IQNA

Waziri wa Elimu wa Misri asisitiza kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule za msingi

IQNA – Waziri wa Elimu wa Misri amesisitiza umuhimu wa kujenga uhusiano imara kati ya wanafunzi na Qur’ani tangu miaka ya mwanzo ya elimu.

Pogba, nyota wa soka wa Ufaransa aonyesha mshikamano na Gaza

IQNA – Paul Pogba, nyota wa soka wa Ufaransa, ameonyesha mshikamano na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, wanaokabiliwa na mauaj ya kimbari ya Israel, kwa...

Misri kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya usomaji wa Qur’ani

IQNA – Siku ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani itaadhimishwa baadaye mwezi huu chini ya usimamizi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri.

Upanuzi wa Programu ya Kuhifadhi Qur’ani katika ajenda ya Malaysia

IQNA – Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini Malaysia amesema kuwa programu ya kuhifadhi Qur’ani katika shule za chekechea chini ya Idara ya Maendeleo ya...
Habari Maalumu
Wageni wa Makkah Waalikwa Kutembelea Maonyesho ya Msikiti Mkuu (Masjid al-Haram)

Wageni wa Makkah Waalikwa Kutembelea Maonyesho ya Msikiti Mkuu (Masjid al-Haram)

IQNA – Wageni wanaozuru mji mtukufu wa Makkah wamealikwa kutembelea maonyesho yanayoangazia huduma na uangalizi unaotolewa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah...
18 Aug 2026, 15:45
Mashindano ya Qur’an ya Mtume Mtukufu (SAW) kwa wanafunzi wa kike yafunguliwa Sana’a

Mashindano ya Qur’an ya Mtume Mtukufu (SAW) kwa wanafunzi wa kike yafunguliwa Sana’a

IQNA – Mashindano ya Qur'ani ya kila mwaka ya “Al-Rasoul Al-Aazam” (Mtume Mtukufu SAW) yamefunguliwa katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a, siku ya Jumapili...
17 Aug 2026, 18:23
Hotuba za Kihistoria za Maimamu wakuu wa Al-Azhar zitapeperushwa kupitia Idhaa ya Qur’an ya Misri

Hotuba za Kihistoria za Maimamu wakuu wa Al-Azhar zitapeperushwa kupitia Idhaa ya Qur’an ya Misri

IQNA – Shirika la Kitaifa la Vyombo vya Habari la Misri limetangaza kuzinduliwa kwa kipindi kipya chenye kichwa cha habari “Imam Mkuu”, kilichotengwa mahususi...
17 Aug 2026, 18:18
Idadi kubwa zaidi ya wageni kwa siku moja imerekodiwa katika Kituo cha Uchapishaji wa Qur’an cha Madina

Idadi kubwa zaidi ya wageni kwa siku moja imerekodiwa katika Kituo cha Uchapishaji wa Qur’an cha Madina

IQNA – Zaidi ya watu 10,000 wametembelea Kituo cha Uchapishaji wa Qur’an Tukufu cha Mfalme Fahd kilichopo Madina wiki iliyopita.
17 Aug 2026, 18:24
Wizara ya Awqaf ya Palestina yaandaa Mashindano ya 25 ya Qur’an ya Al-Aqsa

Wizara ya Awqaf ya Palestina yaandaa Mashindano ya 25 ya Qur’an ya Al-Aqsa

IQNA – Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kidini ya Palestina imetangaza kuwa Mashindano ya 25 ya Kuhifadhi na Tafsiri ya Qur’an ya Al-Aqsa yatafanyika kwa...
17 Aug 2026, 18:11
Baraza la Kimataifa la Qur’an laanzishwa mjini Istanbul, Uturuki

Baraza la Kimataifa la Qur’an laanzishwa mjini Istanbul, Uturuki

IQNA – Maafisa wa Maonyesho ya 11 ya Kimataifa ya Vitabu ya Istanbul wametangaza kuanzishwa kwa “Baraza la Kimataifa la Qur’an” (World Quran Assembly)...
17 Aug 2026, 18:03
Mwanazuoni wa Iran atoa wito wa Akili Mnemba (AI) kuwa chachu ya mageuzi katika taaluma za Qur’ani

