IQNA

Hafla ya Kumuaga Kiongozi Shahidi yapangwa kufanyika Tehran

IQNA – Msafara wa mazishi ya Kiongoz Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei utafanyika mjini Tehran siku ya Jumamosi na Jumapili.

Rais wa Zamani wa Nigeria apongeza Tafsiri ya Qur’ani kwa lugha ya Nupe

IQNA – Rais wa zamani wa Nigeria, Ibrahim Badamasi Babangida, amepongeza kazi ya tarjuma na tafsiri ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Nupe, akiieleza kuwa...

Usajili wa Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran

IQNA – Muda wa usajili kwa wanaharakati na watumishi wa Qur’ani wanaotaka kushiriki katika Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran wa mwaka 2026 umeongezwa...

Jeshi la Iran la IRGC lashambulia vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeendesha oparesheni kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni)...
Habari Maalumu
Nida ya “Ya Hussein” Yatanda katika Msafara wa Tuwairij Mjini Karbala

Nida ya “Ya Hussein” Yatanda katika Msafara wa Tuwairij Mjini Karbala

IQNA – Mamilioni ya waombolezaji mjini Karbala wameshiriki adhuhuri ya Ijumaa ya Ashura katika msafara mkubwa na wa kihistoria wa Rakdhat Tuwairij.
27 Jun 2026, 15:45
Mtafiti wa Kishia akamatwa Bahrain baada ya kuandika kuhusu Ashura

Mtafiti wa Kishia akamatwa Bahrain baada ya kuandika kuhusu Ashura

IQNA – Ukiendelea na mnyororo wake wa kimfumo wa kuzuia uhuru wa maoni na kukandamiza wataalamu na watendaji wa kiraia, ufalme wa kiimla wa Bahrain umemkamata...
27 Jun 2026, 15:21
Hafla ya Kisomo cha Qur’ani Tukufu ya Ashura yafanyika Karbala

Hafla ya Kisomo cha Qur’ani Tukufu ya Ashura yafanyika Karbala

IQNA – Hafla ya kisomo cha Qur’ani Tukufu imefanyika siku ya Ashura katika mji mtukufu wa Karbala.
27 Jun 2026, 15:15
Idadi Kubwa ya Mazuwaru wafurika Haram Takatifu ya Karbala kwa maombolezo ya Ashura

Idadi Kubwa ya Mazuwaru wafurika Haram Takatifu ya Karbala kwa maombolezo ya Ashura

IQNA – Haram takatifu ya Imam Hussein (AS) katika mji wa Karbala nchini Iraq ilijaa mazuwaru usiku wa kuamkia Ashura, ambao uliangukia usiku wa Alhamisi...
26 Jun 2026, 18:52
Bendera za Ashura zapeperushwa katika kote Ulaya

Bendera za Ashura zapeperushwa katika kote Ulaya

IQNA – Maelfu ya Waislamu wa Kishia na wapenzi wa Ahlul-Bayt (AS) katika miji mbalimbali ya Ulaya waliinua bendera za maombolezo ya Muharram na kupaza...
26 Jun 2026, 18:48
Majlisi za Maombolezo ya Ashura zafanyika kwenye kaburi la Shahidi Nasrallah

Majlisi za Maombolezo ya Ashura zafanyika kwenye kaburi la Shahidi Nasrallah

IQNA – Hafla ya maombolezo ya Ashura iliandaliwa siku ya Ijumaa kwenye kaburi la shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, aliyekuwa Katibu Mkuu wa harakati ya...
26 Jun 2026, 18:43
Jumuiya ya Qur'ani ya Iran Yaandaa Khitma ya Qur’ani Katika Maadhimisho ya Ashura

Jumuiya ya Qur'ani ya Iran Yaandaa Khitma ya Qur’ani Katika Maadhimisho ya Ashura

