IQNA

Ashura imebadilika kutoka tukio la Kihistoria na Kuwa Dhihirisho la Kistaarabu: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa harakati ya Imam Hussein (AS) si tukio la kihistoria na kidini tu, bali ni madrasa ya maisha na nyaraka...

Misikiti: Vituo vya Elimu ya Qur’an nchini Brazil

IQNA – Kupokea vijana Waislamu na kuwapatia programu za kidini na Qur’ani huifanya misikiti nchini Brazil kuimarisha hali yao ya kiroho, huku pia ikilea...

Msikiti ulioko Ufaransa wafungwa, wakili aonya hatari kwa uhuru wa dini

IQNA – Wakili anayewakilisha msikiti mmoja nchini Ufaransa amekosoa vikali uamuzi wa kuufunga kwa miezi sita, akisema hatua hiyo ni pigo kwa uhuru wa dini...

Vijana wasomaji Qur’an washindania nafasi za juu katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’an Makka

IQNA – Kumbi za mashindano jijini Makka zilisikika zikirindima kwa sauti za kuvutia za usomaji wa aya tukufu za Qur’an siku ya Jumamosi, huku washiriki...
Habari Maalumu
Ripoti: Waislamu 25 wauawa katika uhalifu wa Chuki Dhidi ya Uislamu India katika miezi 3

Ripoti: Waislamu 25 wauawa katika uhalifu wa Chuki Dhidi ya Uislamu India katika miezi 3

IQNA – Waislamu ishirini na tano waliuawa nchini India kati ya Mei na Julai 2026, ambapo vifo 15 vilihusishwa na wahusika wa dola na vifo 10 na wahusika...
08 Aug 2026, 17:41
Maelfu ya Mazuwar wanufaika na Vituo vya Qur’ani wakati wa Arbaeen nchini Iraq

Maelfu ya Mazuwar wanufaika na Vituo vya Qur’ani wakati wa Arbaeen nchini Iraq

IQNA – Kituo cha Dar-ol-Quran cha Atabat au Mfawidhi wa haram takatifu ya Imam Hussein (AS) kimekamilisha mradi wa vituo vya Qur’ani kwa ajili ya matembezi...
08 Aug 2026, 17:36
Kongamano la 10 la Kimataifa la Arbaeen lafanyika Karbala

Kongamano la 10 la Kimataifa la Arbaeen lafanyika Karbala

IQNA – Toleo la 10 la Kongamano la Kimataifa la Kitaalamu kuhusu Ziyara ya Arbaeen limeandaliwa katika Haram takatifu ya Imam Hussein (AS) iliyoko mjini...
08 Aug 2026, 17:28
Kauli ya afisa wa Yemen kufuatia Mkataba wa Ulinzi wa Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan

Kauli ya afisa wa Yemen kufuatia Mkataba wa Ulinzi wa Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan

IQNA – Mwenyekiti wa Baraza la Juu la Kisiasa la Yemen amerejelea mkataba wa ulinzi wa pamoja kati ya Pakistan, Uturuki, na Saudi Arabia, akisema kuwa...
08 Aug 2026, 17:14
Mshukiwa wa kitendo cha kuchoma Msikiti mjini Philadelphia afunguliwa mashtaka

Mshukiwa wa kitendo cha kuchoma Msikiti mjini Philadelphia afunguliwa mashtaka

IQNA – Moto ulikuwa haujazimika vyema katika Jumuiya ya Kiislamu ya Al-Aqsa, iliyoko kaskazini-mashariki mwa Philadelphia, Marekani mwezi uliopita, wakati...
08 Aug 2026, 17:09
Msichana wa Iraq aihifadhi Qur’ani Tukufu katika Siku 43 Pekee

Msichana wa Iraq aihifadhi Qur’ani Tukufu katika Siku 43 Pekee

IQNA – Msichana mmoja wa shule ya upili nchini Iraq amefikia hatua ya kipekee na ya kusifiwa kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu nzima katika kipindi cha siku...
07 Aug 2026, 09:39
Vyombo vya habari vya Israel vyatoa tahadhari kuhusu ugombea wa Abdul El-Sayed Seneti Marekani

