IQNA

Kazi za sanaa ya mikono zenye majina ya Fatima Zahra SA

IQNA (QUM)- Katika Haram Takatifu ya Bibi Maasouma SA katika mji wa Qum nchini Iran, kuna kazi kadhaa za mikono zenye majina ya Bibi Fatima Zahra SA, Bintiye Mtume Muhammad SAW.

Inafaa kuashiria hapa kuwa, siku kama ya leo tarehe 20 Mfunguo Tisa Jamadithani, miaka  1451 iliyopita kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Qamaria, alizaliwa Bibi Fatima Zahra SA. Siku hii huadhimishwa kama Siku ya Mama na Siku ya Mwanamke katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

 
 
Kishikizo: fatima zahra as