Mafuriko katika kijiji cha Sayyed Abbas, Shush, Iran
TEHRAN (IQNA)- Kijiji cha Sayyed Abbas katika wilaya ya Shawur eneo la Shush mkoani Khuzestan kusini magharibi mwa Iran kimekumbwa na mafuriko haribifu kufuatia mvua kubwa zinazoshuhudiwa eneo.
copied
https://iqna.ir/H0EZCV