Istighfar katika Qur’an Tukufu / 7
IQNA – Katika aya za Qur’ani Tukufu, Istighfar (kuomba msamaha wa Mwenyezi Mungu) imeelezwa kuwa miongoni mwa masharti ya kuingia Peponi na pia ni ada ya kidunia ya watu wa Peponi.
Habari ID: 3481724 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/27
IQNA – Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Ulimwengu wa Kiislamu (ISESCO) limepokea nakala adimu ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono wa Abu al-Hasan Ali bin Hilal bin Abdul Aziz, mkaligrafia maarufu wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3481723 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/27
IQNA – Sherehe imefanyika katika Kambi ya Wakimbizi ya Al-Shati, magharibi mwa Gaza, kuadhimisha wanaume na wanawake 500 waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481722 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/27
IQNA – Takriban washiriki 170 wameingia katika hatua ya mwanzo ya mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’an Tukufu nchini Oman.
Habari ID: 3481720 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/27
Mtazamo
IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia kutoka Iraq anaamini kuwa tafiti mpya juu ya asili ya jina Buratha (mwana wa maajabu) na mawe ya ajabu ya Msikiti wa kihistoria wa Buratha huko Iraq zinaimarisha nadharia kwamba mahali pa kuzaliwa kwa Nabii Isa (Amani Iwe Juu Yake-AS-) si Beit Laham au Bethlehem, Palestina, bali Iraq.
Habari ID: 3481718 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/26
IQNA – Mwanafikra na msanii Mkristo kutoka Lebanon amesema Nabii Isa na Mtume Muhammad (rehema na amani ziwashukie) waliona jukumu lao kuwa ni kusimamisha maadili na upendo wa kimungu.
Habari ID: 3481716 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/25
IQNA – Wachezaji wa timu ya taifa ya kandanda ya Misri wamesoma aya za Qur’ani Tukufu kwa sauti ya pamoja kabla ya mechi dhidi ya Zimbabwe katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Habari ID: 3481714 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/25
IQNA- Dr. Ali Muhammad Al-Salabi, mwandishi na mtafiti wa Libya, ndiye aliyeandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Manabii katika Qur’anI Tukufu.
Habari ID: 3481712 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/24
IQNA-Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani yatafanyika katika jimbo la Menoufia, Misri, kwa kumbukumbu ya dada watatu wadogo wa Kimasri waliopoteza maisha katika ajali. Mashindano haya yamepangwa kufanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani (Februari–Machi, 2026).
Habari ID: 3481711 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/24
IQNA-Ahmed Ahmed Nuaina, anayejulikana kama Sheikh al-Qurra (Kiongozi wa Maqari) wa Misri, alionekana katika kipindi cha vipaji cha taifa kiitwacho Dawlet El Telawa.
Habari ID: 3481710 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/24
Istighfar katika Qur’ani Tukufu/ 6
IQNA-Istighfar, yaani kuomba msamaha kwa Allah, ni ibada yenye athari nyingi katika maisha ya Mwislamu. Lengo kuu na la moja kwa moja la mwenye kuomba msamaha ni kusamehewa dhambi zake na kupata radhi za Allah.
Habari ID: 3481707 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/23
IQNA-Nahj al-Balagha, sambamba na Qur’ani Tukufu, litakuwa kiini cha Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran.
Habari ID: 3481706 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/23
IQNA – Baada ya mafanikio ya awamu zilizopita, Wizara ya Awqaf ya Qatar imezindua toleo la mwaka 2025–2026 la mpango wa “Asaneed” kwa lengo la kuboresha ufasaha wa usomaji wa Qur’ani kwa maimam.
Habari ID: 3481705 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/23
IQNA – Mkuu wa Baraza la Maendeleo ya Utamaduni wa Qur’ani Tukufu nchini Iran, Hujjatul Islam Mohammad Qomi, amepongeza mwitikio wa nguvu wa wananchi wa Yemen kufuatia kitendo cha kuvunjiwa heshima kwa Qur’ani Tukufu kilichofanywa na mgombea wa Seneti nchini Marekani.
Habari ID: 3481700 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/22
IQNA – Tukio la hivi karibuni la kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mkuu wa Stockholm nchini Uswidi si jambo la pekee, bali ni sehemu ya mfululizo wa mashambulizi ya kibaguzi na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) yanayoongezeka nchini Uswidi (Sweden) na maeneo mengine ya Magharibi.
Habari ID: 3481699 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/22
IQNA – Athari ya Qur’an Tukufu haijabakia kwa washairi Waarabu na Waislamu pekee, bali imevuka mipaka na kuwagusa pia washairi na waandishi mashuhuri wa tamaduni nyingine.
Habari ID: 3481698 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/22
Istighfar Katika Qur’an Tukufu / 5
IQNA – Kuamini athari ya kiroho katika maisha hakumaanishi kupuuza nafasi ya sababu za kimaada, bali kunamaanisha kuwa sambamba na mambo ya kimaada, yapo pia mambo ya kiroho kama Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) ambayo yana athari.
Habari ID: 3481688 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20
IQNA – Malaysia imeanza kuchapisha nakala 20,000 za Qur’an Tukufu zikiwa na tarjuma ya Kitamil.
Habari ID: 3481687 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20
IQNA – Mkusanyiko wa vitu binafsi vya qari maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad ni miongoni mwa maonyesho katika Jumba la Makumbusho ya Maqari wa Qur’an nchini Misri.
Habari ID: 3481684 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20
IQNA – Mashirika na taasisi mbalimbali za Kiyemeni yamelaani kitendo cha hivi karibuni cha kudhalilisha Qur’an Tukufu nchini Marekani, na yameunga mkono mwito wa kiongozi wa Ansarullah (Houthi) wa kufanya maandamano ya kulaani kitendo hicho cha kufuru.
Habari ID: 3481683 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/19