Mwanazuoni wa Iran atoa wito wa Akili Mnemba (AI) kuwa chachu ya mageuzi katika taaluma za Qur’ani

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran ametoa wito wa kuitumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) siyo kama nyenzo ya kusaidia pekee, bali...
16 Aug 2026, 17:01
Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Makka wapata zawadi za fedha

Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Makka wapata zawadi za fedha

IQNA – Washindi na washiriki katika mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz, yaliyofikia tamati Makka mapema wiki hii, wametunukiwa...
16 Aug 2026, 16:55
Norway: Mazungumzo ya Kidini Kujadili Utambulisho, Ubaguzi na Chuki dhidi ya Waislamu

Norway: Mazungumzo ya Kidini Kujadili Utambulisho, Ubaguzi na Chuki dhidi ya Waislamu

IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway ulishiriki katika “Arendalsuka,” ambayo ni jukwaa la kila mwaka la mijadala ya umma nchini Norway....
16 Aug 2026, 16:49
Kambi ya Qur’ani yaandaliwa katika kisiwa cha Mahibadhoo, Maldives

Kambi ya Qur’ani yaandaliwa katika kisiwa cha Mahibadhoo, Maldives

IQNA – Kambi inayojumuisha mashindano matatu ya usomaji wa Qur’ani (Tilawa), warsha za ufundishaji, na hafla maalum ya watoto imepangwa kufanyika huko...
16 Aug 2026, 16:33
Waislamu nchini Uingereza wahimizwa kusali Swala ya Istisqa (Swala ya kuomba mvua)

Waislamu nchini Uingereza wahimizwa kusali Swala ya Istisqa (Swala ya kuomba mvua)

IQNA – Katikati ya ukame usio wa kawaida na uhaba mkali wa maji unaotishia sekta ya kilimo na mazingira, wanazuoni wa Kiislamu nchini Uingereza wametoa...
16 Aug 2026, 16:28
Maandamano Marib, Yemen kulaani matusi ya Kizayuni-Mmarekani dhidi ya Qur’ani Tukufu

Maandamano Marib, Yemen kulaani matusi ya Kizayuni-Mmarekani dhidi ya Qur’ani Tukufu

IQNA – Wananchi katika mkoa wa Marib nchini Yemen wamefanya maandamano na matukio ya kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani katika nchi za Magharibi.
15 Aug 2026, 21:05
Ni saa zipi zenye utulivu zaidi katika Msikiti Mtukufu wa Makka?

Ni saa zipi zenye utulivu zaidi katika Msikiti Mtukufu wa Makka?

IQNA – Mahujaji wa Umra wanashauriwa kupanga ziara zao katika Msikiti Mtukufu wa Makka (Masjid al Haram) wakati wa vipindi vyenye msongamano mdogo.
15 Aug 2026, 20:46
Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ nchini Algeria: Miaka 24 ya Kujenga Kizazi cha Haki

Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ nchini Algeria: Miaka 24 ya Kujenga Kizazi cha Haki

IQNA – Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ iliyoko katika mkoa wa Hama Bouziane, jimbo la Constantine nchini Algeria, imejitolea kwa miaka 24 kufundisha na kuwezesha...
15 Aug 2026, 20:33
Wimbi la matusi na chuki dhidi ya mteule Muislamu wa Seneti saa chache baada ya ushindi wa awali

Wimbi la matusi na chuki dhidi ya mteule Muislamu wa Seneti saa chache baada ya ushindi wa awali

IQNA – Saa chache tu baada ya ushindi wa Abdul El-Sayed katika uchaguzi wa awali wa Seneti wa chama cha Democratic huko Michigan, matusi na chuki mtandaoni...
15 Aug 2026, 12:52
Siku ya Wazi ya Msikiti nchini Australia inalenga kukuza majadiliano na maelewano ya Kijamii

Siku ya Wazi ya Msikiti nchini Australia inalenga kukuza majadiliano na maelewano ya Kijamii

IQNA – Msikiti wa Minto (Masjidur Rahman Al-Jami’ee) uliopo New South Wales, Australia, imeandaa hafla maalum ya “Siku ya Wazi” siku ya Jumamosi, Agosti...
15 Aug 2026, 12:43
Picha‎ - Filamu‎