IQNA

Maonyesho ya Vichochoro vya Bani Hashim

Kwa mnasaba wa kufa shahidi Bibi Fatima Zahra SA, kunfanyika maonyesho yaliyopewa anuani ya 'Vichochoro vya Bani Hashim' yanafanyika katika mkoa wa Qum, Iran. Tarehe tarehe 3 Mfunguo Tisa Jamad al-Thani ni kumbukumbu ya kufa shahidi Bibi Fatima al-Zahra SA, binti mtukufu wa Mtume wetu Muhammad SAW na mke wa Imam Ali bin Abi Twalib AS.