IQNA

Msanii wa Dagestan na Tajiriba ya kiroho ya kuandika Qur’ani

Msanii wa Dagestan na Tajiriba ya kiroho ya kuandika Qur’ani

IQNA – Suleiman Ashirlayev, msanii wa khatt kutoka Jamhuri ya Dagestan katika Shirikisho la Urusi, ameandika Qur’ani Tukufu nzima kwa maandishi ya Thuluth katika tajiriba aliyoiita ya kiroho.
12:03 , 2026 Jun 09
Hatua ya Awali ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Iran kuanza mwezi ujao

Hatua ya Awali ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Iran kuanza mwezi ujao

IQNA – Zaidi ya watu 67,000 wamejiandikisha kushiriki katika Mashindano ya 49 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambapo hatua ya awali inatarajiwa kuanza mwezi ujao.
11:53 , 2026 Jun 09
Manispaa ya Tehran Yakamilisha Maandalizi ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi

Manispaa ya Tehran Yakamilisha Maandalizi ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi

IQNA – Msemaji wa Manispaa ya Tehran ametangaza utayari kamili wa manispaa hiyo kwa ajili ya shughuli ya kusindikiza mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
11:48 , 2026 Jun 09
Hafla ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu Yafanyika katika Haram ya Al-Askari nchini Iraq

Hafla ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu Yafanyika katika Haram ya Al-Askari nchini Iraq

IQNA – Hafla tukufu ya usomaji wa Qur’ani Tukufu iliandaliwa mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Haram Takatifu ya Al-Askari iliyoko Samarra, nchini Iraq.
11:37 , 2026 Jun 09
Mwimbaji wa Marekani–Indonesia Awasilisha Wimbo wa Kumsifu Imam Ali (+Video)

Mwimbaji wa Marekani–Indonesia Awasilisha Wimbo wa Kumsifu Imam Ali (+Video)

IQNA – Mwimbaji mashuhuri wa Marekani–Indonesia amewasilisha wimbo maalumu wa kumsifu na kumheshimu Amiri wa Waumini, Imam Ali (AS).
17:53 , 2026 Jun 08
Programu ya Mafunzo kwa Vijana Waislamu katika Mji Mkuu wa Korea Kusini

Programu ya Mafunzo kwa Vijana Waislamu katika Mji Mkuu wa Korea Kusini

IQNA – Shirikisho la Waislamu la Korea (KMF) limeandaa programu ya mafunzo kwa vijana Waislamu mjini Seoul.
17:48 , 2026 Jun 08
Wachezaji wa Iraq Waomba Kuvaa Jezi Nyeusi Katika Mechi Dhidi ya Senegal Usiku wa Kuamkia Ashura

Wachezaji wa Iraq Waomba Kuvaa Jezi Nyeusi Katika Mechi Dhidi ya Senegal Usiku wa Kuamkia Ashura

IQNA – Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Iraq inatarajiwa kukutana na Senegal katika mechi ya Kombe la Dunia 2026 usiku wa kuamkia siku ya Ashura baadaye mwezi huu.
17:44 , 2026 Jun 08
Yemen yatangaza kupiga marufuku ya meli za Israel kupita  Bahari ya Sham

Yemen yatangaza kupiga marufuku ya meli za Israel kupita Bahari ya Sham

IQNA-Vikosi vya Jeshi la Yemen vimetangaza marufuku kamili ya usafiri wa baharini wa Israel katika Bahari Nyekundu (Bahari ya Sham), vikisema kwamba harakati zote za adui katika eneo hilo sasa zitachukuliwa kuwa malengo halali ya kijeshi, baada ya kutekeleza shambulizi la kombora lenye usahihi dhidi ya maeneo nyeti ya Israel huko Tel Aviv.
17:38 , 2026 Jun 08
Iran yajibu uchokozi wa Israel, yashambulia kambi za kijeshi

Iran yajibu uchokozi wa Israel, yashambulia kambi za kijeshi

IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuanzisha “Operesheni Nasr” (Ushindi), likisema limezilenga kambi za kimkakati za anga za utawala wa Israel za Nevatim na Tel Nof, kama hatua ya kujibu mashambulizi ya makombora yaliyolenga vituo vya rada vya Iran.
15:08 , 2026 Jun 08
Vita dhidi ya Iran havikidhi vigezo vya “Vita vya Haki”, asema Papa Leo

Vita dhidi ya Iran havikidhi vigezo vya “Vita vya Haki”, asema Papa Leo

IQNA – Katika kauli yenye ukali dhidi ya sera za Rais wa Marekani Donald Trump, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran havina uhalali wa maadili.
15:54 , 2026 Jun 07
Msikiti Mkuu wa Taipei wahifadahi utambulisho wa Kiislamu eneo la China la Taiwan

Msikiti Mkuu wa Taipei wahifadahi utambulisho wa Kiislamu eneo la China la Taiwan

IQNA – Kwa kutegemea mradi wa kielimu ulioendelea kwa zaidi ya miaka ishirini, Msikiti Mkuu au Msikiti wa Jamia wa Taipei katika eneo la China la Taiwan umejidhihirisha kama mfano wenye mafanikio katika kulea na kuelimisha vizazi vijavyo vya Waislamu.
15:48 , 2026 Jun 07
Miaka mitano baadaye, jamii ya London yaungana kuwakumbuka wanafamilia wa Kiislamu waliouawa kikatili katika shambulio la chuki

Miaka mitano baadaye, jamii ya London yaungana kuwakumbuka wanafamilia wa Kiislamu waliouawa kikatili katika shambulio la chuki

IQNA – Miaka mitano baada ya washiriki wanne wa familia moja ya Kiislamu kuuawa kwa kugongwa makusudi na gari katika kitendo ambacho jaji amekitaja kuwa ni cha kigaidi, wanajamii katika mji wa London, Ontario nchini Kanada, wamekusanyika kuwakumbuka wahanga hao na kusisitiza upya ahadi yao ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
15:41 , 2026 Jun 07
Idara ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) yakamilisha urekebishaji wa Msahafu adimu

Idara ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) yakamilisha urekebishaji wa Msahafu adimu

IQNA – Idara ya Masuala ya Kifikra na Utamaduni ya Astan au Mamlaka ya Usimamizi ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) iliyopo Karbala, Iraq, imekamilisha kazi kubwa ya urekebishaji wa nakala adimu na yenye thamani ya kipekee ya Qur’ani Tukufu.
15:20 , 2026 Jun 07
Msikiti Mkuu wa Makkah Kuandaa Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Msikiti Mkuu wa Makkah Kuandaa Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Usajili umeanza kwa wale wanaotaka kushiriki kozi ya majira ya kiangazi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid Al-Haram).
19:24 , 2026 Jun 06
Mmiliki wa Klabu ya Poland akataa uhamisho kwa timu ya ‘Israel’, aitaja kuwa mfano wa Ujerumani ya Nazi

Mmiliki wa Klabu ya Poland akataa uhamisho kwa timu ya ‘Israel’, aitaja kuwa mfano wa Ujerumani ya Nazi

IQNA – Akieleza sababu za kukataa uhamisho wa mchezaji kwenda klabu ya soka ya Israel ya Maccabi Tel Aviv, mmiliki wa klabu ya soka ya Poland ya  Pogon Szczecin ametolea mfano wa Ujerumani ya enzi za utawala wa Nazi.
19:16 , 2026 Jun 06
1