iqna

IQNA

uholanzi
Waislamu Ulaya
IQNA - Mwigizaji wa Uholanzi Donnie Roelvink amesilimu siku ya Ijumaa, Aprili 19, kwa kutamka Shahadah.
Habari ID: 3478714    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/22

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
IQNA - Waislamu wa Uholanzi wamesambaza nakala za Qur’ani Tukufu zenye tafsiri ya Kiholanzi ili kujibu la jaribio la mrengo mkali wa kulia la kuchoma kitabu kitakatifu cha Waislamu mwezi uliopita.
Habari ID: 3478342    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/12

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Meya wa mji wa Arnhem nchini Uholanzi Ahmed Marcouch aliwataka wanasiasa wa kitaifa kuharamisha vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu, huku akisema vitendo hivyo ni "vya sumu vinavyowakera wengine".
Habari ID: 3478255    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/26

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Polisi wameshambulia waandamanaji waliokuwa wanapinga mpango wa kuteketeza moto nakala ya Qur’ani Tukufu, mpango ambao ulikuwau umepangwa na mkuu wa vuguvugu la kupinga Uislamu la PEGIDA, Edwin Wagensveld, katika mji wa Arnhem nchini Uholanzi.
Habari ID: 3478195    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/14

Chuki dhidi ya Uislamu
AMSTERDAM (IQNA) –Rais wa taasisi kuu ya Kiislamu Uholanzi anasema chuki dhidi ya Uislamu inaweza kuonekana katika taasisi zote za serikali nchini humo.
Habari ID: 3477642    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/23

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Uholanzi wamefanya maandamano makubwa kulaani vitendo vya mara kwa mara vya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu nchini Uswidi na Denmark.
Habari ID: 3477502    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/27

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa taarifa kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi kadhaa za Ulaya na kusisitiza kuwa: "Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu kiwendawazimu chini ya nara ya 'uhuru wa maoni' ni ishara kuwa uistikbari unalenga Uislamu na Qur'ani Tukufu."
Habari ID: 3476465    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26

Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetoa wito wa kususia bidhaa za Uswidi na Uholanzi ili kukabiliana vitendo viovu vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika mataifa hayo ya Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476461    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Baada ya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu nchini Uswidi mwishoni mwa juma, kulikuwa na kitendo kingine cha kufuru kilichotekelezwa na mmoja wa vinara wa harakati za chuki dhidi ya Uislamu Ulaya, wakati huu nchini Uholanzi.
Habari ID: 3476456    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Waislamu nchini Uholanzi imezindua makaburi makubwa zaidi ya Waislamu wa Ulaya Magharibi nchini Uholanzi.
Habari ID: 3476400    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Kuarifisha Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya watu 1,000 wasio Waislamu walitembelea Msikiti wa Fatih huko Amsterdam, Uholanzi, baada ya msikiti huo kuwafungulia milango wafuasi wa imani nyingine.
Habari ID: 3476051    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/07

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu huko Veldhoven kusini mwa Uholanzi kilishambuliwa mapema Jumamosi asubuhi katika kile kinachoonekana ni kitendo cha chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3475652    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20

Jinai dhidi ya Waislamu
Waziri wa Ulinzi wa Uholanzi Kajsa Ollongren amewaomba msamaha kwa Waislamu wa Bosnia na ameshiriki katika ibada ya kumbukumbu ya 27 ya waathirika wa mauaji ya kimbari ya Srebrenica.
Habari ID: 3475492    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12

TEHRAN (IQNA)-Twitter imeripotiwa 'kusimamisha kwa muda' akaunti ya kinara wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Uholanzi Geert Wilders kwa kukiuka sheria za jukwaa kuhusu matamshi ya chuki baada ya kushambulia Uislamu tena.
Habari ID: 3475170    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/26

TEHRAN (IQNA) – Kiungo wa kati wa zamani wa Timu ya Soka ya Uholanzi Clarence Seedorf ameikumbatia dini tukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 3475015    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06

TEHRAN (IQNA)- Baadhi ya manispaa nchini Uholanzi zinafanya upekuzi na upelelezi wa siri kinyume cha sheria katika misikiti na taasisi za Kiislamu kupitia mashirika binafsi ya upelelezi.
Habari ID: 3474434    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/17

Janga la virusi vya COVID-19
TEHRAN (IQNA)-Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unatazamiwa kuanza wiki ijayo na Wailsamu takribani milioni moja Uholanzi watajiunga na wenzao duniani katika kufunga Saumu.
Habari ID: 3473799    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10

TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja umehujumiwa katika mji wa Amsterdam nchini Uholanzi. Kwa mujibu wa taarifa gaidi aliyekuwa amevaa barakoa aliurushia mawe Msikiti wa Hagia Sophia mjini Amsterdam.
Habari ID: 3473466    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/17

TEHRAN (IQNA)- Msikiti katika mji wa Zaandam kaskazini magharibi mwa Indonesia umehujumiwa katika jinai ambayo imetajwa kuwa ya wenye chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473350    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/11

TEHRAN (IQNA) –Mamia ya watu wameshiriki katika maandamano mjini Amsterdam Uholanzi Jumapili na kutangaza kuunga mkono Wapalestina huku wakipinga mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel kupora ardhi zaidi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472865    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/15