iqna

IQNA

IQNA – Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya soka ya Uhispania ya Real Valladolid amesoma aya kutoka kwenye Qur’ani Tukufu kumkaribisha mlinzi mpya wa klabu hiyo, mchezaji wa kimataifa kutoka Morocco, Mohamed Jaouab.
Habari ID: 3481125    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/23

IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen mwaka huu nchini Iraq ikilinganishwa na mwaka uliopita.
Habari ID: 3481121    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22

IQNA-Jannat Adnan Ahmed, msanii mashuhuri wa khatt kaligrafia kutoka Mosul, Iraq, na anayeishi New Zealand, anajulikana kwa kazi zake za kipekee zinazochanganya aya za Qur’ani na ramani za nchi za Kiarabu.
Habari ID: 3481119    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22

IQNA – Saudi Arabia imetangaza washindi katika makundi matano ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yaliyofanyika mjini Makkah.
Habari ID: 3481116    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/21

Sayyid Muhammad Husaynipour, aliyeshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alishiriki katika msafara wa Qur’āni wa Arbaeen mjini Hillah, Iraq. Hii hapa klipu yake akisoma Qur'ani Tukufu
Habari ID: 3481115    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/21

IQNA – Zaidi ya watoto 3,000 wamekusanyika katika Haram Tukufu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad kwa ajili ya kongamano la Qur’ani lililopewa jina “Malaika wa Muqawama (Upinzani)”, na kujaza eneo hilo tukufu kwa tilawa na sauti za imani.
Habari ID: 3481111    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/20

IQNA – Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yanatarajiwa kufikia tamati kwa hafla maalum itakayofanyika mjini Makkah siku ya Jumatano.
Habari ID: 3481110    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/20

QNA – Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen kutoka Iran, unaojulikana mwaka huu kama “Msafara wa Imam Ridha (AS)”, ulianza shughuli zake katika njia ya Arbaeen tarehe 8 Agosti 2025.
Habari ID: 3481109    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/20

IQNA – Jumapili, mji wa Banihal katika eneo la Kashmir linalosimamiwa na India uliandaa Mkutano wa Pili wa Qur’ani ya Braille kwa watu wenye ulemavu wa kuona.
Habari ID: 3481106    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/19

IQNA – Mchujo wa awali wa usomaji kwa ajili ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu umekamilika, ambapo kazi kutoka nchi 36 zimepitiwa.
Habari ID: 3481104    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/19

IQNA – Awamu ya awali ya kategoria ya usomaji katika Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamuyaliyoandaliwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza rasmi, huku washiriki kutoka mataifa 36 wakituma video za usomaji kwa ajili ya tathmini.
Habari ID: 3481101    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/18

IQNA – Msikiti maarufu wa Faisal ulioko katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad, uliandaa sherehe ya kuwaenzi wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481100    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/18

IQNA – Muhammad Hussein al-Tayyan, mwandishi na mtaalamu wa lugha wa Syria, anaamini kwamba Qur’an ni kitovu cha lugha ya Kiarabu, na kupitia Qur’an ndiyo lugha hii iliyoenea na kukomaa.
Habari ID: 3481098    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/18

IQNA – Misri imetangaza mashindano makubwa zaidi ya taifa ya televisheni yenye lengo la kugundua vipaji vipya vya usomaji wa Qur’ani.
Habari ID: 3481097    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/17

IQNA – Jimbo la Sarawak, Malaysia limeanzisha mbinu rafiki kwa mazingira katika kuheshimu na kuondosha nakala zilizochakaa za Misahafu au Qur’an Tukufu.
Habari ID: 3481094    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/16

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Morocco imetangaza mpango mkubwa wa miaka mitatu wa kuwapa mafunzo mapya maimamu 48,000 wa misikiti kote nchini.
Habari ID: 3481088    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/15

IQNA – Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri amesisitiza umuhimu wa kuendeleza tovuti ya kimataifa ya Idhaa ya Qur’an Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481085    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/15

IQNA – Shughuli za kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) zimezinduliwa rasmi Jumatatu katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
Habari ID: 3481080    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/13

IQNA – Qari kutoka Iran, Hamidreza Amadi-Vafa, amesema kuwa kusoma Qur’ani katika njia ya kutoka Najaf hadi Karbala wakati wa Arbaeen hujenga mazingira ya kiroho yasiyo na mfano katika nyakati nyingine za mwaka.
Habari ID: 3481073    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/12

IQNA – Roboti za kielektroniki zinazoweza kuingiliana na watumiaji zimetumika katika toleo la 45 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika Makkah kwa lengo la kuboresha huduma kwa wageni.
Habari ID: 3481072    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/11