Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu Akagua Huduma Zinazotolewa kwa Mahujaji wa Arbaeen
IQNA – Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya Hija na Ziyara, pamoja na maafisa wengine kadhaa wa Kiirani walioko Karbala, Iraq, wamekagua huduma zinazotolewa kwa wafanyaziyara wa Arbaeen.