IQNA

Istighfar Katika Qur’an Tukufu / 5

Jinsi Istighfar Inavyoathiri Maisha ya Duniani

IQNA – Kuamini athari ya kiroho katika maisha hakumaanishi kupuuza nafasi ya sababu za kimaada, bali kunamaanisha kuwa sambamba na mambo ya kimaada, yapo...

Vitu binafsi vya marehemu Qari Abdul Basit vimewekwa katika Makumbusho ya Maqari wa Qur’an nchini Misri

IQNA – Mkusanyiko wa vitu binafsi vya qari maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad ni miongoni mwa maonyesho katika Jumba la Makumbusho ya Maqari wa Qur’an...

Nakala 20,000 za Tafsiri ya Qur’ani kwa Kitamil zachapishwa nchini Malaysia

IQNA – Malaysia imeanza kuchapisha nakala 20,000 za Qur’an Tukufu zikiwa na tarjuma ya Kitamil.

Filamu ya Akili Mnemba (AI) Yaeleza Maisha ya Qari Abdul Basit

IQNA – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu nchini Misri limezindua filamu fupi inayoelezea maisha ya marehemu qari Abdul Basit Abdulsamad, kwa kutumia teknolojia...
Habari Maalumu
Usajili wa Mashindano ya Qur’an Nchini Misri Waaanza

Usajili wa Mashindano ya Qur’an Nchini Misri Waaanza

Mashindano haya yatafanyika katika kipengele cha kuhifadhi Qur’an kwa wanafunzi wa kiume na wa kike kutoka vituo vya mafunzo ya kuhifadhi Qur’an kote Misri.
20 Dec 2025, 14:07
Wayamani walaani kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu Marekani

Wayamani walaani kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu Marekani

IQNA – Mashirika na taasisi mbalimbali za Kiyemeni yamelaani kitendo cha hivi karibuni cha kudhalilisha Qur’an Tukufu nchini Marekani, na yameunga mkono...
19 Dec 2025, 15:28
Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’an yaanza Oman

Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’an yaanza Oman

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’an yenye kauli mbiu “Fa Istamasik: Shikamana na Qur’an” yameanza rasmi nchini Oman.
19 Dec 2025, 15:15
Uwanja wa Bibi Zahra (SA) katika Haram ya Imam Ali (AS), upanuzi mkubwa zaidi wa eneo takatifu la Kiislamu

Uwanja wa Bibi Zahra (SA) katika Haram ya Imam Ali (AS), upanuzi mkubwa zaidi wa eneo takatifu la Kiislamu

IQNA – Eneo  mpya katika Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, ambalo linatambuliwa  kwa ukubwa wake wa kipekee na sifa bainifu za usanifu wa Kiislamu,...
19 Dec 2025, 15:09
‘Mchakato Uliojaa Kasoro’: Jumuiya ya Waislamu yapinga marufuku ya Hijabu Ubelgiji

‘Mchakato Uliojaa Kasoro’: Jumuiya ya Waislamu yapinga marufuku ya Hijabu Ubelgiji

IQNA – Jumuiya mashuhuri ya Waislamu nchini Ubelgiji imetangaza kuwa itawasilisha rufaa katika Baraza la Nchi (Council of State), mahakama ya juu kabisa...
19 Dec 2025, 14:37
Hizbullah yalaani vikali kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Marekani

Hizbullah yalaani vikali kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Marekani

IQNA – Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani kwa kauli kali na nzito kitendo cha hivi karibuni cha kudhalilishwa kwa Qur'ani...
19 Dec 2025, 14:24
Rais Pezeshkian ahutubia Duru ya Kwanza ya Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini

Rais Pezeshkian ahutubia Duru ya Kwanza ya Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu, Imam Rouhullah Khomeini (MA) alikuwa mjumbe wa umoja na mshikamano miongoni...
18 Dec 2025, 22:27
Iran Kuandaa Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Mwaka Ujao

Iran Kuandaa Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Mwaka Ujao

IQNA – Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu kwa Wanafunzi wa Shule kutoka ulimwengu wa Kiislamu yanatarajiwa kufanyika nchini Iran mwanzoni mwa...
18 Dec 2025, 14:56
Shule ya Qur’ani yafunguliwa Gaza kwa msaada wa wananchi wa Iran

Shule ya Qur’ani yafunguliwa Gaza kwa msaada wa wananchi wa Iran

IQNA – Shule mpya ya Qur’ani imefunguliwa mjini Gaza kwa mchango wa kampeni ya wananchi wa Iran inayojulikana kama “Iran Hamdel” kwa ushirikiano na Taasisi...
17 Dec 2025, 17:41
Misri yazindua Jumba la Maqari wa Qur’ani Tukufu

Misri yazindua Jumba la Maqari wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Jumba la kwanza kabisa la Maqari wa Qur’ani limefunguliwa katika Kituo cha Utamaduni na Uislamu cha Misri kilichopo katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala...
17 Dec 2025, 17:00
Dereva Mwislamu wa Uber akabiliwa na tishio la kisu Montreal, Kanada

Dereva Mwislamu wa Uber akabiliwa na tishio la kisu Montreal, Kanada

IQNA – Dereva mmoja Mwislamu wa Uber mjini Montreal amenusurika madhara makubwa baada ya abiria kudaiwa kumtishia kwa kisu, tukio ambalo Baraza la Kitaifa...
17 Dec 2025, 17:35
Netanyahu na balozi wa Marekani waingia kwa nguvu Msikiti wa Al-Aqsa, wakemewa vikali

Netanyahu na balozi wa Marekani waingia kwa nguvu Msikiti wa Al-Aqsa, wakemewa vikali

IQNA – Viongozi wa Palestina wamelaani vikali hatua ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuingia kwa nguvu katika katika eneo la Msikiti wa Al‑Aqsa...
17 Dec 2025, 17:08
Uwanja wa Bibi Fatima Zahra (SA) katika Haram ya Imam Ali (AS) wazinduliwa

Uwanja wa Bibi Fatima Zahra (SA) katika Haram ya Imam Ali (AS) wazinduliwa

IQNA – Baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Hazrat Zahra (SA) katika haram ya Imam Ali (AS), uwanja huo unazinduliwa leo.
17 Dec 2025, 16:55
Athari za Istighfar Katika Maisha ya Dunia na Akhera
Istighfar katika Qur’ani Tukufu /4

Athari za Istighfar Katika Maisha ya Dunia na Akhera

IQNA – Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) ni jambo lililo na athari nyingi katika maisha ya mwanadamu; katika dunia hii na katika Akhera.
16 Dec 2025, 16:04
Wachambuzi wamtuhumu Netanyahu kwa kupotosha  tukio la Sydney

Wachambuzi wamtuhumu Netanyahu kwa kupotosha tukio la Sydney

IQNA – Shambulio la kigaidi Sydney lililosababisha vifo na majeruhi limezua mijadala mikubwa ya kisiasa na kimtandao, ikiwemo hoja kuhusu namna tukio hili...
16 Dec 2025, 15:53
Picha‎ - Filamu‎