qurani tukufu

IQNA

Istighfar katika Qur’ani Tukufu /4
IQNA – Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) ni jambo lililo na athari nyingi katika maisha ya mwanadamu; katika dunia hii na katika Akhera.
Habari ID: 3481670    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/16

IQNA – Shule ya kuhifadhi Qur’ani ya “Ibad al-Rahman” iliyopo kijiji cha Atu, karibu na mji wa Bani Mazar katika mkoa wa Minya kaskazini mwa Misri, iliandaa mjumuiko maalumu kwa ajili ya kuwasherehekea wahifadhi wa Qur’ani wa kijiji hicho.
Habari ID: 3481667    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/16

IQNA – Kampuni ya TK Group, mojawapo ya makampuni makubwa nchini Bangladesh, imetangaza mipango ya kuandaa msimu wa pili wa mashindano ya usomaji wa Qur’ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481662    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/15

IQNA – Watoto arobaini na wanne wa mashahidi ambao wamehifadhi Qur’ani Tukufu wameheshimiwa katika hafla maalumu huko Gaza.
Habari ID: 3481661    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/15

IQNA – Kitendo cha kudhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kilichotokea mjini Plano, jimbo la Texas, Marekani, kimezua hasira kubwa miongoni mwa wananchi na mashirika ya haki za binadamu.
Habari ID: 3481659    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14

IQNA – Marehemu Sheikh Abdul Wahid Zaki Radhi alikuwa miongoni mwa magwiji wa usomaji wa Qur’ani nchini Misri, akijulikana kwa unyenyekevu wake katika tilawa, uzuri wa makam na sauti yenye utulivu na mvuto wa kiroho.
Habari ID: 3481657    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14

IQNA- Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai (DIHQA) imetangaza kukamilika kwa Mashindano ya 26 ya Qur’ani ya Sheikha Hind bint Maktoum.
Habari ID: 3481654    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/13

Msomi wa Algeria
IQNA-Profesa mmoja wa chuo kikuu kutoka Algeria amesema kuwa hoja za Qur'ani Tukufu alizotumia Bibi Fatimah Zahra (SA) katika kutetea misingi ya haki na uadilifu ni kielelezo cha vitendo ambacho Waislamu wote wanapaswa kukifuata.
Habari ID: 3481652    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/12

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar katika mkoa wa Aswan, Misri, kimewatunuku zawadi na heshima maalumu dada watatu Wamisri waliokamilisha kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3481651    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/12

IQNA – Washindi wa juu wa Mashindano ya 33 ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman wametangazwa rasmi.
Habari ID: 3481648    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/12

IQNA – Afisa wa Wizara ya Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu Iran amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani ambayo hufanyika Tehran kila mwaka.
Habari ID: 3481645    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/11

IQNA – Hafla maalumu ya usomaji wa Qur’ani Tukufu imefanyika wiki hii katika haram tukufu ya Imamu Ali (AS) mjini Najaf, Iraq.
Habari ID: 3481644    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/11

IQNA – Katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vipofu nchini Indonesia, nakalah 300 za Qur’ani ya kidijitali kwa mfumo wa nukta nundu (Braille) zilisambazwa kwa washiriki wenye uoni hafifu au ulemavu wa macho.
Habari ID: 3481643    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10

IQNA – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Misri limeandaa maonyesho maalumu sambamba na Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481642    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10

IQNA – Licha ya vizuizi vya utawala katili wa Israel na ukosefu wa vifaa, Wapalestina Gaza bado wana hamu ya kujifunza na kuhifadhi Qur’ani Tukufu, na wanashiriki katika vikao vya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481641    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10

IQNA – Leo, licha ya kuwepo kwa mamia ya majukwaa ya kielimu na ya vyombo vya habari, urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt (AS) bado haujulikani kwa Waislamu wengi duniani, alisema Sheikh Khairuddin Ali al-Hadi, mwanazuoni mashuhuri kutoka Iraq.
Habari ID: 3481639    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10

Istighfar Katika Qur’ani Tukufu / 3
IQNA – Katika Hadithi, Imam Ali (AS) amebainisha hakika ya kuomba msamaha na vigezo vya Istighfar (kuomba maghfirah).
Habari ID: 3481638    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09

IQNA – Kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya ujambazi na vurugu, Serikali ya Jimbo la Kano nchini Nigeria imeandaa kikao cha dua maalum mwishoni mwa wiki, ikiwakusanya Maqari au wasomaji wa Qur’ani Tukufu wapatao 4,444 kuomba msaada wa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya amani na usalama katika jimbo lote na nchi zima kwa ujumla.
Habari ID: 3481636    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09

IQNA – Katika vipindi vipya vya shindano la vipaji vya Qur’ani nchini Misri linaloitwa “Dawlat al-Tilawa” , washiriki walionyesha uwezo wao wa kusoma na kuhifadhi aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481634    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09

IQNA – Sheikh Ahmed Mansour ni qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri anayehudumu katika kamati ya majaji wa mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481631    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08