Qiraa ya kipekee ya Qur'ani ya Binti wa Indonesia + Video
Kaysa Ulya Kamal ni binti kutoka Indonesia ambaye amehifadhi Qur'ani Tukufu. Yeye husoma Qur'ani tukufu huku akitoa ishara za mikono. Hapa anasema Surah al-Shams kwa mbinu hiyo.
copied
https://iqna.ir/H0EZEc