IQNA

Iran yatoa wito kwa jamii ya kimataifa kusitisha mauaji ya kimbari Gaza

Iran yatoa wito kwa jamii ya kimataifa kusitisha mauaji ya kimbari Gaza

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo harakati za jamii ya kimataifa ili kusitisha mauaji makubwa ya kimbari ya karne hii. 
23:21 , 2025 Apr 28
Waandamanaji  wanaunga mkono Palestina London wapinga Israel kuuziwa silaha

Waandamanaji  wanaunga mkono Palestina London wapinga Israel kuuziwa silaha

IQNA – Mbio za Marathon za London zilikumbwa na vurugu baada ya waandamanaji kuitaka serikali ya Uingereza kuweka vikwazo kamili vya biashara dhidi ya Israel. 
23:09 , 2025 Apr 28
Afisa Al Azhar: Qur'ani yashughulikia kikamilifu ukuaji na maendeleo ya binadamu

Afisa Al Azhar: Qur'ani yashughulikia kikamilifu ukuaji na maendeleo ya binadamu

IQNA – Qur'ani Tukufu inashughulikia kwa ukamilifu ukuaji na maendeleo ya binadamu, amesema afisa wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar. 
22:58 , 2025 Apr 28
Waziri Mkuu wa Malaysia ahudhuria Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani 

Waziri Mkuu wa Malaysia ahudhuria Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani 

IQNA – Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, alifungua rasmi Mashindano ya Kitaifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani kwa mwaka 1446H/2025. 
21:49 , 2025 Apr 28
Mwanakaligrafia wa Bahrain asema kuandika Qur'an kwa mkono kumeongeza hamasa kwa Kaligrafia ya Kiarabu

Mwanakaligrafia wa Bahrain asema kuandika Qur'an kwa mkono kumeongeza hamasa kwa Kaligrafia ya Kiarabu

IQNA – Mwanakaligrafia kutoka Bahrain amesema kuwa wazo lake la kuandika Qur'ani kwa mkono limeongeza idadi ya watu wanaovutiwa na sanaa ya kaligrafia ya Kiarabu.
17:57 , 2025 Apr 27
Iran iko tayari kuimarisha mahusiano na Afrika katika nyanja zote

Iran iko tayari kuimarisha mahusiano na Afrika katika nyanja zote

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza uwezo wa bara la Afrika na ulazima wa kuwepo ushirikiano na kwamba, IIran iko tayari kupanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika nyanja zote.
17:53 , 2025 Apr 27
Kubeba kadi za Nusuk ni wajibu katika msimu wote wa Hija

Kubeba kadi za Nusuk ni wajibu katika msimu wote wa Hija

IQNA – Utoaji wa kadi mahiri za Hija  za Nusuk, ambazo ni hati rasmi za utambulisho zinazosaidia kutofautisha mahujaji waliopata idhini na wale wasioidhinishwa, umeanza nchini Saudi Arabia.
17:50 , 2025 Apr 27
Msomi wa Kiislamu ahimiza kukuzwa 'Kanuni za Dhahabu' za Qur'ani na Sunnah

Msomi wa Kiislamu ahimiza kukuzwa 'Kanuni za Dhahabu' za Qur'ani na Sunnah

IQNA – Akitoa wito wa kuendeleza kanuni za Qur'an na Sunnah, mwanazuoni mmoja wa Kiislamu amesema kuwa Qur'an na Sunnah zinahimiza uvumilivu, amani na undugu.
17:44 , 2025 Apr 27
Watu 28 wapoteza maisha katika mkasa wa moto bandari ya Shahid Rajaee, Iran

Watu 28 wapoteza maisha katika mkasa wa moto bandari ya Shahid Rajaee, Iran

IQNA-Mkoa wa Kusini wa Hormozgan nchini Iran umetangaza siku tatu za maombolezo ya umma kufuatia mlipuko mbaya katika bandari ya Shahid Rajaee.
17:38 , 2025 Apr 27
Kiongozi Muadhamu ahimiza uenezaji wa mafundisho ya Qur'ani katika jamii

Kiongozi Muadhamu ahimiza uenezaji wa mafundisho ya Qur'ani katika jamii

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa wito wa kueneza mafundisho ya Qur'ani Tukufu katika jamii huku akipongeza juhudi za shughuli za Qur'ani zilizofanyika nchini Iran wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. 
17:34 , 2025 Apr 26
Kozi ya Kuhifadhi Qur'ani Katika Al Masjid An Nabawi, Madina

Kozi ya Kuhifadhi Qur'ani Katika Al Masjid An Nabawi, Madina

IQNA – Kozi ya kina ya mapitio kwa wanaohifadhi Quran Tukufu ilifanyika katika Msikiti wa Mtume, Al Masjid An Nabawi, huko Madina.
17:21 , 2025 Apr 26
Walowezi  Waisraeli wavunjia heshima Qur'ani wakati mashambulizi Ukingo wa Magharibi

Walowezi  Waisraeli wavunjia heshima Qur'ani wakati mashambulizi Ukingo wa Magharibi

IQNA – Walowezi wa Kizayuni Waisraeli wamevunjia heshima nakala za Qur'ani Tukufu na kuharibu mali za Wapalestina katika mfululizo wa mashambulizi karibu na al-Khalil katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi.
17:06 , 2025 Apr 26
Wairani washirki kwa njia ya intaneti duru ya kwanza ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Libya

Wairani washirki kwa njia ya intaneti duru ya kwanza ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Libya

IQNA-Wawakilishi wawili wa Iran katika mashindano ya 13 ya kimataifa ya Qur’an yaliyoendeshwa Libya walishiriki vikao vya mzunguko wa awali kupitia mtandao.
16:54 , 2025 Apr 26
Hadhi Maarufu ya Maktab ya Imam Sadiq (AS)

Hadhi Maarufu ya Maktab ya Imam Sadiq (AS)

IQNA – Watu wote, wale wanaokubaliana naye na wale wasioafikiana naye, wamekiri kwamba Imam Ja’afar Sadiq (AS) ana nafasi kubwa katika sayansi na elimu, na hakuna anayeweza kukana hili. 
19:42 , 2025 Apr 25
Msikiti mkubwa zaidi wa Ireland umefungwa kwa Muda

Msikiti mkubwa zaidi wa Ireland umefungwa kwa Muda

IQNA – Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ireland umefungwa kwa muda kufuatia mzozo wa ndani
18:59 , 2025 Apr 25
1