IQNA

Kile kilichomchochea mwandishi wa Libya kuandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Qur’ani

IQNA- Dr. Ali Muhammad Al-Salabi, mwandishi na mtafiti wa Libya, ndiye aliyeandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Manabii katika Qur’anI Tukufu.

Mashindano ya Qur’ani kufanyika kwa kumbukumbu ya dada watatu Wamisri

IQNA-Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani yatafanyika katika jimbo la Menoufia, Misri, kwa kumbukumbu ya dada watatu wadogo wa Kimasri waliopoteza...

Qari mashuhuri Sheikh Ahmed Nuaina asoma Qur’ani katika kipindi cha televisheni cha Misri

IQNA-Ahmed Ahmed Nuaina, anayejulikana kama Sheikh al-Qurra (Kiongozi wa Maqari) wa Misri, alionekana katika kipindi cha vipaji cha taifa kiitwacho Dawlet...

Maktaba ya Al-Rawdha Al-Haidriya: Hazina Tajiri kwa Watu wa Dini na Elimu

IQNA-Kiongozi wa idara ya nakala za maandiko ya Maktaba ya Al-Rawdha Al-Haidriya, iliyo ndani ya Haram ya Imam Ali (AS) nchini Iraq, amesema kuwa maktaba...
Habari Maalumu
Waislamu wa Australia wanaripoti kuongezeka chuki baada ya hujuma ya Bondi

Waislamu wa Australia wanaripoti kuongezeka chuki baada ya hujuma ya Bondi

IQNA-Baada ya mkasa wa Bondi uliouunganisha taifa katika huzuni, Waislamu wengi wa Australia wanakabiliwa na hali ya kutisha sambamba: kuongezeka kwa matusi...
24 Dec 2025, 19:22
Nafasi ya Istighfar katika kusamehewa dhambi na kuokolewa na moto wa jahannam
Istighfar katika Qur’ani Tukufu/ 6

Nafasi ya Istighfar katika kusamehewa dhambi na kuokolewa na moto wa jahannam

IQNA-Istighfar, yaani kuomba msamaha kwa Allah, ni ibada yenye athari nyingi katika maisha ya Mwislamu. Lengo kuu na la moja kwa moja la mwenye kuomba...
23 Dec 2025, 16:47
Nahj al-Balagha pamoja na Qur’ani kuzingatiwa katika Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

Nahj al-Balagha pamoja na Qur’ani kuzingatiwa katika Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA-Nahj al-Balagha, sambamba na Qur’ani Tukufu, litakuwa kiini cha Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran.
23 Dec 2025, 16:36
Wizara ya Awqaf ya Qatar yazindua awamu ya tatu ya Mpango wa Qur’ani wa“Asaneed” kwa Maimam

Wizara ya Awqaf ya Qatar yazindua awamu ya tatu ya Mpango wa Qur’ani wa“Asaneed” kwa Maimam

IQNA – Baada ya mafanikio ya awamu zilizopita, Wizara ya Awqaf ya Qatar imezindua toleo la mwaka 2025–2026 la mpango wa “Asaneed” kwa lengo la kuboresha...
23 Dec 2025, 16:27
Jinsi ya kuzungumza na watoto kuhusu maudhui ya chuki dhidi ya Uislamu

Jinsi ya kuzungumza na watoto kuhusu maudhui ya chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Kugundua kuwa mtoto wako amekutana na hotuba ya chuki dhidi ya Uislamu mtandaoni ni jambo linaloweza kutisha.
23 Dec 2025, 16:19
Msikiti wa “Fakhrul-Muslimin” (Fakhari ya Waislamu) nchini Urusi wavutia wageni

Msikiti wa “Fakhrul-Muslimin” (Fakhari ya Waislamu) nchini Urusi wavutia wageni

IQNA – Msikiti wa Fakhrul-Muslimin, maarufu kama “Fakhari ya Waislamu”, ulioko nchini Urusi, unavutia idadi kubwa ya wageni kutokana na usanifu wake wa...
23 Dec 2025, 16:05
Mwanazuoni asifu mwitikio imara ya Wayemini dhidi ya kudhalilishwa kwa Qur’ani Tukufu