IQNA – Kwa mnasaba wa kuwasili kwa siku za Tasua na Ashura, yaani tarehe ya tisa na ya kumi ya mwezi wa Muharram, Jumuiya ya Qur'ani nchini Iran iliendesha...
26 Jun 2026, 18:36
Malengo matukufu ya Imam Hussein (AS) yalivuka mipaka ya zama

Malengo matukufu ya Imam Hussein (AS) yalivuka mipaka ya zama

IQNA – Mwamko wa Imam Hussein (AS) haukuwa uasi wa kimageuzi uliotokea na kuishia katika kurasa za historia; bali ulikuwa ni mkondo wa kifikra wenye malengo...
25 Jun 2026, 12:50
Sheikh Qassim:  Utawala wa Israel umegonga mwamba vitani Lebanon

Sheikh Qassim: Utawala wa Israel umegonga mwamba vitani Lebanon

IQNA0-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, ameashiria "kugonga mwamba wa mradi wa Israel," na kusisitiza kwamba, utawala huu hautaweza...
25 Jun 2026, 10:56
Qalibaf: Mkataba wa Islamabad ni tangazo la kushindwa Marekani

Qalibaf: Mkataba wa Islamabad ni tangazo la kushindwa Marekani

IQNA-Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Mkataba wa Maelewano (MoU) wa kumaliza vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa...
24 Jun 2026, 14:59
Akiwa Pakistan, Rais wa Iran atoa wito wa ushirikiano miongoni mwa nchi za Kiislamu

Akiwa Pakistan, Rais wa Iran atoa wito wa ushirikiano miongoni mwa nchi za Kiislamu

IQNA-Rais wa Iran ametoa wito wa ushirikiano wa karibu zaidi miongoni mwa nchi za Kiislamu, akisema Iran imenyoosha “mkono wa urafiki” kwa nchi za kanda...
24 Jun 2026, 14:55
Mamilioni ya Wairani washiriki Tasu'a ya Imam Hussein (AS)

Mamilioni ya Wairani washiriki Tasu'a ya Imam Hussein (AS)

IQNA-Wairani katika mji mkuu Tehran, majiji, miji na vijiji vyote nchini usiku wa kuamkia leo walikusanyika misikitini na katika vituo vya kidini na barabarani...
24 Jun 2026, 14:07
Maombolezo ya Muharram katika miji na majiji 400 nchini Niger na Nigeria

Maombolezo ya Muharram katika miji na majiji 400 nchini Niger na Nigeria

IQNA – Tangu kuanza kwa mwezi mtukufu wa Muharram wiki iliyopita, Waislamu wa madhehebu ya Shia wameandaa majlisi na shughuli za maombolezo kukumbuka kuuawa...
23 Jun 2026, 15:09
Mashhad inatarajiwa kupokea Milioni 15 kwa ajili ya mazishi ya Kiongozi Shahidi

Mashhad inatarajiwa kupokea Milioni 15 kwa ajili ya mazishi ya Kiongozi Shahidi

IQNA – Gavana wa mji mtakatifu wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran amesisitiza utayari kamili wa mji huo katika kuandaa shughuli za mazishi ya Kiongozi...
23 Jun 2026, 15:00
Mwigizaji mkongwe wa marekani, Giancarlo Esposito, asilimu

Mwigizaji mkongwe wa marekani, Giancarlo Esposito, asilimu

IQNA – Mwigizaji maarufu wa Hollywood, Giancarlo Esposito, amethibitisha kuingia kwake katika dini ya Kiislamu baada ya kutamka Shahada, nguzo kuu ya imani...
23 Jun 2026, 14:18
Kamera 2,000 za usalama zatazama shughuli za maombolezo Karbala

Kamera 2,000 za usalama zatazama shughuli za maombolezo Karbala

IQNA – Katika jitihada za kuimarisha usalama na kuhakikisha utulivu wakati wa siku tukufu za Tasua na Ashura katika mji mtakatifu wa Karbala, nchini Iraq,...
23 Jun 2026, 14:14
Picha‎ - Filamu‎