IQNA – Wanafunzi wa shule nchini Jordan wanapata fursa ya kutumia vyema likizo zao za majira ya kiangazi kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu na kujifunza maadili ya Kiislamu.
Habari ID: 3482418 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/29
IQNA – Qari wa Iran, Hamed Alizadeh, hivi karibuni alisoma Aya za 71 hadi 77 za Sura Al-Furqān pamoja na Sura An-Nasr katika hafla ya Qur’ani iliyofanyika katika haram takatifu ya Imamu Ridha (AS) mjini Mashhad.
Habari ID: 3482415 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/29
IQNA – Muda wa usajili kwa wanaharakati na watumishi wa Qur’ani wanaotaka kushiriki katika Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran wa mwaka 2026 umeongezwa hadi Jumanne, tarehe 30 Juni.
Habari ID: 3482413 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/28
IQNA – Rais wa zamani wa Nigeria, Ibrahim Badamasi Babangida, amepongeza kazi ya tarjuma na tafsiri ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Nupe, akiieleza kuwa ni mafanikio makubwa ya kihistoria.
Habari ID: 3482412 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/28
IQNA – Hafla ya kisomo cha Qur’ani Tukufu imefanyika siku ya Ashura katika mji mtukufu wa Karbala.
Habari ID: 3482407 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/27
IQNA – Kwa mnasaba wa kuwasili kwa siku za Tasua na Ashura, yaani tarehe ya tisa na ya kumi ya mwezi wa Muharram, Jumuiya ya Qur'ani nchini Iran iliendesha ibada ya jadi ya Khatma ya Qur’ani, yaani usomaji wa Qur’ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho wake.
Habari ID: 3482402 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/26
IQNA – Idara ya Taasisi za Kituo cha Kiislamu cha Al‑Azhar imeanzisha mpango wa kugawa nakala za Qur’ani Tukufu kwa Maktab (vituo vya jadi vya kuhifadhi Qur’ani) kote nchini Misri.
Habari ID: 3482390 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/22
IQNA – Jimbo la Sarawak nchini Malaysia limetekeleza zoezi la kuweka ndani ya bahari kilo 1,802 za majivu ya misahafu ya Qur’ani Tukufu katika Bahari ya China Kusini siku ya Jumamosi, kwa kutumia mifuko maalumu ya karatasi inayoweza kuzorota kirahisi bila kudhuru mazingira.
Habari ID: 3482388 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/22
IQNA – Hafla maalumu ilifanyika Jumatatu jioni katika Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu ya Jordan kuadhimisha kukamilika kwa usomaji kamili wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482372 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/17
IQNA – Kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote kwa kusikiliza kanda za sauti kuligusa kwa kina familia ya Hajiya Maryam mwenye umri wa miaka 82.
Habari ID: 3482363 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/15
IQNA – Programu ya Shule ya Majira ya Kiangazi ya Qur’ani kwa mwaka 2026 imezinduliwa nchini Algeria chini ya usimamizi wa Waziri wa Masuala ya Kidini na Wakfu (Awqaf) wa nchi hiyo.
Habari ID: 3482362 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/15
IQNA – Kwa azma ya kuondoa kabisa makosa ya kimaana na ya maandishi katika nakala za Qur’ani Tukufu, Bodi ya Qur’ani ya jimbo la Punjab nchini Pakistan imeidhinisha mpango maalumu wa utekelezaji.
Habari ID: 3482352 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/12
IQNA – Maana ya aya za Qur’ani Tukufu sasa imeweza kufikika kwa wasikilizaji wanaozungumza Kitajiki kote duniani kupitia uzinduzi wa tarjuma ya sauti kwa lugha hiyo.
Habari ID: 3482350 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/12
IQNA – Hafla ya kuadhimisha kuhitimishwa kwa mwaka wa masomo 2025–2026 kwa madarasa ya Qur’ani (Kutab) imefanyika katika mji wa Zenica nchini Bosnia na Herzegovina.
Habari ID: 3482347 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/10
IQNA – Suleiman Ashirlayev, msanii wa khatt kutoka Jamhuri ya Dagestan katika Shirikisho la Urusi, ameandika Qur’ani Tukufu nzima kwa maandishi ya Thuluth katika tajiriba aliyoiita ya kiroho.
Habari ID: 3482344 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/09
IQNA – Hafla tukufu ya usomaji wa Qur’ani Tukufu iliandaliwa mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Haram Takatifu ya Al-Askari iliyoko Samarra, nchini Iraq.
Habari ID: 3482341 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/09
IQNA – Idara ya Masuala ya Kifikra na Utamaduni ya Astan au Mamlaka ya Usimamizi ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) iliyopo Karbala, Iraq, imekamilisha kazi kubwa ya urekebishaji wa nakala adimu na yenye thamani ya kipekee ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482331 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/07
IQNA – Usajili umeanza kwa wale wanaotaka kushiriki kozi ya majira ya kiangazi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid Al-Haram).
Habari ID: 3482330 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/06
IQNA – Idhaa ya Qur’ani Tukufu ya Misri, yenye makao yake Cairo, imeanza kurusha hewani usomaji wa Qur’ani kwa mtindo wa tarteel wa miaka ya 1960 wa qari mashuhuri Sheikh Mohamed Siddiq El‑Minshawi.
Habari ID: 3482318 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/03
IQNA – Wakiwa na mizigo mikononi mwao lakini nyoyo zao zikiwa bado zimejaa athari za ibada za Hija, mahujaji waliokuwa wakiondoka walikabidhiwa kila mmoja zawadi yanakala ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482314 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/02