Habari Maalumu
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu wa Misri amesema wawakilishi wa nchi 58 watashiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya nchi hiyo.
29 Jan 2023, 17:45
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Akademia ya Elimu, Utamaduni na Utafiti ya Iran (ACECR) imelaani vikali vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya, na kubainisha...
28 Jan 2023, 16:17
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Sherehe ilifanyika katika Mkoa wa Tokat, kaskazini mwa Uturuki, kwa ajili ya kuwapongeza wanafunzi 258 ambao wameweza kuhifadhi Qur'ani...
28 Jan 2023, 16:19
Jibu kwa jinai Israel
TEHRAN (IQNA)- Wazayuni saba waangamizwa Palestina kaskazini ya mji wa Al Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala dhalimu wa Israel.
28 Jan 2023, 15:12
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Kundi kuu la upinzani nchini Bahrain, Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, limelaani utawala unaotawala wa kifalme wa ukoo wa Al...
28 Jan 2023, 15:23
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ilitangaza uzinduzi wa usajili kwa ajili ya mashindano ya 13 ya...
28 Jan 2023, 15:28
Iran ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Baada ya kuswali Sala ya Ijumaa, wananchi kote katikaa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamejitokeza mitaani na kulaani hatua za hivi karibuni...
27 Jan 2023, 16:49
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema serikali za Magharibi zinaunga mkono kuvunjiwa heshima dini za Mwenyezi Mungu hususan Uislamu.
27 Jan 2023, 16:45
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /23
TEHRAN (IQNA) – Shahat Muhammad Anwar alikuwa mmoja wa wasomaji mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Misri ambaye alipata umaarufu katika umri mdogo kwa...
27 Jan 2023, 18:02
Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Kanada (Canada) imemteua Amira Elghawaby kama mwakilishi wa kwanza maalum wa nchi hiyo katika kupambana na chuki dhidi ya Uislamu...
27 Jan 2023, 18:22
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /18
TEHRAN (IQNA) - Mustafa Mahmoud alikuwa mtafiti wa Qur'ani Tukufu nchini Misri, aidha aliluwa daktari, mtunzi wa fasihi na mtayarishaji wa vipindi vya...
27 Jan 2023, 17:33
Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Iran amekashifu kudharauliwa kwa Qur'ani Tukufu na kusema ni dharau kwa Dini za Abrahamu (Ibrahimu )
26 Jan 2023, 21:32
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini wa Bahrain Sheikh Isa Qassim amelaani vikali kitendo cha kuchomwa moto Qur'ani Tukufu...
26 Jan 2023, 10:29
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa taarifa kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi kadhaa za Ulaya na kusisitiza...
26 Jan 2023, 10:09
Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Filamu fupi kuhusu kisa cha kweli cha mwanajeshi wa Marekani ambaye alipanga kulipua kwa bomu Kituo cha Kiislamu cha Muncienchini Marekani...
26 Jan 2023, 21:57
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wamevamia kambi ya wakimbizi wa Palestina katika mji wa Jenin na kuwauwa shahidi Wapalestina 9.
26 Jan 2023, 21:11