea na kuingia kwa mazuwar wa kigeni wa Arbaeen ya Imam Hussein (AS) wanaosafiri kwenda Iraq kupitia Iran.
21:56 , 2026 Jul 15
Qarii Mashuhuri wa Iran asoma Qur’ani katika Majlisi ya Kumbukumbu ya Kiongozi Shahidi

Qarii Mashuhuri wa Iran asoma Qur’ani katika Majlisi ya Kumbukumbu ya Kiongozi Shahidi

TEHRAN (IQNA) – Qari mashuhuri wa Iran, ndugu Qassem Moqaddami, amesoma aya tukufu kutoka Surah Al-Fajr katika majlisi ya kumbukumbu ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, iliyofanyika mjini Tehran tarehe 14 Julai 2026.
15:39 , 2026 Jul 15
Chuo kipya cha Qur’ani chazinduliwa Yemen

Chuo kipya cha Qur’ani chazinduliwa Yemen

IQNA – Chuo Kikuu cha Qur’ani na Shule ya Mafunzo ya Kidini cha Juu kimefunguliwa katika mji wa Rida, mkoani Bayda, nchini Yemen, Jumapili.
17:29 , 2026 Jul 14
Makumbusho ya Makka yanawasilisha historia ya kuhifadhiwa kwa Qur’ani

Makumbusho ya Makka yanawasilisha historia ya kuhifadhiwa kwa Qur’ani

IQNA – Makumbusho mapya katika Eneo la Kitamaduni la Hira jijini Makka yanawazamisha wageni katika bahari ya historia ya uandishi wa Qur’ani Tukufu.
17:23 , 2026 Jul 14
Kongamano lajadili 'Mwelekeo wa Kihistoria wa Sanaa ya Usomaji wa Qur’ani nchini Misri'

Kongamano lajadili 'Mwelekeo wa Kihistoria wa Sanaa ya Usomaji wa Qur’ani nchini Misri'

IQNA – Maktaba ya Alexandria imeandaa kongamano lililopewa anuani ya: “Usomaji wa Qur’ani nchini Misri; Utafiti wa Ukuzaji na Kuporomoka Kwake,” ikiwa ni sehemu ya programu ya kiutamaduni katika Maonesho ya Vitabu ya Kimataifa ya maktaba hiyo.
17:17 , 2026 Jul 14
Vatikani yapinga madai ya Balozi wa Trump kuhusu Ukosoaji wa Papa kwa Vita dhidi ya Iran

Vatikani yapinga madai ya Balozi wa Trump kuhusu Ukosoaji wa Papa kwa Vita dhidi ya Iran

IQNA – Vatikani (Vatican) imekataa jaribio la balozi wa utawala wa Trump katika Vatikan la kuwasilisha ukosoaji wa Papa Leo wa XIV dhidi ya vita vya Marekani dhidi ya Iran kana kwamba ulikuwa uingiliaji wa kisiasa badala ya msimamo wa kidini.
17:05 , 2026 Jul 14
Mwandishi wa Iraq: Ushiriki wa Mamilioni katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi una ujumbe wenye nguvu

Mwandishi wa Iraq: Ushiriki wa Mamilioni katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi una ujumbe wenye nguvu

IQNA – Uwepo wa mamilioni ya waumini katika misafara ya mazishi iliyofanyika nchini Iran na Iraq kwa ajili ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, unabeba ujumbe muhimu, wa kina na wenye nguvu.
16:56 , 2026 Jul 14
Maqari wa Iran wasoma Sura Ad-Duha kwa mtindo wa Munafisah

Maqari wa Iran wasoma Sura Ad-Duha kwa mtindo wa Munafisah

IQNA – Maqari wa Iran wasoma aya za Qur’ani Tukufu kwa mtindo wa munafisah.
15:40 , 2026 Jul 14
Mikataba ya dola milioni 13.4 katika Maonyesho ya Halal ya D-8 Indonesia

Mikataba ya dola milioni 13.4 katika Maonyesho ya Halal ya D-8 Indonesia

IQNA – Waandaji wa Maonyesho ya Halal ya nchi za D-8 nchini Indonesia (D-8 HEI) 2026 wametangaza kuhitimishwa rasmi kwa hafla hiyo siku ya Jumapili, wakiripoti jumla ya mikataba yenye thamani ya Rupia (Rp) bilioni 242 sawa na 13.4 million USD za huduma na bidhaa za Halal.
17:20 , 2026 Jul 13
ICRO imeandaa Tuzo ya Kimataifa ya Arbaeen Toleo la 12

ICRO imeandaa Tuzo ya Kimataifa ya Arbaeen Toleo la 12

IQNA – Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) limeandaa tuzo ya 12 ya Kimataifa ya Arbaeen mwaka huu.
17:07 , 2026 Jul 13
Wanafunzi kutoka Austria wajifunza kuhusu Uislamu katika Kituo cha Kiislamu cha Vienna

Wanafunzi kutoka Austria wajifunza kuhusu Uislamu katika Kituo cha Kiislamu cha Vienna

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vienna, jijini Vienna nchini Austria, kimekaribisha makundi ya wanafunzi kutoka shule mbalimbali nchini humo siku kadhaa kabla ya kuanza kwa likizo ya masomo.
16:59 , 2026 Jul 13
1 2 3 4 5