IQNA

Shindano la Wanawake katika Mashidano ya 4 ya Kimataifa ya Qur'ani

TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 4 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Wanawake yamemalizika Ijumaa mjini Tehran ambayo ilikuwa siku ya mwisho ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran.
Sambamba na la 38 la Kimataifa la Qur'ani la Iran kumefanyika shindano la 5 la kimataifa la Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho, shindano la 7 la kimataifa la Qur'ani kwa wanafunzi wa shule, na mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wanawake pia yanafanyika, kwa hakika.