iqna

IQNA

IQNA – Al-Baraa ni mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 12 ambaye, licha ya vita na mashambulizi ya mabomu ya utawala katili wa Israel dhidi katika Ukanda wa Gaza, ameweza kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote.
Habari ID: 3481229    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/14

IQNA – Mtume Muhammad (SAW), kipenzi cha Umma wa Kiislamu, alitoa mwongozo wa wazi kwa ajili ya kukuza roho na imani ya Waislamu kwa kusisitiza umuhimu wa kufahamu Qur’ani, kutafakari aya zake, na kushiriki katika vikao vya Qur’ani.
Habari ID: 3481225    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/13

IQNA – Wizara ya Mambo ya Kidini na Wakfu ya Algeria imetangaza kuwa shughuli za Wiki ya 27 ya Kitaifa ya Qur’ani zitaanza Jumatatu, Septemba 15, katika mkoa wa Boumerdes.
Habari ID: 3481224    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/13

IQNA – Mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW), yakielezwa kwa lugha ya leo, yanaweza kusaidia kuziba pengo kati ya zama za kale na maisha ya kisasa, sambamba na kukabiliana na tatizo la ujinga wa kidini, kwa mujibu wa mwanazuoni mmoja kutoka Iran.
Habari ID: 3481223    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/13

IQNA – Katika mtaa wa kihistoria wa Farangi Mahal mjini Lucknow, mahali muhimu katika harakati za India za utamaduni na uhuru, kuna hazina ya kipekee: nakala ya Qur'ani ya kipekee iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu miaka 340 iliyopita.
Habari ID: 3481221    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/12

IQNA – Mtaalamu mstaafu wa Qur’ani kutoka Iran amependekeza kuundwa kwa muungano wa kimataifa wa wanazuoni wa Qur’ani ili kutetea kisheria haki za Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3481204    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/09

IQNA – Wenyeji kadhaa wa kipindi maarufu cha Mahfel kutoka Iran walialikwa kushiriki katika maadhimisho makubwa na ya muhimu zaidi ya kila mwaka ya kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) yaani Milad-un-Nabiinchini Pakistan.
Habari ID: 3481200    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/08

IQNA – Mwakilishi wa Misri ameibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani ya mataifa ya BRICS yaliyofanyika nchini Brazil.
Habari ID: 3481199    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/08

IQNA – Naibu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameeleza kuwa kusaidia vituo vya kuhifadhi Qur'ani ni wajibu wa kidini na kijamii.
Habari ID: 3481198    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/08

IQNA- Waislamu wa jimbo la Kedah nchini Malaysia wamepata fursa adhimu ya kubadilisha nakala zao za Qur'anI zilizochakaa au kuharibika kwa nakala mpya zilizoidhinishwa rasmi na Wizara ya Mambo ya Ndani bila malipo.
Habari ID: 3481194    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/07

IQNA-Mashindano ya 15 ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'anI kwa “Wachamungu wa Qur'an wa Iraq” yamehitimishwa kwa heshima kubwa katika Msikiti Mtukufu wa Al-Askari ulioko Samarra, mnamo Jumamosi, tarehe 6 Septemba 2025
Habari ID: 3481192    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/07

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani, Mohammad-Taqi Fayyazbakhsh, amesema kuwa Qur'ani Tukufu inaendelea kuwa ya kisasa na yenye mwongozo kwa kila zama na kila jamii, akisisitiza nafasi yake kama chanzo cha mwangaza wakati wa mkanganyiko.
Habari ID: 3481184    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/05

IQNA – Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) wamepongezwa kwa mafanikio yao katika Jukwaa la Kimataifa la Uhakiki wa Ijazah za Qur’ani na Kuheshimu Maqari wa ASEAN, lililofanyika nchini Malaysia.
Habari ID: 3481180    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/03

IQNA – Jumba la Makumbusho ya Sanaa la Houston, jimbo la Texas nchini Marekani, linaandaa maonyesho ya nakala za Qur’ani kutoka maeneo mbalimbali ya ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3481176    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/03

IQNA – Rais wa Shirikisho la Wasomi wa Qur’ani la Misri amesema kuwa mashindano ya kitaifa yanafungua milango ya kugundua vipaji vipya miongoni mwa vijana wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481173    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA – Mashindano ya kitaifa ya usomaji wa Qur’ani na uhifadhi wa Hadithi za Mtume Muhamad (SAW) yalifanyika katika jiji la Kairouan, Tunisia.
Habari ID: 3481172    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA – Sheikh Ahmed Al-Maasrawi, ambaye ameishi Malaysia kwa miaka kadhaa, ametangaza kukamilisha mradi wake wa pamoja na Taasisi ya Uchapishaji wa Qur’ani ya Restu.
Habari ID: 3481171    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA – Mufti wa New Zealand ameipongeza hafla ya Malaysia 'Quran Hour' yaani Saa ya Qur'ani kwa kuhamasisha Waislamu kuhusu Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481165    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/31

IQNA – Ingawa Maktaba ya Vatican ni maktaba ya Kikristo, urithi wa Kiislamu unachukua nafasi maalum ndani yake na Misahafu (nakala za Qur'ani) inahifadhiwa katika maktaba hii.
Habari ID: 3481164    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/31

IQNA – Juhudi za kuunda Bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu zinalenga kuunda jukwaa la kutatua matatizo ya Waislamu kwa kutumia misingi ya Qur'ani, amesema msomi mmoja nchini Iran.
Habari ID: 3481161    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/31