IQNA

Washiriki 170 katika hatua ya kwanza ya Mashindano ya Qur’an Tukufu Oman

Washiriki 170 katika hatua ya kwanza ya Mashindano ya Qur’an Tukufu Oman

IQNA – Takriban washiriki 170 wameingia katika hatua ya mwanzo ya mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’an Tukufu nchini Oman.
18:49 , 2025 Dec 27
Takriban watu 6 wameuawa katika hujuma kigaidi dhidi ya Msikiti wa Imam Ali wakati wa Sala ya Ijumaa Syria

Takriban watu 6 wameuawa katika hujuma kigaidi dhidi ya Msikiti wa Imam Ali wakati wa Sala ya Ijumaa Syria

Shambulio la kigaidi limewalenga waumini waliokuwa katika ibada ya Sala leo Ijumaa katika msikiti wa Imam Ali bin Abi Talib (AS) katika kitongoji cha Wadi al Dhahab katika mkoa wa Homs , Syria na kuuwa watu 5 na kujeruhi wengine 21.
22:41 , 2025 Dec 26
Nabii Isa (Yesu) alizaliwa Iraq, siyo Bethlehem, asema mwanazuoni wa Kiiraqi

Nabii Isa (Yesu) alizaliwa Iraq, siyo Bethlehem, asema mwanazuoni wa Kiiraqi

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia kutoka Iraq anaamini kuwa tafiti mpya juu ya asili ya jina Buratha (mwana wa maajabu) na mawe ya ajabu ya Msikiti wa kihistoria wa Buratha huko Iraq zinaimarisha nadharia kwamba mahali pa kuzaliwa kwa Nabii Isa (Amani Iwe Juu Yake-AS-) si Beit Laham au Bethlehem, Palestina, bali Iraq.
22:22 , 2025 Dec 26
UN yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua  waumini msikitini Nigeria

UN yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua waumini msikitini Nigeria

IQNA-Umoja wa Mataifa umelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea kwenye msikiti ulioko katika Soko la Gamboru, mjini Maiduguri, katika Jimbo la Borno kaskazini-mashariki mwa Nigeria, lililopelekea kuuawa na kujeruhiwa makumi ya Waislamu waliokuwemo msikitini humo.
19:26 , 2025 Dec 26
Mwandishi Mkristo: Kuendeleza maadili na upendo ni ujumbe wa Utume wa Isa na Muhammad (Amani Iwe Juu Yao)

Mwandishi Mkristo: Kuendeleza maadili na upendo ni ujumbe wa Utume wa Isa na Muhammad (Amani Iwe Juu Yao)

IQNA – Mwanafikra na msanii Mkristo kutoka Lebanon amesema Nabii Isa na Mtume Muhammad (rehema na amani ziwashukie) waliona jukumu lao kuwa ni kusimamisha maadili na upendo wa kimungu.
16:52 , 2025 Dec 25
Salamu za Krismasi za Rais wa Iran kwa Papa Leo wa Kanisa Katoliki

Salamu za Krismasi za Rais wa Iran kwa Papa Leo wa Kanisa Katoliki

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu kwa Papa Leo wa XIV, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, akimpongeza kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Nabii Isa (amani iwe juu yake) na kuwadia Mwaka Mpya wa 2026.
16:34 , 2025 Dec 25
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Misri Wasoma Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja + Video

Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Misri Wasoma Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja + Video

IQNA – Wachezaji wa timu ya taifa ya kandanda ya Misri wamesoma aya za Qur’ani Tukufu kwa sauti ya pamoja kabla ya mechi dhidi ya Zimbabwe katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
12:44 , 2025 Dec 25
Ujumbe wa Krismasi na Amani Kutoka kwa Mkuu wa ICRO

Ujumbe wa Krismasi na Amani Kutoka kwa Mkuu wa ICRO

IQNA – Katika ujumbe wake kwa viongozi na wafuasi wa Kanisa Katoliki, Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO), Hujjatul-Islam Mohammad Mehdi Imanipour, ametumai mwaka 2026 utakuwa mwaka uliojaa amani, mapenzi na huruma kwa wafuasi wote wa dini za mbinguni.
12:04 , 2025 Dec 25
Kile kilichomchochea mwandishi wa Libya kuandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Qur’ani

Kile kilichomchochea mwandishi wa Libya kuandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Qur’ani

IQNA- Dr. Ali Muhammad Al-Salabi, mwandishi na mtafiti wa Libya, ndiye aliyeandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Manabii katika Qur’anI Tukufu.
20:23 , 2025 Dec 24
Mashindano ya Qur’ani kufanyika kwa kumbukumbu ya dada watatu Wamisri

Mashindano ya Qur’ani kufanyika kwa kumbukumbu ya dada watatu Wamisri

IQNA-Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani yatafanyika katika jimbo la Menoufia, Misri, kwa kumbukumbu ya dada watatu wadogo wa Kimasri waliopoteza maisha katika ajali. Mashindano haya yamepangwa kufanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani (Februari–Machi, 2026).
20:17 , 2025 Dec 24
Qari mashuhuri Sheikh Ahmed Nuaina asoma Qur’ani katika kipindi cha televisheni cha Misri

Qari mashuhuri Sheikh Ahmed Nuaina asoma Qur’ani katika kipindi cha televisheni cha Misri

IQNA-Ahmed Ahmed Nuaina, anayejulikana kama Sheikh al-Qurra (Kiongozi wa Maqari) wa Misri, alionekana katika kipindi cha vipaji cha taifa kiitwacho Dawlet El Telawa.
20:09 , 2025 Dec 24
Maktaba ya Al-Rawdha Al-Haidriya: Hazina Tajiri kwa Watu wa Dini na Elimu

Maktaba ya Al-Rawdha Al-Haidriya: Hazina Tajiri kwa Watu wa Dini na Elimu

IQNA-Kiongozi wa idara ya nakala za maandiko ya Maktaba ya Al-Rawdha Al-Haidriya, iliyo ndani ya Haram ya Imam Ali (AS) nchini Iraq, amesema kuwa maktaba hii imejulikana kwa wingi na utofauti wa hazina zake za kidini na kisayansi, na imekuwa miongoni mwa maktaba mashuhuri zaidi.
20:05 , 2025 Dec 24
Waislamu wa Australia wanaripoti kuongezeka chuki baada ya hujuma ya Bondi

Waislamu wa Australia wanaripoti kuongezeka chuki baada ya hujuma ya Bondi

IQNA-Baada ya mkasa wa Bondi uliouunganisha taifa katika huzuni, Waislamu wengi wa Australia wanakabiliwa na hali ya kutisha sambamba: kuongezeka kwa matusi na vitisho vinavyowalaumu kimakosa kwa shambulio hilo.
19:22 , 2025 Dec 24
Nafasi ya Istighfar katika kusamehewa dhambi na kuokolewa na moto wa jahannam

Nafasi ya Istighfar katika kusamehewa dhambi na kuokolewa na moto wa jahannam

IQNA-Istighfar, yaani kuomba msamaha kwa Allah, ni ibada yenye athari nyingi katika maisha ya Mwislamu. Lengo kuu na la moja kwa moja la mwenye kuomba msamaha ni kusamehewa dhambi zake na kupata radhi za Allah.
16:47 , 2025 Dec 23
Nahj al-Balagha pamoja na Qur’ani kuzingatiwa katika Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

Nahj al-Balagha pamoja na Qur’ani kuzingatiwa katika Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA-Nahj al-Balagha, sambamba na Qur’ani Tukufu, litakuwa kiini cha Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran.
16:36 , 2025 Dec 23
1