qurani tukufu

IQNA

Istighfar katika Qur’ani Tukufu/ 6
IQNA-Istighfar, yaani kuomba msamaha kwa Allah, ni ibada yenye athari nyingi katika maisha ya Mwislamu. Lengo kuu na la moja kwa moja la mwenye kuomba msamaha ni kusamehewa dhambi zake na kupata radhi za Allah.
Habari ID: 3481707    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/23

IQNA-Nahj al-Balagha, sambamba na Qur’ani Tukufu, litakuwa kiini cha Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran.
Habari ID: 3481706    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/23

IQNA – Baada ya mafanikio ya awamu zilizopita, Wizara ya Awqaf ya Qatar imezindua toleo la mwaka 2025–2026 la mpango wa “Asaneed” kwa lengo la kuboresha ufasaha wa usomaji wa Qur’ani kwa maimam.
Habari ID: 3481705    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/23

IQNA – Mkuu wa Baraza la Maendeleo ya Utamaduni wa Qur’ani Tukufu nchini Iran, Hujjatul Islam Mohammad Qomi, amepongeza mwitikio wa nguvu wa wananchi wa Yemen kufuatia kitendo cha kuvunjiwa heshima kwa Qur’ani Tukufu kilichofanywa na mgombea wa Seneti nchini Marekani.
Habari ID: 3481700    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/22

IQNA – Tukio la hivi karibuni la kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mkuu wa Stockholm nchini Uswidi si jambo la pekee, bali ni sehemu ya mfululizo wa mashambulizi ya kibaguzi na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) yanayoongezeka nchini Uswidi (Sweden) na maeneo mengine ya Magharibi.
Habari ID: 3481699    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/22

IQNA – Athari ya Qur’an Tukufu haijabakia kwa washairi Waarabu na Waislamu pekee, bali imevuka mipaka na kuwagusa pia washairi na waandishi mashuhuri wa tamaduni nyingine.
Habari ID: 3481698    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/22

Istighfar Katika Qur’an Tukufu / 5
IQNA – Kuamini athari ya kiroho katika maisha hakumaanishi kupuuza nafasi ya sababu za kimaada, bali kunamaanisha kuwa sambamba na mambo ya kimaada, yapo pia mambo ya kiroho kama Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) ambayo yana athari.
Habari ID: 3481688    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20

IQNA – Malaysia imeanza kuchapisha nakala 20,000 za Qur’an Tukufu zikiwa na tarjuma ya Kitamil.
Habari ID: 3481687    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20

IQNA – Mkusanyiko wa vitu binafsi vya qari maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad ni miongoni mwa maonyesho katika Jumba la Makumbusho ya Maqari wa Qur’an nchini Misri.
Habari ID: 3481684    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/20

IQNA – Mashirika na taasisi mbalimbali za Kiyemeni yamelaani kitendo cha hivi karibuni cha kudhalilisha Qur’an Tukufu nchini Marekani, na yameunga mkono mwito wa kiongozi wa Ansarullah (Houthi) wa kufanya maandamano ya kulaani kitendo hicho cha kufuru.
Habari ID: 3481683    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/19

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’an yenye kauli mbiu “Fa Istamasik: Shikamana na Qur’an” yameanza rasmi nchini Oman.
Habari ID: 3481682    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/19

IQNA – Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani kwa kauli kali na nzito kitendo cha hivi karibuni cha kudhalilishwa kwa Qur'ani Tukufu kilichotokea katika jimbo la Texas, nchini Marekani.
Habari ID: 3481679    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/19

IQNA – Shule mpya ya Qur’ani imefunguliwa mjini Gaza kwa mchango wa kampeni ya wananchi wa Iran inayojulikana kama “Iran Hamdel” kwa ushirikiano na Taasisi ya Ahl al‑Quran ya Gaza.
Habari ID: 3481675    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/17

IQNA – Jumba la kwanza kabisa la Maqari wa Qur’ani limefunguliwa katika Kituo cha Utamaduni na Uislamu cha Misri kilichopo katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala karibu na Cairo.
Habari ID: 3481672    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/17

Istighfar katika Qur’ani Tukufu /4
IQNA – Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) ni jambo lililo na athari nyingi katika maisha ya mwanadamu; katika dunia hii na katika Akhera.
Habari ID: 3481670    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/16

IQNA – Shule ya kuhifadhi Qur’ani ya “Ibad al-Rahman” iliyopo kijiji cha Atu, karibu na mji wa Bani Mazar katika mkoa wa Minya kaskazini mwa Misri, iliandaa mjumuiko maalumu kwa ajili ya kuwasherehekea wahifadhi wa Qur’ani wa kijiji hicho.
Habari ID: 3481667    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/16

IQNA – Kampuni ya TK Group, mojawapo ya makampuni makubwa nchini Bangladesh, imetangaza mipango ya kuandaa msimu wa pili wa mashindano ya usomaji wa Qur’ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481662    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/15

IQNA – Watoto arobaini na wanne wa mashahidi ambao wamehifadhi Qur’ani Tukufu wameheshimiwa katika hafla maalumu huko Gaza.
Habari ID: 3481661    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/15

IQNA – Kitendo cha kudhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kilichotokea mjini Plano, jimbo la Texas, Marekani, kimezua hasira kubwa miongoni mwa wananchi na mashirika ya haki za binadamu.
Habari ID: 3481659    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14

IQNA – Marehemu Sheikh Abdul Wahid Zaki Radhi alikuwa miongoni mwa magwiji wa usomaji wa Qur’ani nchini Misri, akijulikana kwa unyenyekevu wake katika tilawa, uzuri wa makam na sauti yenye utulivu na mvuto wa kiroho.
Habari ID: 3481657    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14