Mkusanyiko huo unajumuisha aina mbalimbali mazulia. Jumba la makumbusho lililoko kaskazini-magharibi mwa Bustani ya Laleh jijini Tehran, liliongezwa kwenye Orodha ya Turathi ya Kitaifa mnamo Novemba 2017.
Picha zifuatazo zimepigwa tarehe 9 Juni 2024, ambayo inaadhimisha siku ya kitaifa ya mazulia nchini Iran.