IQNA

Muhammad (SAW); Mtume aliyefunza hikima kwa wasio jua

Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri. Surah Al Jumua, aya ya 2

Poster: Prophet Muhammad Bringing Wisdom to The Unlettered