iqna

IQNA

Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu (Sehemu ya Pili)/2
IQNA – Neno Ta’avun (ushirikiano) hutumika kama istilahi ya kielimu katika fani nyingi, lakini katika Seerah ya Mtume Mtukufu (SAW), mara nyingi linahusiana na vitendo vinavyolenga kutimiza mahitaji ya wengine.
Habari ID: 3481365    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/14

IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani na Sunnah yameanza rasmi nchini Brazil, katika bara la Amerika ya Kusini.
Habari ID: 3481364    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/13

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yatafanyika wakati wa toleo la pili la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Libya, yatakayofanyika mjini Tripoli mwishoni mwa mwezi huu.
Habari ID: 3481363    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/13

Ushirikiano katika Qur'ani Tukufu/1
IQNA – Uislamu umeamuru wafuasi wake kusaidiana katika kutenda mema. Wakati watu wanapokusanyika na kuanzisha mahusiano ya kijamii, roho ya umoja huingia katika mahusiano yao, na hivyo hujikinga dhidi ya mgawanyiko na kutengana.
Habari ID: 3481360    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/13

IQNA – Morocco imezindua jukwaa la kwanza la kidijitali lenye akili mnemba (AI) kwa ajili ya mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu, likilenga kubadilisha kabisa namna mashindano haya yanavyoandaliwa na kusimamiwa.
Habari ID: 3481358    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/12

IQNA – Hukumu dhidi ya mwanaume aliyepigwa faini kwa kuchoma nakala ya Qur'an nje ya ubalozi wa Uturuki jijini London imebatilishwa kwa kisingizio cha eti “uhuru wa kujieleza.”
Habari ID: 3481354    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/11

IQNA – Mradi wa kitaifa uitwao Miqraat al-Majlis (Usomaji wa Kikao) umezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kusahihisha usomaji wa Qur'an Tukufu.
Habari ID: 3481351    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/11

IQNA – Baada ya kufanikisha toleo la kwanza la mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ nchini Iran, waandaaji wamepanga kuongeza makundi mapya katika tukio hili mashuhuri.
Habari ID: 3481348    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/10

IQNA – Mtaalamu wa chuo kikuu mjini Mashhad nchini Iran amesema kuwa Qur'ani inatoa mwongozo wa kivitendo na wa kimaadili kusaidia jamii kukabiliana na misukosuko kama vile vita, uhamaji, na umasikini.
Habari ID: 3481347    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/10

IQNA – Baraza la Sayansi ya Qur’ani Tukufu linalohusiana na usimamizi wa haram ya Hazrat Abbas (AS) limezindua kozi ya tatu ya mafunzo kwa wasomaji wa kimataifa wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481344    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/08

IQNA – Maonesho ya kimataifa ya Qur’ani yenye mwingiliano wa kisasa, yaliyopewa jina la “Ulimwengu wa Qur’ani”, yamehitimishwa rasmi mjini Kazan nchini Russia au Urusi mnamo Oktoba 6, baada ya kuyazunguka miji ya Moscow, Saratov, na Saransk.
Habari ID: 3481342    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/08

IQNA – Serikali ya Algeria imetangaza kuwa zaidi ya wanafunzi 900,000 wamejiandikisha katika shule za Qur’ani na Zawiya, ikieleza mafanikio makubwa katika mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur’ani na juhudi zilizopanuliwa za kielimu.
Habari ID: 3481341    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/08

IQNA – Mahakama ya rufaa nchini Sweden (Uswidi) imesitisha hukumu dhidi ya Rasmus Paludan, mwanasiasa wa mrengo wa kulia mwenye uraia wa Denmark na Sweden, ambaye amewahi kutukana na kuchoma nakala za Qur'an Tukufu mara kadhaa.
Habari ID: 3481338    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/07

IQNA – Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametaja Qur’ani Tukufu kuwa silaha yenye nguvu dhidi ya maadui.
Habari ID: 3481333    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/05

IQNA-Katika hafla ya kusisimua iliyofanyika Sa’ada, Yemen, watoto wa mashujaa wameenziwa kwa mafanikio yao katika mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu, yaliyoandaliwa na Shule ya Qur’ani ya Mashujaa kwa ushirikiano na Taasisi ya Mashujaa.
Habari ID: 3481330    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/05

IQNA – Afisa wa kamati ya maandalizi ya mashindano ya kwanza ya Qur'ani ya Zayin al-Aswat amesema kuwa lengo kuu la tukio hilo la Qur'an ni kutambua, kulea, na kuandaa vipaji mahiri vya vijana kutoka maeneo mbalimbali ya nchi.
Habari ID: 3481328    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/04

IQNA – Taasisi ya Sharjah ya Qur'ani Tukufu na Sunnah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imewatunuku wahifadhi 95 wa Qur'an Tukufu, ikiendeleza dhamira yake ya kulea kizazi chenye misingi imara ya Kiislamu.
Habari ID: 3481327    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/04

IQNA – Mpango kabambe wa utafiti wa maisha ya maulamaa 84,000 wa Kiislamu umezinduliwa rasmi, kwa mujibu wa msomi wa Kiislamu kutoka Iran.
Habari ID: 3481326    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/04

IQNA – Toleo la 31 la mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani nchini Croatia limehitimishwa kwa hafla rasmi mjini Zagreb.
Habari ID: 3481321    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/03

QNA – Kwa jitihada za vituo vinavyohusiana na Al-Azhar nchini Misri, programu maalumu ya kufundisha Qur’ani Tukufu imezinduliwa kwa lengo la kuhudumia Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481318    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/02