Habari Maalumu
IQNA – Idhaa ya Qur’ani Tukufu ya Misri, yenye makao yake Cairo, imeanza kurusha hewani usomaji wa Qur’ani kwa mtindo wa tarteel wa miaka ya 1960 wa qari...
03 Jun 2026, 17:36
IQNA – Nchi kadhaa za Kiislamu zimelaani vikali kuvamiwa kwa viwanja vya Msikiti wa Al‑Aqsa na walowezi wa Kizayuni wa Israel katika Al‑Quds (Jerusalem)...
03 Jun 2026, 17:27
IQNA – Mkuu wa kamati ya maandalizi ya Toleo la 42 na 43 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangazwa.
02 Jun 2026, 13:36
IQNA – Chuo cha Kimataifa cha Al-Azhar nchini Misri kiliandaa programu ya ziara ya maimamu, wahubiri na walinganiaji wageni kutembelea vivutio vya kihistoria...
02 Jun 2026, 13:32
IQNA – Wakiwa na mizigo mikononi mwao lakini nyoyo zao zikiwa bado zimejaa athari za ibada za Hija, mahujaji waliokuwa wakiondoka walikabidhiwa kila mmoja...
02 Jun 2026, 13:26
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vila Cahón huko São Paulo, nchini Brazil, kina nafasi kubwa zaidi ya kuwa taasisi ya kidini pekee.
02 Jun 2026, 13:19
IQNA – Raundi ya fainali ya Mashindano ya Qur’ani yanayorushwa mubashara kupitia televisheni, “Inna lil-Muttaqina Mafaza” (Hakika kwa wachamungu ipo mafanikio/maokoleo),...
01 Jun 2026, 15:22
IQNA – Kwa kuanzisha akademia ya Qur’ani, madada wawili mjini Pristina, mji mkuu wa Kosovo, wameweza kuwafundisha mamia ya watoto namna ya kusoma na kuhifadhi...
01 Jun 2026, 15:14
IQNA – Kwa lengo la kuizidisha safari ya kiroho ya mamilioni ya wanaouzuru Msikiti wa Mtume au Al Masjid An Nabawi huko Madina Al-Munawwara, umeanzishwa...
01 Jun 2026, 15:07
IQNA – Idara ya Mfawidhi au Msimamizi wa wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, Jumapili imetangaza kuanza kwa shughuli za Wiki ya 15 ya Kimataifa...
01 Jun 2026, 14:49
IQNA – Wengi wanaamini kuwa kurekodiwa kwa Surat Yusuf kulikuwa mgeuko wa kweli katika maisha ya Sheikh al-Sayyid Saeed, na mafanikio hayo makubwa yakamfanya...
31 May 2026, 21:55
IQNA – Sheikh Hajj Muhannad Tayeb, msomi mashuhuri na mfasiri wa Qur’ani Tukufu nchini Algeria, amerejea kwa Mola wake siku ya Jumamosi.
31 May 2026, 21:47
IQNA – Video iliyosambazwa mtandaoni ikimuonesha Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan, akisoma aya za Qur’ani Tukufu ndani ya Msikiti wa Aya Sofya mjini...
31 May 2026, 21:37
IQNA – Katika vituo vya kuondokea abiria vya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mfalme Abdulaziz uliopo Jeddah, kuna jitihada tulivu na yenye baraka zinazoendelea.
31 May 2026, 21:22
IQNA – Ujumbe kutoka Astan (uongozi wa uangalizi/uhudumiaji) wa haram tukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf nchini Iraq umekabidhi bendera za Ghadir kwa haram...
30 May 2026, 15:47
IQNA – Wizara ya Awqaf (Wakfu) ya Misri imeuhuisha na kuuenzi ukumbusho wa qari marehemu wa Qur’ani Tukufu, Sheikh Sayyid Abdul Shafi Hilal, katika maadhimisho...
30 May 2026, 16:03