IQNA

Sherehe za Krismasi kote duniani

TEHRAN (IQNA)- Wakristo katika nchi mbali mbali duniani wamesherehekea siku ya kuzaliwa Nabi Isa Masih-Amani Ya Mwenyezi Mungi Iwe Juu Yake- ambayo ni maarufu kama siku ya Krismasi.

Kishikizo: krismasi