Ushirikiano Katika Qur'ani/ 8
IQNA-Katika Uislamu, kuna kanuni inayoitwa ta’āwun , yaani kushirikiana katika mambo ya kheri. Waislamu wanapaswa kusaidiana katika mema, lakini wajiepushe kushirikiana katika dhulma, uonevu, au mambo ya batili; hata kama anayehusika ni ndugu au rafiki wa karibu.
Habari ID: 3481467 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/04
IQNA – Sherehe maalum ya kuwatunuku wahifadhi wa Qur’ani Tukufu kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar imefanyika katika mkoa wa Giza nchini Misri.
Habari ID: 3481464 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/04
IQNA – Waziri wa Awqaf wa Algeria, Youssef Belmahdi, ametangaza kukamilika kwa kozi ya tatu ya mafunzo kwa majaji wa mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3481457 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/03
IQNA – Chuo Kikuu cha Gujrat, Kampasi ya Hafiz Hayat, nchini Pakistan kimeandaa semina maalum yenye kichwa cha habari “Dhana ya Muda kwa Mujibu wa Qur’ani Tukufu,” ikiwaleta pamoja wanafunzi kwa ajili ya maarifa ya kiakili na kiroho.
Habari ID: 3481453 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/02
IQNA – Lengo la elimu ya Qur’ani linapaswa kwenda mbali zaidi ya kuhifadhi, kuelekea kuunda “watu wa mfano wa Qur’ani hai” wanaoathiri jamii kupitia mwenendo wao, asema Hujjatul-Islam Seyyed Mohammad-Mehdi Tabatabaei kutoka Iran.
Habari ID: 3481450 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/02
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/7
IQNA – Msingi wa jamii ni ushirikiano, kushirikiana, na kubadilishana manufaa. Kwa hivyo, mtazamo wa kielimu wa Kiislamu umechukulia ushirikiano kuwa miongoni mwa mahitaji ya fikra za kimaadili.
Habari ID: 3481448 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/01
IQNA – Kituo cha Maendeleo ya Elimu kwa Wanafunzi wa Kigeni katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetangaza uzinduzi wa matawi mawili mapya ya Shule ya Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani ya Imam el-Tayeb.
Habari ID: 3481445 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/01
IQNA – Akifafanua dhana ya Yawm At-Taghābun, mwanazuoni wa chuo kikuu cha kidini kutoka (Hawzah) Iran amesema kuwa katika Siku ya Kiyama, mtu ataonyeshwa si tu matokeo ya matendo yake, bali pia mahali pake palipopotea Peponi—mandhari itakayokuwa majuto makubwa na mateso ya kiroho yasiyoelezeka.
Habari ID: 3481443 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/01
IQNA – Mhubiri wa Kiislamu mzaliwa wa Japani, Fatima Atsuko Hoshino, amesema kuwa Qur'ani Tukufu imempa majibu ya maswali aliyokuwa nayo kwa muda mrefu na imemponya maradhi ambayo wataalamu wa tiba walishindwa kuyatibu.
Habari ID: 3481442 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/31
IQNA – Serikali ya Malaysia imezindua mfumo mpya uitwao iTAQ unaotumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI) kuharakisha mchakato wa kuthibitisha usahihi wa machapisho ya nakala za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3481441 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/31
IQNA – Mwanazuoni wa masuala ya dini, Reza Malazadeh Yamchi, amesema kuwa Qur'ani Tukufu inatoa msingi wa maadili kwa uelewano baina ya tamaduni, ikisisitiza heshima, usawa, na mazungumzo badala ya ubabe wa kitamaduni.
Habari ID: 3481440 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/31
IQNA – Mwenyekiti wa Umoja wa Wanachuoni wa Qur'ani wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amempa heshima maalum Sheikh Mohammed Younis al-Ghalban, gwiji wa usomaji wa Qur'an.
Habari ID: 3481439 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/31
IQNA – Mashindano ya Tatu ya Kitaifa ya Qur'an nchini Kyrgyzstan yametamatika rasmi kwa hafla maalum iliyofanyika siku ya Jumatano.
Habari ID: 3481438 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/31
IQNA – Mashindano makubwa ya Qurani yatakayoshirikisha washiriki kutoka ndani na nje ya nchi huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yataanza rasmi tarehe 1 Novemba.
Habari ID: 3481437 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/29
IQNA – Mafanikio ya kihistoria katika sanaa ya hati za Kiislamu yamezinduliwa mjini Istanbul: Ni nakala kubwa zaidi ya Qur'ani duniani iliyoandikwa kwa mkono, matokeo ya juhudi za miaka sita bila kukata tamaa.
Habari ID: 3481436 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/29
IQNA – Jumuiya ya Qur'ani Tukufu ya Mauritania imetangaza uzinduzi wa kampeni ya kusambaza nakala 50,000 za Qurani nchini humo.
Habari ID: 3481434 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/29
IQNA – Mkuu wa Taasisi ya Wakfu na Misaada ya Iran ameielezea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ndiyo kinara wa kukuza Qur’ani Tukufu katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3481432 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/28
Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu/6
IQNA – Mbali na ukweli kwamba mali kwa asili ni ya Mwenyezi Mungu ambaye ameikabidhi kwa mwanadamu, utajiri wa asili pia ni haki ya wanajamii wote, kwani rasilimali hizi ziliumbwa kwa ajili ya watu wote, si kwa ajili ya mtu binafsi au kikundi maalum.
Habari ID: 3481431 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/28
IQNA – Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran imetangaza rasmi majina ya washindi wa tukio hilo mashuhuri la Kiqur’ani.
Habari ID: 3481429 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/28
IQNA – Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiwa hivi karibuni amefichua mambo manne muhimu yanayochangia kuenea kwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika Ukanda wa Gaza, licha ya mzingiro, vita na uharibifu.
Habari ID: 3481424 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/27