Mwanazuoni asifu mwitikio imara ya Wayemini dhidi ya kudhalilishwa kwa Qur’ani Tukufu

IQNA – Mkuu wa Baraza la Maendeleo ya Utamaduni wa Qur’ani Tukufu nchini Iran, Hujjatul Islam Mohammad Qomi, amepongeza mwitikio wa nguvu wa wananchi wa...
22 Dec 2025, 16:57
Mufti Mkuu wa Uganda asifu harakati za Iran za kuimarisha umoja

Mufti Mkuu wa Uganda asifu harakati za Iran za kuimarisha umoja

IQNA- Mufti Mkuu wa Uganda, Sheikh Shaban Ramadhan Mubajje, amepongeza juhudi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuimarisha mshikamano wa Waislamu.
22 Dec 2025, 15:02
Kuvunjiwa heshima Qur’ani ni sehemu ya kuongezeka kwa uadui dhidi ya Waislamu Magharibi

Kuvunjiwa heshima Qur’ani ni sehemu ya kuongezeka kwa uadui dhidi ya Waislamu Magharibi

IQNA – Tukio la hivi karibuni la kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mkuu wa Stockholm nchini Uswidi si jambo la pekee, bali ni sehemu ya mfululizo...
22 Dec 2025, 16:46
Pushkin: Malenga wa Urusi aliyevutiwa na Qur’ani Tukufu

Pushkin: Malenga wa Urusi aliyevutiwa na Qur’ani Tukufu

IQNA – Athari ya Qur’an Tukufu haijabakia kwa washairi Waarabu na Waislamu pekee, bali imevuka mipaka na kuwagusa pia washairi na waandishi mashuhuri wa...
22 Dec 2025, 16:36
Watu wamzawadia gari hafidh wa Qur’ani Tukufu nchini Misri

Watu wamzawadia gari hafidh wa Qur’ani Tukufu nchini Misri

IQNA- Wakazi wa kijiji cha Tabloha, jimbo la Menoufia, wamemzawadia gari kijana mwenye ulemavu wa machi Misri, Abdul Rahman Mahdi, baada ya kushinda nafasi...
22 Dec 2025, 16:22
Israel yalaaniwa baada ya kushambulia sherehe ya harusi Gaza

Israel yalaaniwa baada ya kushambulia sherehe ya harusi Gaza

IQNA- Utawala haramu wa Israel unaendelea kulaaniwa vikali  baada ya kushambulia kikatili sherehe ya harusi Gaza huku shirika mashuhuri la haki za kiraia...
21 Dec 2025, 21:07
Saudi Arabia Yazindua Mashindano ya 27 ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Saudi Arabia Yazindua Mashindano ya 27 ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA-Mashindano ya 27 ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu yameanza nchini Saudi Arabia.
21 Dec 2025, 21:03
Wanafunzi Warejea Chuo Kikuu cha Kiislamu Gaza Kilichoharibiwa Baada ya Miaka Miwili

Wanafunzi Warejea Chuo Kikuu cha Kiislamu Gaza Kilichoharibiwa Baada ya Miaka Miwili

IQNA-Wakipita njia zilizozungukwa na majengo yaliyoharibiwa na vifusi, wanafunzi Wapalestina wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Gaza wiki hii wamerudi darasani...
21 Dec 2025, 21:00
“Dawlat al-Tilawa” Yasifu Huduma za Qur’an za Marehemu Qari Sheikh Mustafa Ismail

“Dawlat al-Tilawa” Yasifu Huduma za Qur’an za Marehemu Qari Sheikh Mustafa Ismail

IQNA--Katika kipindi cha wiki hii cha televisheni ya Qur’an nchini Misri, Dawlat al-Tilawa, sehemu maalum ilitengwa kumuenzi marehemu Qari mashuhuri Sheikh...
21 Dec 2025, 20:56
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Bangladesh: Qari wa Iran Ashika Nafasi ya Pili

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Bangladesh: Qari wa Iran Ashika Nafasi ya Pili

IQNA-Wawakilishi wa Iran walikuwa miongoni mwa washindi wakuu katika mashindano ya nne ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu yaliyofanyika Bangladesh.
21 Dec 2025, 20:53
Picha‎ - Filamu‎