IQNA – Kundi la wanawake vijana wa Kiislamu katika Kitivo cha Tiba cha Chuo Kikuu cha Sarajevo limekuwa ishara ya muunganiko kati ya utambulisho wa kidini na ubora wa kielimu. Wamepata heshima kuu za kielimu pamoja na mafanikio bora katika kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482614 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/11
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
IQNA – Rais wa Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) ametoa rambirambi zake kwa watu wa Algeria na Ummah ya Kiislamu kufuatia kuaga dunia kwa mwanazuoni mkuu wa Qur’ani, Sheikh Mohamed Said Kaabash.
Habari ID: 3482611 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/10
IQNA – Yousef, kijana kutoka Bahira nchini Misri, amewavutia wengi kwa sauti yake ya usomaji Qur’ani Tukufu na ameendeleza kipawa chake kwa kusikiliza qiraa za maqari mashuhuri kupitia mtandao. Anaota ndoto siku moja kuwa miongoni mwa majina makubwa katika uwanja wa usomaji wa Qur’ani na kufuata nyayo za Sheikh Abdul Basit Abdul Samad.
Habari ID: 3482609 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/10
IQNA – Katika kile kinachothibitisha kuwa nuru ya Qur’ani Tukufu haina mipaka, Mahmoud Hassan Ashrafi, kijana mwenye umri wa miaka 18 kutoka Bangladesh ambaye ana ulemavu wa macho na hivyo haoni, anashiriki katika hatua ya fainali ya Mashindano ya 46 ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu huko Makka, Saudia.
Habari ID: 3482608 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/10
IQNA – Toleo la tatu la programu ya “Nyoyo Zilizoshikamana na Misikiti” (Hearts Attached to Mosques) limepangwa kuzinduliwa huko Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3482607 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/10
IQNA – Kupokea vijana Waislamu na kuwapatia programu za kidini na Qur’ani huifanya misikiti nchini Brazil kuimarisha hali yao ya kiroho, huku pia ikilea kizazi kipya kilichounganishwa na Qur’an na Sunna ya Mtume SAW.
Habari ID: 3482606 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/09
IQNA – Kumbi za mashindano jijini Makka zilisikika zikirindima kwa sauti za kuvutia za usomaji wa aya tukufu za Qur’an siku ya Jumamosi, huku washiriki 33 wa kwanza wakijitokeza mbele ya jopo la majaji.
Habari ID: 3482602 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/09
IQNA-Katika mwendelezo wa kuonyesha ustahimilivu na ari ya kiimani katikati ya mapambano, wanafunzi 110 wa kike wenye kuhifadhi Qur’ani huko Gaza wamefanikiwa kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima katika kikao kimoja cha Khatm al-Qur’an.
Habari ID: 3482585 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/04
IQNA – Waziri wa Awqaf wa Misri ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha Sheikh Saeed al-Najjar, msomaji mkongwe zaidi wa Qur’ani katika Mkoa wa Gharbia.
Habari ID: 3482584 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/04
IQNA – Taasisi ya Kijiji cha Utamaduni (Katara) nchini Qatar imefungua milango ya maombi kwa ajili ya Toleo la 10 la Tuzo ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu. Mashindano hayo ya Qur’ani yanafanyika chini ya kauli mbiu: “Kuimarisha Sauti za Usomaji Mwema”.
Habari ID: 3482583 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/04
IQNA – Akisisitiza mwitikio mzuri wa programu za Qur'ani Tukufu miongoni mwa mazuwaru wakati wa matembezi ya Arbaeen, msomaji mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran ametoa wito wa kuongezwa kwa idadi ya programu hizo.
Habari ID: 3482581 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/03
IQNA – Wasomaji na mahafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Kosovo wameibuka kuwa ujumbe uliofanya vyema zaidi katika Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Balkan yaliyofanyika mjini Skopje, mji mkuu wa Macedonia Kaskazini.
Habari ID: 3482580 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/03
IQNA-Mashindano makubwa ya kuhifadhi Quran Tukufu yameanza rasmi siku ya Jumamosi katika mkoa wa Nineveh nchini Iraq, yakishirikisha jumla ya mahafidhi elfu ishirini kutoka rika zote
Habari ID: 3482579 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/03
IQNA – Astan, yaani taasisi inayosimamia Haram tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, inaendesha programu za Qur’ani kwa ajili ya mazuwari wanawake katika msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3482573 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/02
IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesisitiza umuhimu wa Mawakib za Qur’ani,vituo vya huduma vilivyojengwa kando ya njia ya Arbaeen, katika kukidhi mahitaji ya kiroho na kiutamaduni ya mazuwar
Habari ID: 3482570 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Wanaharakati kwenye mitandao ya kijamii wamesambaza video yenye kugusa moyo ya msichana mwenye umri wa miaka 12 kutoka Gaza, ambaye kuhifadhi Qur’ani Tukufu kumekuwa kimbilio kwake.
Habari ID: 3482567 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
TEHRAN (IQNA) – Katika hafla adhimu iliyofanyika katika Ukumbi wa Hekmat, ndani ya Maktaba ya Kitaifa na Nyaraka za Iran, mnamo tarehe 29 Julai 2026, ulimwengu ulishuhudia kuzinduliwa kwa Msahafu wa Zaferani.
Habari ID: 3482564 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Kutokana na kuwasili kwa mazuwar au wafanyaziara wa Arbaeen, vipindi vya Qur’ani vya Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Imam Ridha (A.S.) vimeanza katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3482561 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Mkuu wa Makao Makuu ya Kitaifa ya Arbaeen nchini Iran amesisitiza kuwa, matembezi ya kila mwaka ya kiroho ya Arbaeen yana uwezo mkubwa usio na kifani katika kukuza na kueneza utamaduni wa Qur’ani Tukufu miongoni mwa mamilioni ya mazuwaru.
Habari ID: 3482558 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/29
IQNA – Idhaa ya Qur’ani Tukufu ya Usultani wa Oman imeadhimisha kumbukumbu ya miaka 20 tangu kuanza kurusha matangazo yake siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3482556 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/29