Vyombo vya habari vya Israel vyatoa tahadhari kuhusu ugombea wa Abdul El-Sayed Seneti Marekani

IQNA – Vyombo vya habari vya Israel vimeonyesha wasiwasi kufuatia ushindi wa daktari Mmisri-Mmarekani, Abdul El-Sayed, katika kura za mchujo za Chama cha...
07 Aug 2026, 09:31
Hatimaye jimbo la Texas, Marekani laidhinisha ujenzi wa msikiti

Hatimaye jimbo la Texas, Marekani laidhinisha ujenzi wa msikiti

IQNA – Baraza la Jiji la McKinney, jimboni Texas nchini Marekani, limeidhinisha kwa kauli moja mpango wa kujengwa kwa msikiti mpya uliopendekezwa na Jumuiya...
07 Aug 2026, 08:16
Mashauriano na Iraq kufanikisha  Arbaeen ya mwaka ujao yameanza

Mashauriano na Iraq kufanikisha Arbaeen ya mwaka ujao yameanza

IQNA – Iran na Iraq zimeanza mapema mashauriano na maandalizi ya ziara ya Arbaeen ya mwaka ujao, mara tu baada ya kumalizika kwa matembezi ya mwaka huu,...
07 Aug 2026, 08:13
Jordan yatoa onyo kali kuhusu hatua haramu za Israel dhidi ya Msikiti wa  Al-Aqsa

Jordan yatoa onyo kali kuhusu hatua haramu za Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Jordan imetoa onyo kali kwa washirika wake wa kimataifa kwamba utawala haramu wa Israel unaweza kuwa karibu kuchukua udhibiti kamili wa msikiti...
07 Aug 2026, 09:46
Mazishi ya Kimbari: Mashahidi 112 wazikwa katika mkusanyiko mkubwa Gaza

Mazishi ya Kimbari: Mashahidi 112 wazikwa katika mkusanyiko mkubwa Gaza

IQNA – Katika tukio la kusikitisha na la kihistoria, miili ya mashahidi 112 imezikwa katika mazishi makubwa zaidi ya halaiki kuwahi kushuhudiwa katika...
05 Aug 2026, 16:21
Mbunge: Arbaeen ni kielelezo cha ujumbe wa kudumu wa Ashura

Mbunge: Arbaeen ni kielelezo cha ujumbe wa kudumu wa Ashura

IQNA – Mbunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitiza kuwa Arbaeen inawakilisha mwendelezo wa harakati ya Ashura na uhuishaji...
05 Aug 2026, 16:13
Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika Siku ya Arbaeen

Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika Siku ya Arbaeen

IQNA – Matembezi ya Arbaeen yalifanyika mjini Karbala, ikiwemo katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS), kwa mahudhurio yenye hamasa kubwa ya wapenzi na...
05 Aug 2026, 15:48
Arbaeen: Tukio adhimu linalovuka mipaka ya ibada ya kawaida

Arbaeen: Tukio adhimu linalovuka mipaka ya ibada ya kawaida

IQNA – Matembezi ya Arbaeen si tukio la kitamaduni pekee wala ibada ya kawaida, bali ni dhihirisho la falsafa ya kina ya ustaarabu na utu inayoyaita nyoyo...
04 Aug 2026, 18:09
Wanafunzi wa Gaza Wahitimisha Kusoma Qur’ani Nzima Katika Kikao Kimoja

Wanafunzi wa Gaza Wahitimisha Kusoma Qur’ani Nzima Katika Kikao Kimoja

IQNA-Katika mwendelezo wa kuonyesha ustahimilivu na ari ya kiimani katikati ya mapambano, wanafunzi 110 wa kike wenye kuhifadhi Qur’ani huko Gaza wamefanikiwa...
04 Aug 2026, 17:47
Picha‎ - Filamu‎