IQNA - Kikao cha Kusoma Qur'ani kiifanyika kwenye kaburi tukufu la Bibi Masoumah (SA) huko Qom, Iran, tarehe 18 Desemba 2024.
Vijana waliohifadhi Qur'ani walitunukiwa katika hafla hiyo.
Habari ID: 3479934 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21
Katibu wa mkutano wa kimataifa kuhusu "Miaka 75 ya Uvamizi huko Palestina" alisema karatasi 300 za lugha 6 zimewasilishwa kwenye mkutano huo.
Habari ID: 3479027 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29
QOM (IQNA) - Haram Takatifu (kaburi) ya Bibi Maasuma (SA) huko Qom, Iran imepambwa kwa maelfu ya maua siku ya Ijumaa kuadhimisha sherehe za Karamat.
Habari ID: 3477020 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/20
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesema maadui walidhani kuuawa shahidi kamanda shujaa katika vita dhidi ya ugaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimaini kungekuwa tishio kwa Iran lakini watu wa Iran wamegeuza tukio hilo kuwa fursa kutokana na imani yao ya kidini.
Habari ID: 3474784 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/09
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatekeleza mkakati wa kuhakikisha inageuka na kuwa kitovu cha utalii halali kwa lengo la kuwavutia Waislamu milioni 15 kutoka maeneo mbali mbali duniani.
Habari ID: 2910925 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/28