IQNA

Kikao cha Kusoma Qur'ani Katika Haram Takatifu jijini Qom

IQNA - Kikao cha Kusoma Qur'ani kiifanyika kwenye kaburi tukufu la Bibi Masoumah (SA) huko Qom, Iran, tarehe 18 Desemba 2024. Vijana waliohifadhi Qur'ani walitunukiwa katika hafla hiyo.
Kishikizo: qurani tukufu ، qom