IQNA

Qiraa ya Qur'ani

Mtoto Msomali akisoma aya za Qur'ani kwa mvuto mkubwa

Qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qari mtoto Msomali Abdullah Hassan Hussein. Katika klipu hii anasema aya za 17 hadi 23 za Surah Insan

Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.

Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.

Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.

Na utakapo yaona, utakuwa umeona neema na ufalme mkubwa.

Juu yao zipo nguo za hariri laini za kijani kibichi, na hariri nzito ya at´ilasi. Na watavikwa vikuku vya fedha, na Mola wao Mlezi atawanywesha kinywaji safi kabisa.

Hakika haya ni malipo yenu; na juhudi zenu zimekubaliwa.

Hakika Sisi tumekuteremshia Qur´ani kidogo kidogo.

Kishikizo: qurani tukufu ، somalia