iqna

IQNA

IQNA – Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametaja Qur’ani Tukufu kuwa silaha yenye nguvu dhidi ya maadui.
Habari ID: 3481333    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/05

IQNA-Katika hafla ya kusisimua iliyofanyika Sa’ada, Yemen, watoto wa mashujaa wameenziwa kwa mafanikio yao katika mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu, yaliyoandaliwa na Shule ya Qur’ani ya Mashujaa kwa ushirikiano na Taasisi ya Mashujaa.
Habari ID: 3481330    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/05

IQNA – Afisa wa kamati ya maandalizi ya mashindano ya kwanza ya Qur'ani ya Zayin al-Aswat amesema kuwa lengo kuu la tukio hilo la Qur'an ni kutambua, kulea, na kuandaa vipaji mahiri vya vijana kutoka maeneo mbalimbali ya nchi.
Habari ID: 3481328    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/04

IQNA – Taasisi ya Sharjah ya Qur'ani Tukufu na Sunnah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imewatunuku wahifadhi 95 wa Qur'an Tukufu, ikiendeleza dhamira yake ya kulea kizazi chenye misingi imara ya Kiislamu.
Habari ID: 3481327    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/04

IQNA – Mpango kabambe wa utafiti wa maisha ya maulamaa 84,000 wa Kiislamu umezinduliwa rasmi, kwa mujibu wa msomi wa Kiislamu kutoka Iran.
Habari ID: 3481326    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/04

IQNA – Toleo la 31 la mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani nchini Croatia limehitimishwa kwa hafla rasmi mjini Zagreb.
Habari ID: 3481321    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/03

QNA – Kwa jitihada za vituo vinavyohusiana na Al-Azhar nchini Misri, programu maalumu ya kufundisha Qur’ani Tukufu imezinduliwa kwa lengo la kuhudumia Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481318    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/02

IQNA – Siku ya kwanza ya mashindano ya kitaifa ya Qur’ani yajulikanayo kama “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) ilianza rasmi Jumatano mjini Qom, yakikusanya vijana wasomaji wa Qur’ani kutoka pembe zote za Iran.
Habari ID: 3481317    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/02

IQNA – Serikali ya Maldives (Maldivi) imetangaza kuwa sasa kuna zaidi ya watu 280 waliothibitishwa kama ma-Hafidh wa Qur'an, huku wengine zaidi ya 1,500 wakiendelea na programu za kuhifadhi Qur'an, kwa mujibu wa taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Kiislamu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481311    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/01

IQNA – Mkutano maalum umefanyika mjini Tehran kujadili ‘Mpango wa Kiutendaji na Ramani ya Njia ya Kuwafundisha Waislamu Milioni 10 Kuhifadhi Qur’ani’.
Habari ID: 3481308    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/30

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran, Karim Zamani, asema kazi za Rumi, hasa Masnavi, zinaakisi kwa kina mafundisho ya Qur’ani Tukufu, kuanzia misingi ya itikadi hadi mtindo wa simulizi.
Habari ID: 3481305    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/30

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Qatar, kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Qatar, imepanga kuandaa mikutano miwili ya kimataifa mapema mwezi Oktoba 2025.
Habari ID: 3481302    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/29

IQNA – Taasisi ya Mahd Qur'ani ya Iran imetoa vyeti 1,004 kwa wanafunzi waliokamilisha kuhifadhi sura za Qur'ani Tukufu na kuelewa maana ya aya zake katika kipindi cha miezi sita ya mwanzo ya mwaka wa sasa wa kalenda ya Kiirani (ulioanza Machi 21).
Habari ID: 3481301    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/29

IQNA – Toleo la kwanza la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya Iran ya “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) linatarajiwa kufanyika katika mji mtakatifu wa Qom, likijumuisha makundi matatu kuu, waandaaji walitangaza.
Habari ID: 3481298    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/28

IQNA-Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Tafsiri ya Qur’ani na Maandishi ya Kidini nchini Iran, Karim Dolati, ametangaza kuwa taasisi hiyo imekagua kati ya tafsiri 40 hadi 50 za Qur’ani Tukufu na kazi zinazohusiana katika kipindi cha miezi sita iliyopita.
Habari ID: 3481292    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/27

IQNA- Kisa cha kweli cha  Alfred Huber ni simulizi ya mtu aliyesafiri kimwili na kiroho, akivuka dini, tamaduni na lugha, hadi alipogundua mwangaza wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481289    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/27

IQNA – Serikali ya Maldivi (Maldives) inakusudia kuanzisha matawi ya Kituo cha Qurani katika visiwa vyote vya nchi hiyo.
Habari ID: 3481284    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/26

IQNA – Wanazuoni wa Kijerumani walikuwa na hamu ya kujifunza Uislamu na Qur’ani Tukufu, na tangu karne ya 17, Wajerumani walianza kuchapisha Qur’ani nchini mwao ili kurahisisha masomo na tafsiri yake.
Habari ID: 3481279    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24

IQNA – Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary, mmoja wa maqari mashuhuri wa Misri, anakumbukwa kwa umahiri wake wa kusoma Qur’ani, huruma, na unyenyekevu.
Habari ID: 3481276    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24

IQNA – Mwanazuoni na mwanaharakati kutoka Malaysia ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kuonesha mshikamano kwa vitendo badala ya maneno, akisisitiza kuwa Qibla ya pamoja inapaswa kuwa msingi wa mshikamano wa Ummah.
Habari ID: 3481275    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23